shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Huyu mleta uzi hana akili kabisa. Ukute hawa ndiyo wanamzunguka Dkt Samia kumshauri.Kama hujui vitu uwe unauliza
Bank ya efatha haikufungwa na mafuli, ilifungwa na bank kuu
Na sababu ilikuwa ni mambo ya kisheria na ela za kuweka kama dhamana hawakuwa nazo ambazo zinaitajika kisheria
Au ww ulitaka watu waweke ela zao na siku wakienda kutoa waambiwe hakuna ela?
Magu hata kama ana mapungufu but ana mazuri yake mengi Sana
Hao vijana unasema mbona sasa hivi ndio wako wengi Sana mtaani?
Wanauza utumbo wa kuku Tu na bachelor zao
Baba yako alipaswa atumie kondomu na siyo kuzaa toto jinga ka weweAmina
Mjinga tu wewe wala hujui kitu. Wangekimbia wale wawekezaji wezi wanaotaka kuinyonya nchi bila sisi kufaidika. Sasa uwekezaji kama huu wa DPW au ule mkataba na Dubai karibu Samia atuingize ndio utasema ni uwekezaji mzuri?Jamaa kwenye uchumi alikuwa hamna kitu , alikuwa yupo vzuri kwenye ukiranja ( kusimamia) Ila sio kuongoza
Unakuaje mkubwa halafu huna akili??mpaka Leo hujui zilikua ni propaganda za kijinga??Wee ni Mjinga... Wawekezaji wakimbie alafu aliwezaje kuingia Nchi katika Uchumi wa Daraja la Kati?.
Hivi vichwa vyenu Huwa vina matope?.
Mapunguani mko wengi,deni la taifa kutoka 40trilion-70trilion alafu unamsifu???Ninachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.
Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.
Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.
Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Mkoloni wa zama hizi ni Wawekezaji na Benki ya DuniaNgoja waliobeba pakacha la legase waje watoe neno la uponyaji.
Ila ungeambiwa hii nchi ni masikini ungeamini!.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]Na ukaamini kulikuwa na uchumi daraja la kati?Hakyanane!Ukapotelea wapi sasa?
UongoNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
We Mjinga mjinga mbona umekimbia hapa.Kweli nimejipa kazi kukuelimisha mjinga wewe.
1.Technology inanunuliwa,kama tulivyo fanya kwenye Treni na Bwawa la Umeme.(Kumbuka hii yote ni miradi ya Magu alianzisha yeye na Mama ameichelewesha tu kumalizia sababu hakusanyi mapato ipasavyo na anayapanya pesa hovyo)
Hivi unaelewa utekelezaji wa mkataba wa bandari?sisi tuko huku tunaona Ndio maana nikakuuliza unaelewa maana ya whalfage? Hukunijibu kitu. Nijibu kwanza hilo swali kisha nikupe elimu bure.
Unaambiwaje wakati unaona?Ila ungeambiwa hii nchi ni masikini ungeamini!.
Wawekezaji wanapenda mikataba mibovu ndomana wanakimbilia huku kwetu. Wanajua hawana cha kuwekeza, baada muda mfupi mnawanyang'anya, wanakimbilia mahakama ya usuluhishi, anazawadiwa mabilioni kama fidia!! Pesa ya kiurahisi kabisa, FYI wanaambizana, Nyie mmelala using ili, eti ooh wawekezaji. Tubadilishe sheria zetu na tujitoe huko ICSID ili wakija kuwekeza wawe na heshimaNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Huna akili ya kumzunguma Magufuli na si size yako. Jinga na tapeli weweNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Wewe ni jinga kweli la mwishoJamaa kwenye uchumi alikuwa hamna kitu , alikuwa yupo vzuri kwenye ukiranja ( kusimamia) Ila sio kuongoza
Nani aje Ili aporwe pesa zake? ππππNajaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.
Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.
Nini madhara yake?
Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.
Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.
Bureu de changes nazo the same stories.
Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
π¨π¨π€£π€£ UmepanicHuna akili ya kumzunguma Magufuli na si size yako. Jinga na tapeli wewe
Wewe kweli chizi, so uliamini zile ngonjera zake? Basi na wew ni wale wanaojiita wanyongeWee ni Mjinga... Wawekezaji wakimbie alafu aliwezaje kuingia Nchi katika Uchumi wa Daraja la Kati?.
Hivi vichwa vyenu Huwa vina matope?.
Mpoli mpoli on the moveNinachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.
Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.
Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.
Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Mahaba niue,mapengo niite mwanya mnene!Wewe ni jinga kweli la mwisho