Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?

Kuna wanao amini kabisa kwamba Mungu ndiye ataleta demokrasia Tanzania. Wasio Taka demokrasia Mungu atawaita na kuongea nao. Baada ya uchaguzi kwa wale wote wanaopinga demokrasia na kunyanyasa na kuiba kura mtaitwa kwenda kubishana na Mungu. Hatuna muda hapa wa kubishana kuhusu wizi wa kura na kundamiza watu kwa matakwa binafsi na mafisadi.
 
Ili wajinga wajinga wajitathimini,si unaona wewe hapa,hujisikii raha kabisa maana jamaa kafa na bado anatajwa tajwa.
Anatajwa kwa maovu yake. Kwa kuwa yeye kwako ni shujaa wako mtaje kwa lolote linalokupa faraja mnyonge wewe 😀😀😀
 
Anatajwa kwa maovu yake. Kwa kuwa yeye kwako ni shujaa wako mtaje kwa lolote linalokupa faraja mnyonge wewe 😀😀😀
Nawewe mtaje kwa ovu lake lolote ukaendelee kuteseka ukiwa kwenu.
 
Nawewe mtaje kwa ovu lake lolote ukaendelee kuteseka ukiwa kwenu.
Kwani maovu yake mbona yako wazi kabisa,mimi sihitaji kuteseka ndiyo jitu ovu kama lile siwezi kuliita Shujaa au Hayati, lakini nyie mko na haki ya kuita jina lolote mtakalo na wala siyo kosa. Hope unajua kuwa duniani wajinga ni wengi sana kuliko werevu
 
Kwani maovu yake mbona yako wazi kabisa,mimi sihitaji kuteseka ndiyo jitu ovu kama lile siwezi kuliita Shujaa au Hayati, lakini nyie mko na haki ya kuita jina lolote mtakalo na wala siyo kosa. Hope unajua kuwa duniani wajinga ni wengi sana kuliko werevu
Na hakuna mwerevu anayejitangaza,ukiomuona muwekee mabano.
 
Na hakuna mwerevu anayejitangaza,ukiomuona muwekee mabano.
Wapi umeona mwerevu kajitangaza? Ujinga ni mzigo sana,yawezekana umehisi kuwa mimi nimesema ni mwerevu. Ndiyo maana Jiwe alipata wafuasi kama wewe
 
Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
 
Halafu akaishia wapi huyo Magufuli wako?. Akafa na kuwaacha wapinzani wakiendelea. Ni ujinga kutesa binadamu wenzako wakati na wewe ni binadamu, very stupid.
 
Yaani katika kitu nakichukia ni wapinzani wa tanzania ambao lengo lao ni uroho wa madaraka kipindi Cha magufuli alipokua anaitengeneza nchi Kuna mijitu ya upinzani ikiongozwa na lissu ikawa inampinga yaani hata akifanya kitu kizuri Cha aina Gani inampinga mwisho wa siku akasema wasinitanie ngoja niwaoneshe mfano na kweli aliwakomesha wengine walipotea mazima wengine wamekua vilema sababu walikua sio wazalendo wakweli wanaponda maendeleo ya jiwe nilikubali sana uongozi wa magufuli ulikua hauna utani na mtu yeyote anaeleta masihara na serikali ikiwa unafanya mambo ya kimaendeleo kama sio kifo mtu kama magufuli angetakiwa atuongoze milele
Wewe ndio umesema tuichague ACT Kwenye ule uzi wako mwingine?
 
Halafu akaishia wapi huyo Magufuli wako?. Akafa na kuwaacha wapinzani wakiendelea. Ni ujinga kutesa binadamu wenzako wakati na wewe ni binadamu, very stupid.
Wapinzani wanaoendelea akina mchungaji Msigwa 😂😂
 
Naona unawachokonoa wasiompenda (i.e. waliokuwa na vyeti feki, wakwepa kodi, wazembe waliotumbuliwa, wezi na mafisadi) waje waporomoshe matusi 😳

Alishamaliza kazi yake. Ni sisi tuliobaki ndiyo tuna deni bado kwa nchi yetu kwa sasa na vizazi vijavyo. Apumzike kwa amani 🙏🏿

 
Back
Top Bottom