Mungu sio Mjinga wewe Dada,Mungu kamuondoa Magufuli tena akiwa Mdomo wazi kwasababu ya Udhalimu wake.Magufuli angekuwa si mtetezi wa walio wengi wasio na sauti kipindi chake ukame,njaa,korona,nzige na majanga kibao yangemaliza nchi
Kwahiyo wewe unaeona kuwa Magufuli alikuwa Mtakatifu ndie unaeona Mbali?Huwezi kuelewa sababu uwezo wako wa kuona unaishia hapo ufipa tu
Achana huyo Mama K wewe ni Mtu muelewa sana.Inauma kuachwa mjane bado mdogo😂😂😂 jikaze ndo ukubwa.
Kwahiyo mmeona huku ndio kwa kuleta maneno mbofumbofu eehNakwambia wewe endelea kutoa harufu kwenye K hayo na mku...du ndo unaloweza mimi sio saiz yako malaya wewe!
alisema hakuna njaa na kweli mungAmina mkuu! Hawa ni kuwachapa sana kila wakati Magufuli anawatesa sana! Unasifia mazuzu na mafisadi! Hawaoni hata mvua hamna laana kubwa sana kutawaliwa na watu hawa!
Nyie timu marehemu mnaona mnachekewa, mnaona Samia mpole mnaleta matusi...sasa tupo tutaomtetea
Mkiona nawakera kajificheni kaburini huko.
Afu K yangu inanuka kuliko mzoga wa basha ako huko aliko?,😂😂😂
Punguza hasira nchi hii imejaa washamba sana yaana mtu akilamba uteuzi tu akili zinahia matokoni, mimi simlaumu jpm bali watanzania wenzetu waliogeuka baada yakupewa uteuzi wakageuka vichaa kama yule wa majalalaniWe jamaa mpumbavu sana, unatukumbusha enzi za praise and worship
Ata mvua ilipokuwa ikinyesha anasifiwa yy
Mkuu wa mkoa wa dar enzi hizo alisika akisema "tunamshukuru Rais Magufuli Leo mvua imenyesha"
Mkuu wa mkoa wa Tabora enzi hizo nae alisikika akisema "Magufuli hastahili kumshukuru Mungu kwa haya makubwa anayoyafanya Mungu Mwenyewe ndo anatakiwa amshkuru Magufuli" na ww ndo una akili kama hizo, lkn sio bure huyo jamaa alikuwa amawafira nyie,
Mabadiliko ya tabianchi (climate change) ni dunia nzima.Ndio maana UN ikaitisha mkutano wa kujadili kuhusu mabadiliko ya tabia nchi,na viongozi wa dunia nzima,wamekutana kwenye mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa COP26 ,karibia nchi 200 huko Glasgow,Scotland.Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa
Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame,ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja
Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo
Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?
Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha ,ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Apumzike kwa Amani, Baba wa watu kaondoka na baraka zote 🥲
Kwani ukame umeanza juzi baada ya mabadiliko ya hali ya hewa? Unasomaga biblia au quran kweli wewe? Mvua inaendana na Baraka pia! Baraka zimepungua hili mkubali mkatae JPM alikuwa Mtu wa Mungu!Mabadiliko ya tabianchi (climate change) ni dunia nzima.Ndio maana UN ikaitisha mkutano wa kujadili kuhusu mabadiliko ya tabia nchi,na viongozi wa dunia nzima,wamekutana kwenye mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa COP26 ,karibia nchi 200 huko Glasgow,Scotland.
Vitabu vitakatifu vinaendana,na elimu,sio fikira za kutoa kichwani,kuwa kuna mtu analeta mvua,na yuko anayezuia mvua.Ukame unasababishwa na mabadiliko ya tabianchi(climate change).Kwani ukame umeanza juzi baada ya mabadiliko ya hali ya hewa? Unasomaga biblia au quran kweli wewe? Mvua inaendana na Baraka pia! Baraka zimepungua hili mkubali mkatae JPM alikuwa Mtu wa Mungu!
Nioneshe niliposema alikuwa mtakatifuKwahiyo wewe unaeona kuwa Magufuli alikuwa Mtakatifu ndie unaeona Mbali?
Hakuna cha mzanzibar wala mwislam! Ukiongea ujinga juu ya JPM sikuachi! Huyo mama K malaya tu!
Basi sawa mwanasayansi! Maana wewe ndo unajua sana! Dunia hii sio ya wanasayansi ni ya Mungu tena sio Mungu tu jina Mungu wa Ibrahim,Isaka,Yakobo na baba wa Bwana wetu Yesu kiristo!Vitabu vitakatifu vinaendana,na elimu,sio fikira za kutoa kichwani,kuwa kuna mtu analeta mvua,na yuko anayezuia mvua.Ukame unasababishwa na mabadiliko ya tabianchi(climate change).
Sasa kwenye huu uzi umefuata nini?Nioneshe niliposema alikuwa mtakatifu