Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Kumbe kuna watu wanaoteseka sana ?
 
Kama wezi ni viongozi waandamizi serikalini then watashirikiana na waarabu kupiga as usual.

Hilo siyo suluhisho na bahati mbaya na washauri alioteua ni akina Bulembo!

Muwekezaji wa kumvimbia PM,VP, Waziri au Katibu Mkuu yupo wapi?

Jeshi la polisi,TRA na mahakama ni vinara kwa rushwa nchi hii,kwa hiyo tunawapa waarabu pia?
 
Kampuni binafsi mara nyingi zipo kwa mrengo wa faida kuzidisha kipato ili parcentage gain iwe kubwa ukizingatia mifumo yote ITAUNGANISHWA ili kila upande upate STAHILI halali, NANI ATAKUBALI ITOKEE SABOTAGE GAIN ISHUKE ILI PARCEE GAIN IWE NDOGO NA WAWE USELESS!, ILIYOTUMIKA NI AKILI KUBWA SANA!
HEKO MAMA SAMIAH, INTELEGENT ILIYOTUMIKA NI KUBWA KWELIKWELI, THANK YOU MADAM.
 
Duuu wakristo sio wajinga kama wewe
 
Kheee¿ kwamba wezi anawajua ndio kaamua kuleta waarabu kuwakomesha wezi hao???
Basi Heri tuibiane sisi kwa sisi kuliko kuibiwa na waarabu...maana hata wao watatuibia na hatutawafanya lolote


Niitieni mwanasheria wangu....🤐🤐🤐
 
Hapo kwenye jeshi la polisi wawalete kwa wingi huku barabarani. 😂😂
 
Note:- BAADHI YA VIONGOZI WAANDAMIZI, AND NOT VIONGOZI WAANDAMIZI.
 
Kheee¿ kwamba wezi anawajua ndio kaamua kuleta waarabu kuwakomesha wezi hao???
Basi Heri tuibiane sisi kwa sisi kuliko kuibiwa na waarabu...maana hata wao watatuibia na hatutawafanya lolote


Niitieni mwanasheria wangu....🤐🤐🤐
Poor understanding, always thief works sometimes massively or as a gang, dawa ni kutengeneza mfumo maalum wa kudhibiti completely, so this is what has been done! To end thefts completely!
N. B, wizi wa hapo bandarini ni mfumo au mtandao mpana unaweza kumuhukumu mmoja asiye sahihi, best way is to change the WHOLE system,kuuvunja mfumowizi.
 
Hongera Mkuu.
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Kwa alio sema ni bora serikali ikabinafisishwa, na huu ni mwanzo. Mwarabu wa babu zetu aliwagawia shanga na kaniki, wa leo anamwaga pesa. Hakika historia hujirudia.
 
Kama ni hivyo je kuna mifumo mingapi ya wizi nchini kwetu?
Je yote tutafute watu wa nje kumaliza tatizo hilo??
 
Asingekuwa muoga angekuwa amekwishaifumua wizara ya fedha na nishati.
 
Hivi mtu anakuwaje mkubwa kuliko masilahi ya Taiga,Watanzania tuache ujuha basi kwenye mambo ya msingi.
Kama Rais unashindwa Ku control wizi na ubadhilifu maana yake ni kushindwa Urais
 
Wengi hawajui ubinafsishaji bandari ni maandalizi ya uchaguzi. CCM uwadiapo uchaguzi kashfa za kukwapua pesa ya umma lazima utokee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…