Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Kumkalia mtu kimya siku 3 ni kumpenda huko??
Huwezi amini Kwa introverts ni kawaida sana anakaa kmya hachepuki na anakupenda vizuri na hana mpango wa kukutenda, kuna wako hawako emotional but they very royal ndio vile hawana mbwembwe.

Mtengeneze mwanaume unavyotaka wewe awe ukiona haitokei sio wako sepa. Mwanamke yafaa uwe vile imfaayo mwanaume wako nje na hapo wewe ni Gugu maji katafute hekalu lako
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
bila kutaja neno mchaga ningejua yule dem ananisema mimi.

huyo jamaa ana ego tu kama mimi,demu asiponichek ndo imeisha hiyo.
 
Sawa nimekupata… lakini kinachonishangaza tukiwa pamoja simaanishii kuwa nae kitandani no hata tukikutana mahali labda tunaongea huwa anasisitiza kwamba ananipenda tena sanaa nimvumilie tu kuna mambo yanamvuruga

Ila sasa ndio najiuliza watu wakivurugwa huwa hawapo romantic kwa wapenzi wao [emoji2370][emoji2370][emoji2370][emoji41]
Huyo mkaka hakupendi asikudanganye kuwa kuna mambo yanamsumbua kichwani kuwa makini pia usiweke expectation kubwa kwake...MTU ANAYE KUPENDA ATAKUPA MUDA WAKE HATA DAKIKA 5
 
Umeliwaaaa ,busy kwa mtu umepandae huo ni uongo
Hisia zimeisha mnaenda tu kwa nguvu ya mazoea[emoji1787]

[emoji23][emoji23] kwani kutafutana ni lazima jmn… sijamzimikia kihivyo kwamba asiponitafuta nitaumwa na Nilivyo mgumu huwaga situmi hata ka sms cha uko poa nasubiri mpk atume yeye na asipotuma mbona tunamaliza mwezi hatuongei… kiufupi Kama nimetuma sms moja hajajibu huwa siongezi ya pili hata amalize mwaka hajajibu

Ni bora nianzishe uzi Jf kuliko kujitumisha sms Kama mbwai na iwe mbwai nitakufa na utamu wangu [emoji23][emoji23]
 
Huwezi amini Kwa introverts ni kawaida sana anakaa kmya hachepuki na anakupenda vizuri na hana mpango wa kukutenda, kuna wako hawako emotional but they very royal ndio vile hawana mbwembwe.

Mtengeneze mwanaume unavyotaka wewe awe ukiona haitokei sio wako sepa. Mwanamke yafaa uwe vile imfaayo mwanaume wako nje na hapo wewe ni Gugu maji katafute hekalu lako

[emoji23][emoji23] nasubiri parapanda llie mda wowote saa yoyote akatokea mtu ninaye muelewa zaidi yake basi habari yake inaishia hapa …. Ngoja nijipe miezi mingine 3 ikiisha hiyo yupo hivihivi mapema sana tunaimba ile nyimbo ya billinas na nandy “bye “
 
Huyo kapata kura muda wa kampeni ulishapita

[emoji846][emoji846] hivi wale wanawake huwaga wanapendwa na wapenzi wao wanapewa kila kitu yaani mpk kuku wanaona gere huwa wanawapa nini hao wanaume…

Kiufupi watu wanaonijali sana unakuta mimi nawachukia na hisia sina hata nikijilazimisha unakuta ni wiki tu namchokaa
 
Back
Top Bottom