Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Mimi mwenyewe miaka hiyo nilikuwa mdogo ila tayari nilishapevukq nilikuwa najua kinachondelea ,enzi hizo mji wa Dar iliishia Ubungo ,kimara- mbezi kulikuwa vichaka na vipori pori vingi.Mbezi beach sehemu kubwa ilikuwa vichaka vya kutisha ,wazee wa enzi hizo walikuwa wanawahi viwanja mikocheni na msasani
Ni kweli ila mimi niliondoka huko miaka hiyo bado Sh ina thamani sana
 
Unaona akili yako ilivyokuwa na makamasi
Unaniita muongo kwa lipi
Wewe kazi yako na yangu ni sawa? Je nchi niliyokuwa naishi unaijua au umekurupuka bila kusoma majibu yangu yote kwa wadau?

Unajua maana ya strongest currency in the world wewe au hata kimombo kimekupiga chenga

Katafute hela yenye nguvu duniani ndio ujue miaka hiyo nilikuwa huko
Na uwe na adabu maana kuna wazee wengine hamna break

Utasaidiwa kama hujui
Alooo
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Natafuta comment ya mtu aliyejiajiri na kutengeneza ajira kwa vijana wenzake lakini siioni. Mtu wa namna hii ndio anapaswa ajivunie.
 
Natafuta comment ya mtu aliyejiajiri na kutengeneza ajira kwa vijana wenzake lakini siioni. Mtu wa namna hii ndio anapaswa ajivunie
Maboss wengi humu Wanatafuta ajira
Ukimwinua mtu hata na liten akaja kukumention jukwaani
Tsunami unaikuta PM
😅😅😅😅
Utajua kwanini hata ID za kiume tumefunga PM
 
Mimi miaka ya 1961 nilikuwa nalipwa elf 2500 kipindi hicho ndio nilikuwa fisadi mkubwa Ila kwasasa Niko mstuni nakula Matunda ya wakulima
 
Back
Top Bottom