Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Tupo karne ya 21.....hayo mambo unayosema yalifanyika huko before Crist...
Nani anataka kujua Kama bi harusini bikra ama la?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nauliza Nenga amefata nini kwa Nandy
 
Kelsea njoo uone huku...nawe siku ya siku utaoendeza kama hivi huku mzabzab nikinengua kwa furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…