Hayati Magufuli kwanini ana pande zote za uongozi? Yaani ana upande mzuri sana na mbaya sana kuliko wenzake waliotangulia

Hayati Magufuli kwanini ana pande zote za uongozi? Yaani ana upande mzuri sana na mbaya sana kuliko wenzake waliotangulia

Legacy ya Magufuli inaishi miyoni mwa Watanzania wengi kuna kikundi kidogo ambacho kilikuwa Hoi kisiasa 2015 ndo kikaona the only Flag bearer ambaye hana Chembe za Ujinga ni Chuma JPM na kweli wakampa bendera apeperushe, He did so Well pamoja na kwamba na Setbacks zake kama binadamu but he was the best ever country to have, Kujaribu kumchafua mwamba huyu kunaweza kuongeza Ugumu sana kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 ndani kwa ndani mwa Chama Tawala,
His running mate pia Samia, she is doing well na tuzidi kumuombea mana kufanikiwa kwake ni taifa kwa ujumla tunafanikiwa sioni haja ya kuwa Wapima watu hawa wawili
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ushamba mtupu! Falsafa ya nchi hii imejikita kwenye maendeleo ya watu, siyo ya vitu. Kwa sababu ya ulimbukeni wake alinyonga maendeleo ya watu na kuelekeza rasilmali zote kwenye ujenzi ili watu wenye upeo mdogo waione na kumtukuza. Ndiyo maana shule zetu zina upungufu wa waalimu kwa asimia 40! Na je, kwa upeo wako hii ndiyo miradi ya maana sana iliyopata kutekelezwa nchi hii tangu izaliwe? Watu walipigania uhuru ili kwanza wawe watu huru katika nchi yao. Makaburu wa Afrika Kusini walijenga miundombinu mingi na mizuri kuliko hiyo lakini bado walikataliwa.
Upumbavu unakusumbua kutumia ubongo wako vibaya.

Kuzuia mfumuko wa bei za bidhaa mbali mbali kwa zaidi ya miaka 6, si maendeleo ya Watu [emoji848]

Na kudhibiti umeme usikatikekatike hovyo ili viwanda vizalishe kadri viwezavyo si maendeleo ya Watu [emoji848][emoji34]
 
Mtandao wa filamu wa Netflix una program zake za kuzipandisha na kuzishusha filamu (ranking), kwa mujibu wa watu wanavyozipenda na kutozipenda filamu hizo.

Yani, unavyoipa filamu nyota tano, ndiyo inapanda daraja, unavyoipa nyota nne, inashuka n.k. Na mtandao unaweza kukupa mrejesho wa filamu gani usizozijua unaweza kuzipenda, kwa kuangalia watu walivyopenda filamu ulizopenda wamepemda filamu gani nyingine ambazo hujaziona.

Kuna filamu moja inaitwa "Napoleon Dynamite", ilileta mtafaruku sana. Kwa sababu, zile program zote za kupandisha na kushusha filamu zilishindwa kuiweka filamu hii katika upande wowote.

Mara nyingi program za "algorithm" za Netflix ziliweza kutabiri utapenda filamu gani, kwa kuangalia filamu nyingine ulizozipenda. Lakini, kwenye filamu ya "Napoleon Dynamite", algorithms zilishindwa kutabiri.

Kwa hivyo, inawezekana Magufuli naye alikuwa anaelekea kuwa rais wetu "Napoleon Dynamite" aliyevunja algorithms zetu.


Kujibu swali lako, inawezekana Magufuli alikuwa anaonesha mambo ambayo wengi walikuwa wanataka, na mengine ambayo wengi hawataki.

Hili limefanya hata wengine wanaomkataa wawe na mengi waliyopenda kutoka kwake, na hata waliomkubali wawe na mengi wasiyoyapenda kutoka kwake.

Tofauti inakuwa vipaumbele tofauti kwa watu tofauti.

Kuna watu wanaona bora rais dikteta anayejenga barabara.

Wengine wanaona kujengewa barabara na rais dikteta ni kitu kibaya.

Hapo watu hawawezi kukubaliana.
Ni lini hatukuwahi kujenga barabara na udikteta haukuwepo?
.
Ni awamu ipi iliojenga km nyingi zw barabara...?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mtandao wa filamu wa Netflix una program zake za kuzipandisha na kuzishusha filamu (ranking), kwa mujibu wa watu wanavyozipenda na kutozipenda filamu hizo.

Yani, unavyoipa filamu nyota tano, ndiyo inapanda daraja, unavyoipa nyota nne, inashuka n.k. Na mtandao unaweza kukupa mrejesho wa filamu gani usizozijua unaweza kuzipenda, kwa kuangalia watu walivyopenda filamu ulizopenda wamepemda filamu gani nyingine ambazo hujaziona.

Kuna filamu moja inaitwa "Napoleon Dynamite", ilileta mtafaruku sana. Kwa sababu, zile program zote za kupandisha na kushusha filamu zilishindwa kuiweka filamu hii katika upande wowote.

Mara nyingi program za "algorithm" za Netflix ziliweza kutabiri utapenda filamu gani, kwa kuangalia filamu nyingine ulizozipenda. Lakini, kwenye filamu ya "Napoleon Dynamite", algorithms zilishindwa kutabiri.

Kwa hivyo, inawezekana Magufuli naye alikuwa anaelekea kuwa rais wetu "Napoleon Dynamite" aliyevunja algorithms zetu.


