Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Dada wa za ndaaaaanii
 
Zuchu mahari katolewa saa ngapi, jana Daimond kashinda kwenye harusi ya Jux
Posa ni barua ya uchumba baby, na sio kwamba ni siku nzima unaweza kutumia hata nusu saa tu.

Tulieni jamani, nimeshasema nitawapa updates hata kama imeshindikana nitawaambia tu.
cocochanel
 
Nipo hapa nasubiri mrejesho...... πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ Zuu sijui alimkosea nini Mungu
 
Sasa na wewe uposwe uache kutujazia server kwa habari za kipuuzi. Sema tu mimi nimeshaposa lidada la kibantu.
 
Posa ni barua ya uchumba baby, na sio kwamba ni siku nzima unaweza kutumia hata nusu saa tu.

Tulieni jamani, nimeshasema nitawapa updates hata kama imeshindikana nitawaambia tu.
cocochanel
Uko sahihi posa wanaweza kuja hata mtu mmoja kupeleka posa. Hata maji asinywe akaondoka.
 
Kuwe na utaratibu wa kuomba radhi iwapo taarifa tulizoleta si sahihi.
Kwani umetozwa hela hadi uombwe radhi?

Jamani nikileta habari simlazimishi mtu kuamini, uamuzi huo ni juu yako.
 
Umbeya una matokeo mawili Uongo au ukweli. Haina haja ya kuomba radhi wakati unajua matokeo yake -ve au +ve.
Hakuna uongo katika habari niliyowaletea, chanzo changu ni mojawapo ya waliokuwa waende na Diamond kutoa posa.

Kuna mengi yametokea, nyie subirini tu nitawajuza.
 
Hakuna uongo katika habari niliyowaletea, chanzo changu ni mojawapo ya waliokuwa waende na Diamond kutoa posa.

Kuna mengi yametokea, nyie subirini tu nitawajuza.
Tulimjibu huyo anayetaka kuombwa radhi. Mi najua taratibu za ndoa za kiislam vizuri sana.
 
Kwani umetozwa hela hadi uombwe radhi?

Jamani nikileta habari simlazimishi mtu kuamini, uamuzi huo ni juu yako.
Hapa sio chumbani binti...

Ukileta tarifa kwenye jukwaa la wazi kama hili ni lazima ijadiliwe na ipimwe...

Ikijaa kwenye vipimo vya ukweli, wasomaji tunatoa credit na credibility ya mtoa habari inapanda...

Ukileta tarifa ya uongo ni busara kuomba radhi japo sio lazima, lakini ukiomba radhi utapewa credit na credibility yako itabaki juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…