Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Kuna watu ni Wajongs kuliko ujinga wenyewe, wanakufa watu kwa risasi kila siku USA, nenda hapo Kongo, nenda Ukraine, Somalia, taifa lao teule Israel, Iran, na sehemu zote za dunia, juzi Arusha baba kaua binti yake miaka chini ya kumi na nane kwa kipigo, watu wapo na Magufuli tu. Kifo kipo nje nje style tu ndio tofauti, hakijaanza jana na hakitaisha kesho… “nigger watch your back & watch your front”….Tupac.Huna uhakika na unachoandika. Umeishi kwa story sana zingine za vijiweni tu na wanasiasa. JPM hawezi kuwa muuwaji. Kafa lakini hadi leo watu wanakufa. Zingine ni siasa tu.
Mkuu acha kujifarijiHayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu
takiwa kuwa waziri wa sanaa na michezo awe anakata keki na kina Lady Jay Dee na Marioo kama yule mkerekweche… Binafsi naona IQ ya Joketi ni twenty times better than hers…Magufuli (R. I. P), pamoja na makandokando yake utendaji wake huyu bibi PhD hajaweza kuufikia hata robo. Kutwa yeye ni kulalamika tu na kusafiri ndio anachojua. Hana creativity yoyote, in short nchi imeshamshinda. Sasa kama kiongozi mkuu anakuwa wa kulalamika, hao wakuu wa wilaya itakuwaje?. Eti nendeni mkalitizame 😀😀😀😀, nchi hii kwa viongozi wa aina hii kufanikiwa ni ndoto.
Kamfariji wewe basi.Mkuu acha kujifariji
Kiongozi muovu ndio yukoje au kwa Tanzania kiongozi muovu ni wa awamu ya tano tu ila hao wengine wote chini ya ccm ni viongozi safi?
Iddi amini anatetewa mpaka leo.Shetani inaeleweka hakuwa mwanadamu, na ana nguvu za kiroho hata katika kutokuonekana kwake.
Tueleze: imewezekanaje kwa mwanadamu, tena ambaye anachafuliwa na mkuu wa serikali, chawa wake, mabeberu na vibaraka wao?
PS: Ben Saanane hana watetezi wengi kama JPM.
Maskini mamako na ukoo wako. Kwetu umaskini ulisahaulika tangia babu. We jongea kaburi la Magu, shwain!Povu lote hili ni sababu ya umaskini tu. Hakuna tajiri anaweza andika povu hili
Povu tena, ungekua sio maskini Wala usingepata muda wa povu lote hili.TAFUTA PESAMaskini mamako na ukoo wako. Kwetu umaskini ulisahaulika tangia babu. We jongea kaburi la Magu, shwain!
SAWAHayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu
Daah!Yeye mbona aliita wengine mafisadi na hawakuwa mafisadi?. Apandacho mtu ndicho atakacho vuna.
Siasa za JPM kulihusu Taifa! Zilikuwa na manufaa makubwa kwa kila mtanzania ukiacha hao ambao walikuwa wamewageuza Watanzania kuwa ngazi ya kupandia!Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu
Mie hapo nimemzungumzia shetani mwenyewe kabisa yule ambaye anashawishi kufanya maovu.hiyo code ya shetani ?
shetani ni nani mkuu?
He was a patriot!Iddi amini anatetewa mpaka leo.
Hilo la kusema Magu ukatili ndio sifa yake iliyovuma sana mie nakataa, hata sasa ukiangalia wanaoeleza mabaya ya Magu utaona hutumia mafumbo sana huogopa kueleza wazi kwa sababu wanajua watu wengi huko mtaani hawamzungumzii sana Magu kwa mabaya, kwahiyo utaona ni kama inatumika jitahada kuwaonyesha watu kuwa Magu hakuwa hivyo mnavyomdhania hasa humu mitandaoni ndio watu hutumia nguvu kueleza hayo mabaya ili ijulikane kwamba Magu hakuwa mtu mzuri.Yqpo mambo mawili yatakayo kufanya usisahaulike duniani,mema uliyoyafanya yatazungumzwa kama sehemu ya urithi ulioacha ambao jamii inapaswa kuiga toka kwako (legacy). Jambo la pili ubaya ulioutengeneza utazungumzwa kama tahadhali kwa mabaya yasiyo ipendeza jamii,Magu ana sura mbili unyenyekevu na ukatili lakini ukatili umevuma sana kuliko unyenyekevu kwa msingi huu,alitumia nguvu kubwa kudhibiti sauti ya watu walio nyikani,akiyatumia mamlaka kimabavu,na unyenyekevu ulitumika kama silaha kuficha ubaya uliokithiri. Kwa mantiki hiyo utaona sura zote mbili zilimtengeneza katika umbile gani.
Ndio maana nikakuuliza kiongozi muovu yukoje? Jiamini eleza sio unakosa kujiamini na kuanza kusema kila mtu ana kipimo chake, we eleza kiongozi muovu huwa yupo hivi na vile.Kila mtu ana kipimo chake, kwangu mimi alikuwa kiongozi muovu. Kama ni mzuri hiyo ni kwako
Hata JK Nyerere alitukanwa Sana mwanzoni alipoacha madaraka na baada ya kufariki.....lakini baadaye waliomba pooo na hata kumwita Baba wa Taifa...Hayati JPM yuko kaburini mwaka wa pili sasa lakini bado anasumbua vichwa vya walioko hai na kufikia hatua ya kumshambulia na kumtukana kwa kila hali akiwa zake kaburini lakini umma wa watanzania unatetea na kuwapinga hadharani wanaomtukana.
Nguvu ya Hayati Magufuli inatoka wapi wakati hayuko duniani na hawezi kumsaidia hata yule anayemtetea mtandaoni na kwanini wenye fedha na waliohai wanashindwa na nguvu iliyoko kaburini.
Nini sababu