Kujibu swali lako, inawezekana Magufuli alikuwa anaonesha mambo ambayo wengi walikuwa wanataka, na mengine ambayo wengi hawataki.

Hili limefanya hata wengine wanaomkataa wawe na mengi waliyopenda kutoka kwake, na hata waliomkubali wawe na mengi wasiyoyapenda kutoka kwake.

Tofauti inakuwa vipaumbele tofauti kwa watu tofauti.

Kuna watu wanaona bora rais dikteta anayejenga barabara.

Wengine wanaona kujengewa barabara na rais dikteta ni kitu kibaya.

Hapo watu hawawezi kukubaliana.
Very analytical. Nimekupenda bure!
 
Ninashangaa sana hili. JPM anaonekana kuwa Kiongozi mzuri sana kati ya viongozi walioitumikia Tanzania na wakati huo huo anaonekana ni Kiongozi mbaya sana kati ya wote waliopita - Hasa kwenye jambo la ukatili! Hili kwa kweli linanishangaza sana kwa sababu anatrend kuliko wote kwa pande zote hizo - ubaya na uzuri! Sijui wenzangu mnasemaje?
Mawazo yako hayo
 
Ni lini hatukuwahi kujenga barabara na udikteta haukuwepo?
.
Ni awamu ipi iliojenga km nyingi zw barabara...?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Logical non sequitur.

Kama tunakula mavi na kufa kijinga kwa kipindupindu, tuendelee kula mavi na kufa kijinga kwa kipindupindu kwa sababu hatujawahi kufanya vinginevyo?
 
Mtandao wa filamu wa Netflix una program zake za kuzipandisha na kuzishusha filamu (ranking), kwa mujibu wa watu wanavyozipenda na kutozipenda filamu hizo.

Yani, unavyoipa filamu nyota tano, ndiyo inapanda daraja, unavyoipa nyota nne, inashuka n.k. Na mtandao unaweza kukupa mrejesho wa filamu gani usizozijua unaweza kuzipenda, kwa kuangalia watu walivyopenda filamu ulizopenda wamepemda filamu gani nyingine ambazo hujaziona.

Kuna filamu moja inaitwa "Napoleon Dynamite", ilileta mtafaruku sana. Kwa sababu, zile program zote za kupandisha na kushusha filamu zilishindwa kuiweka filamu hii katika upande wowote.

Mara nyingi program za "algorithm" za Netflix ziliweza kutabiri utapenda filamu gani, kwa kuangalia filamu nyingine ulizozipenda. Lakini, kwenye filamu ya "Napoleon Dynamite", algorithms zilishindwa kutabiri.

Kwa hivyo, inawezekana Magufuli naye alikuwa anaelekea kuwa rais wetu "Napoleon Dynamite" aliyevunja algorithms zetu.


Kujibu swali lako, inawezekana Magufuli alikuwa anaonesha mambo ambayo wengi walikuwa wanataka, na mengine ambayo wengi hawataki.

Hili limefanya hata wengine wanaomkataa wawe na mengi waliyopenda kutoka kwake, na hata waliomkubali wawe na mengi wasiyoyapenda kutoka kwake.

Tofauti inakuwa vipaumbele tofauti kwa watu tofauti.

Kuna watu wanaona bora rais dikteta anayejenga barabara.

Wengine wanaona kujengewa barabara na rais dikteta ni kitu kibaya.

Hapo watu hawawezi kukubaliana.
hii ndo jamiiforum tulioanza nayo ya kujenga akili na uelewa wa watu
 
Ninashangaa sana hili. JPM anaonekana kuwa Kiongozi mzuri sana kati ya viongozi walioitumikia Tanzania na wakati huo huo anaonekana ni Kiongozi mbaya sana kati ya wote waliopita - Hasa kwenye jambo la ukatili!

Hili kwa kweli linanishangaza sana kwa sababu anatrend kuliko wote kwa pande zote hizo - ubaya na uzuri!

Sijui wenzangu mnasemaje?
Jua taifa hili limesheheni wajinga wengi kuliko nchi nyingine katika ukanda huu. Magufuli alitumia nafasi hiyo kuwarubuni wajinga wengi wamuone mkombozi kumbe ni mwizi, fisadi katili na muuaji. Hatujawahi kuwa na rais mbovu kama Magufuli, nimeishi na marais wote tangu uhuru najua nisemalo
 
Ni Rais ambaye amekutana na changamoto nyingi. Sana. Mwaka 2015 anachaguliwa kugombea kwa kupeperusha bendera ya CCM anakutana na ushindani wa mpinzani maarufu sana aliye mpindua mkt taifa ccm agalau kwa dakika kadhaa kwa pambio maarufu la chama. Kama haitoshi mpinzani huyo alinunua chama kikuu cha upinzani ili agombee kupitia huko.

Fikiria unakabidhiwa kuongoza Taifa ambalo kwa uzembe wa mtangukizi wako lilifikia hatua hiyo. Uanzie hapo ili ulirudishe kwenye mstari. Na kama haitoshi unaye Naibu wako ambaye ulisukumiziwa halikuwa chaguo lako na ndiye ufanye naye kazi. Angalau PM wake alimkubali kwasababu anasema wako walioandaa na suti za kuavaa kwenye kuapishwa kuwa PM wakaambulia patupu Hii inamaana asingesimama imara na PM naye angempata wakusukumiziwa.
Umenifumbua macho nadhani alomsukumizia bi tozo ni msoga ndo maana bi tozo humwambii kitu juu ya msoga. Thank you very much
 
Back
Top Bottom