Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

Kama hujui vitu uwe unauliza

Bank ya efatha haikufungwa na mafuli, ilifungwa na bank kuu

Na sababu ilikuwa ni mambo ya kisheria na ela za kuweka kama dhamana hawakuwa nazo ambazo zinaitajika kisheria

Au ww ulitaka watu waweke ela zao na siku wakienda kutoa waambiwe hakuna ela?

Magu hata kama ana mapungufu but ana mazuri yake mengi Sana

Hao vijana unasema mbona sasa hivi ndio wako wengi Sana mtaani?

Wanauza utumbo wa kuku Tu na bachelor zao
Huyu mleta uzi hana akili kabisa. Ukute hawa ndiyo wanamzunguka Dkt Samia kumshauri.
 
Jamaa kwenye uchumi alikuwa hamna kitu , alikuwa yupo vzuri kwenye ukiranja ( kusimamia) Ila sio kuongoza
Mjinga tu wewe wala hujui kitu. Wangekimbia wale wawekezaji wezi wanaotaka kuinyonya nchi bila sisi kufaidika. Sasa uwekezaji kama huu wa DPW au ule mkataba na Dubai karibu Samia atuingize ndio utasema ni uwekezaji mzuri?
 
Ninachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.

Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.

Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.

Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Mapunguani mko wengi,deni la taifa kutoka 40trilion-70trilion alafu unamsifu???
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Uongo
 
Kweli nimejipa kazi kukuelimisha mjinga wewe.

1.Technology inanunuliwa,kama tulivyo fanya kwenye Treni na Bwawa la Umeme.(Kumbuka hii yote ni miradi ya Magu alianzisha yeye na Mama ameichelewesha tu kumalizia sababu hakusanyi mapato ipasavyo na anayapanya pesa hovyo)

Hivi unaelewa utekelezaji wa mkataba wa bandari?sisi tuko huku tunaona Ndio maana nikakuuliza unaelewa maana ya whalfage? Hukunijibu kitu. Nijibu kwanza hilo swali kisha nikupe elimu bure.
We Mjinga mjinga mbona umekimbia hapa.
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Wawekezaji wanapenda mikataba mibovu ndomana wanakimbilia huku kwetu. Wanajua hawana cha kuwekeza, baada muda mfupi mnawanyang'anya, wanakimbilia mahakama ya usuluhishi, anazawadiwa mabilioni kama fidia!! Pesa ya kiurahisi kabisa, FYI wanaambizana, Nyie mmelala using ili, eti ooh wawekezaji. Tubadilishe sheria zetu na tujitoe huko ICSID ili wakija kuwekeza wawe na heshima
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Huna akili ya kumzunguma Magufuli na si size yako. Jinga na tapeli wewe
 
Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa.

Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa.

Nini madhara yake?

Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji una absorb vijana wengi. Chukulia mfano manji alikuwa ameajiri zaidi ya watu 400 na alipohamia marekani kutokana na kuwa threatened hawa watu wote 400 wakawa redundant na ndoa zikavunjika nyingi tu.

Bank ya efata na efnmb zilikuwa zimeajiri watu zaidi ya 2000 wote wakawa redundant wakaja kuvuta shisha.

Bureu de changes nazo the same stories.

Hakila hii nchi ilipatwa kwa muda.
Nani aje Ili aporwe pesa zake? 😂😂😂😂
 
Ninachojua Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais basi Tanzania ingekuwa imeendelea kwa Kasi na Maradufu kuliko sasa, Wapumbavu, Wanafiki na Wendawazimu wangepungua kama si Kuisha kabisa na Thamani ya Shilingi ya Tanzania ingepaa zaidi, Uchumi kukua vizuri, Wakulima kuneemeka na Maisha ya Watanzania wa chini yangeimarika, Ushirikina na Mauwaji ya Vikongwe na Maalbino visingekuwepo, Ujambazi ungeota mbawa na Huduma maeneo mbalimbali nchini zingeendelea kuwa vizuri huku Dawa Mahospitalini zingekuwepo na Heshima ya Wauguzi na Madaktari kwa Wagonjwa ingekuwa ya juu huku Rushwa ikiwa ni Historia Tanzania.

Ukiona GENTAMYCINE nampenda sana Mtu fulani jua nimemuona ana Akili na ukiona namchukia mno jua hana Akili.

Rest In Peace Jemedari wangu Hayati Magufuli. Utapuuzwa na Kusemwa hovyo ila WATETEZI wako tupo na tunakuenzi.

Imeisha hiyo Kudadadeki..........!!!
Mpoli mpoli on the move
 
Back
Top Bottom