Sawa kaka πππKwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
Hii tabia ipo sana humu, watu wanajifungulia nyuzi kujipamba π€£π€£π€£Wewe si ndio bwana harusi? Si useme ndo wewe tuu..?
Bongo ina vutuko jamaniii
Jau kweli huyu muungwana πΉhaki ya Mungu,hii dunia ina mambo,bwana harusi ajianzishia uzi wa kujipongeza raia wameufukua kweli msema kweli ni muda/wakati
Ni kichaka cha wanyama wakali πΉπΉπΉJF is never boring aisee...
Mahi πππKosa la kileo kuoa aliyeachika kwa mbwembwe
Anajifagilia mwenyewe πΉπΉhuyu kilewo inaelekea Ni mbumbu hili linashangaza mtu kuileta habari kipindi hiko na kujijibu mwenyewe namshukuru mod kuunganisha I'd zote
Itabidi tupitie nyuzi zote za watu wanaowasifia viongozi sina shaka ni wenyewe πππHuu uzi unanichkesha sn kila nikiingia na kuona aliyeanzisha ndo mhusika
Wapo wengi hawa waungwana mkuu πΉπΉNapata sana mashaka na haya matusi tunayomwagiwa humu jamvini unaweza kuta ni ID ya mheshimiwa sana na anaporomosha matusi kama mpiga debe
Sema bongo movie imezaliwa kaskazini πΉπΉπΉUzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kumbumbu.
Wachaga wa sasa sio km wale wa zamani, wachaga wa leo ni bongo movie πΉπΉπΉπΉWachagga wamedandia umarioo kw kasi sana
Mji wa moto huu πΉJf ni mji mzito.
πΉπΉπΉWatu wazima kama watoto
Kaka yake πΉπΉπΉJamaa anakuambia "...kiukweli kaka yetu..." kumbe ni himself... Dah
Wengi mno πΉπΉπΉHapa JF Tunao wengi sana watu dizaini ya Kileo. Nawaza jinsi huyu Mwamba anavyoumia nabaki kusema hiiiiiiiiii
Kabisa mkuu, mbavu zinauma π€£π€£π€£Ukitaka kucheka hizi ni moja ya nyuzi za kuzitembelea.
Tumuombe huyu muungwana arudi atusimulie nini kilitokea πΉπΉπΉHahahahah jamaa hawezi kurudi tena hapa πππ hii kweli ni next revo
Na mimi nimeuona leo katika pitapita zangu aiseee unachekesha sana πΉHahah miaka yangu yote ya kuwepo JF sikuwahi ona huu uzi...
Nimecheka sana...
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ hatareeeeJamaa kajifunika kwenye shuka hafu anajamba
πππ Huyu muungwana anaishi sayari ya peke yakeYeye ndio kafunga hiyo ndoa halafu anatuambia amejifunza kitu kupitia harusi hiyo.Sasa amejifunza nini kama zwazwa vileπππ