Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu eti sukari kilo Moja shilingi ngapi?Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni
Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni
Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil
Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Shobo alikuwa nayo baba yako, kuendekeza nyama kwa nyama kuacha kutumia mpira kupelekea kutungisha mimba ya ng'ombe moja kama wewe inayotaka kuparamia kila mtu.Punguza shobo
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Every Roman Caesar must feed his gladiators who entertain and distract the masses.
Precisely.........Every Roman Caesar must feed his gladiators who entertain and distract the masses.
Vipaumbele nchi hii ndio tatizo kubwa. Hata wenyewe hawajui wafanye nini wanadhani kupeleka watu korea ndiko kutaboost bongo movie. Au huenda wanajali tu kuungwa mkono na kundi hilo.Ila nchi yetu vipaumbele vyake🙆🙆🙆
Ni sahihi. Bibi anafuja kodi zetu.Kodi zinatumiwa vibaya sana halafu bibi chura kiziwi anatuhamasisha tulipe kodi
Hawana uwezo wa kujigharamia . Ukweli ni kwamba huku ndiko serikali ilikofikia. Kazi tunayoKwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni
Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni
Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil
Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Suala sio udogo au wingi wa pesa! Suala ni nidhamu kwenye matumizi ya kodi za wananchi.Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
Unasema?!Maza Fanta
Makadirio ya chini mno imeweka,Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni
Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni
Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil
Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
FackiUnasema?!
Wenzio wanabubujikwa na machozi....Nimelia Sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸŒš