Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

Nimeamini Kikulacho kinguoni Mwako. Wateule wake kuanzia mabalozi mpaka mawazili wamekengeuka.
 
Hii ndio imemwondoa yule mpumbavu. Angeamua kuwa kama akina PK na M7 tu angeisi. Wale wanajikubali ni mshetani hawana nafasi tena kwa Mungu.
 
Kuna watu walijilipa mamilioni ya pesa MH.waziri mkuu mpaka akasikitika hivi wamechukuliwa hatua gani? au mchakato wa KESI unaendelea? Enzi zake angemalizana nao Siku Ile Ile na ingekuwa fundisho
Hivi wale waloojiunganishia bomba waliishia wapi?
 
Huu uzi umejaa unafiki na uzandiki nahisi umeandikwa na mwana bavicha au aliyetumbuliwa vyeti feki kipindi cha utawala wa Magufuli
 
Aliesema tz imeingia uchumi wa kati ni JPM au WB?
 
Utopolo wa maskini wa kipato anawaza low sana

Utopolo wa maskini wa kipato anawaza low sana.
Siwezi kuwaza ujinga usio nihusu nawaza vitu ninavyo viona unafikili mtanzania wa kawaida anahitaji nini? wewe ndo utopolo kabsaa yaani umeshindwa kuyaona mapinduzi yalifanyika ktk jiji la dar mpaka kuingia kwenye orodha ya majiji bora afrika mashariki na kati ama kweli tenda wema nenda zako
 
1. Mtu mweusi anaweza kuweka philosophy na ulimwengu mzima ukakubali, JPM alisema tuzoee tu kuishi na Corona Kama magonjwa mengine.

2.Watu wanaweza kukuzushia kila Aina ya ubaya lakini nafsi zao zinawasuta mwishowe ukweli unajulikana.Mfano nchi za magharibi zikisaidiwa na vibaraka hasa Lissu,walisema JPM ni dikiteta.
UN wakaishia kumuenzi kwa Mambo makubwa aliyolitendea taifa lake.
Mfano mwingine ni wananchi kujazana kumuaga shujaa wa Afrika.

3.Unaweza kufanya Mambo makubwa kwa muda mfupi ,mfano alinunua ndege nane Kama sijakosea ndani ya miaka mitano.
Wakati Mwinyi,Mkapa,Kikwete walikaa miaka kumikumi lakini hawamuweza kunua hata moja.

4.Unaweza kuwaaminisha watu uongo kwa muda tu,ukweli lazima usimame tu,mfano Kikwete alituaminisha Kasungura kadogo,nchi yetu maskini.
Jiwe lilipoingia ndo ulikuwa mwisho wa wimbo huu.

5.Hata kitu kilichooza kinanuka kinaweza kubadilisha harufu.
CCM ya Kikwete ilinuka wananchi hawakuitaka baada ya Magufuli ikawa CCM nyingine.

6.Hata watu ukiwapa ulaji usifikiri mko pamoja,wengi aliowapa ulaji Jiwe ndo wamemugeuka.

7.Hata ukitenda jema duniani wapo tu watakaokuchukia,mfano mleta uzi anachuki na hayati JPM.
 
Reactions: nao
Ninapoona michango kama hii ndipo huwa naona kwanini ni muhimu mtu kufuatilia mambo, ikiwemo kusoma magazeti yanayoandika mambo ya maana na kutazama vyombo vya habari vyenye weledi. Mtu anayefuatilia mambo hawezi kuandika vitu kama hivi! Kumbe tuna watu wanaofikiri kwamba barabara za lami mitaani zimeletwa na Magufuli!
 
Kamuua nani?
Unawajua labda kama na wewe ni kiazi...

BTW umeamini chama kimerudi kwa wenyewe?

So far aliyebakia ni Nape....

Ikiwauma chomoeni....

Tuko tunaandaa pati ya kumrudisha mwanamapinduzi komredi Kinana

Kila kitabu na enzi zake

Washamba na mazwazwa wa usukumani hebu mtupishe tupite
 
Kabisa..

Si unaona mambo yanavyoenda?

Uchumi uko juu..

Kodi chini...

Bei za mazao juu.

Wakulima kicheko..

Bei za mafuta chini...

Tozo kwenye mabenk na simu zimepungua sana...

Mafisadi mfano wale waliojiunganishia bomba pale kigamboni wako ndani....

Magaidi kina mbowe ndani..

Democrasia kila kona...

Yani nchi iko mikono salama baada ya kurudi kwa wenye nayo..
 
Alikuwa katili na mbabe kwa wajinga wajinga
Wajinga wajinga hivi sasa mnanyea ndoo. Endelea na Ujinga wako ndio utajua Feleshi ni nani na kwanini mama kamteua. Endelea na ujinga wako ndo utajua kwanini tulikosea kumwachia msukuma akaongoza nchi... watajutia wanao..

Chama kimerudi nyumbani
 
Wajinga wajinga hivi sasa mnanyea ndoo. Endelea na Ujinga wako ndio utajua Feleshi ni nani na kwanini mama kamteua. Endelea na ujinga wako ndo utajua kwanini tulikosea kumwachia msukuma akaongoza nchi... watajutia wanao..

Chama kimerudi nyumbani
Una coment kama kuku aliekatwa kichwa!
 
Endelea kuorodhesha


Sisi tunajenga nchi bila mazwazwa ya mwendazake

Ikiuma chomoa. Ndo wanavyofayanya sukuma gang wenzio
Una coment kama kuku aliekatwa kichwa!
 
Ikiwa ni pamoja na kujifunza kuvumilia tunapoibiwa 1.5 trilioni
 
Asante!
 
Kwenye masuala ya demokrasia kwa ujumla wake alikosea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…