Hebu Msikilizeni JK Kipindi Akiwa Rais, Ni Kuhusu Ishu Ya M23 na Kagame. Na Nini Mtazamo Wetu WanaJF

Hebu Msikilizeni JK Kipindi Akiwa Rais, Ni Kuhusu Ishu Ya M23 na Kagame. Na Nini Mtazamo Wetu WanaJF

Sometime in the past JK was a seasoned diplomat.

Nyerere alikuwa na succession planning nzuri ya kutengeneza viongozi; hiyo speech unaona ilitengenezwa na diplomats.

Underlying message ukimya sio woga kwa lugha ya ustaarabu.

Sijui JK huyu alipatwa na maruhani gani yasiyo ridhika na utajiri, kuachia power hadi kuwa mtu wa hovyo kama anavyoonekana leo.

Wazungu wanasema ‘learn, when to quit’, huyu jamaa hilo somo akulipata.

Kwa sasa JK ni mtu wa hovyo mno kwa siasa za Tanzania, only due to psychological issues of being in power.
 
Sometime in the past JK was a seasoned diplomat.

Nyerere alikuwa na succession planning nzuri ya kutengeneza viongozi; hiyo speech unaona ilitengenezwa na diplomats.

Underlying message ukimya sio woga kwa lugha ya ustaarabu.

Sijui JK huyu alipatwa na maruhani gani yasiyo ridhika na utajiri, kuachia power hadi kuwa mtu wa hovyo kama anavyoonekana leo.

Wazungu wanasema ‘learn, when to quit’, huyu jamaa hilo somo akulipata.

Kwa sasa JK ni mtu wa hovyo mno kwa siasa za Tanzania, only due to psychological issues of being in power.
Kindly elaborate..
 
Back
Top Bottom