Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Kwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
Sawa kaka 😂😂😂
 
huyu kilewo inaelekea Ni mbumbu hili linashangaza mtu kuileta habari kipindi hiko na kujijibu mwenyewe namshukuru mod kuunganisha I'd zote
Anajifagilia mwenyewe 😹😹
 
Huu uzi unanichkesha sn kila nikiingia na kuona aliyeanzisha ndo mhusika
Itabidi tupitie nyuzi zote za watu wanaowasifia viongozi sina shaka ni wenyewe 😂😂😂
Yani nacheka hapa mpk machozi
 
Napata sana mashaka na haya matusi tunayomwagiwa humu jamvini unaweza kuta ni ID ya mheshimiwa sana na anaporomosha matusi kama mpiga debe
Wapo wengi hawa waungwana mkuu 😹😹
 
Uzi wa mwaka 2011 huu, mtu kafunga ndoa kaja kujianzishia Uzi humu anasifu maharusi na harusi kumbe yeye ndio mhusika......JF inahifadhi kumbumbu.
Sema bongo movie imezaliwa kaskazini 😹😹😹
Wachaga makanjanja sana, kaona isiwe shida kaka Henry kajipa maua yake mwenyewe
 
Yeye ndio kafunga hiyo ndoa halafu anatuambia amejifunza kitu kupitia harusi hiyo.Sasa amejifunza nini kama zwazwa vile😂😂😂
😂😂😂 Huyu muungwana anaishi sayari ya peke yake
 
Back
Top Bottom