Hesbollah hii ndo ile tulio hadithiwa ama tutarajie nyingine?

Hesbollah hii ndo ile tulio hadithiwa ama tutarajie nyingine?

Mbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.

Tangu mwaka jana Israeli ilipoanzisha mashambulizi Gaza imekua ikitangaza raia kuhama, inashambulia litakaowakuta, jeshi likiona limemaliza linaondoka na kuhamia eneo jingune.

Mbinu hii inawapa afueni maadui kurudi kujichimbia tena kwenye viunga vya zamani,walikopita na kuondoka askari wa Usrael.

Sasa nimesikia jana toka Bbc kuwa, raia wanatangaziwa kuhama maeneo yanayotakiwa kushambuliwa, atakayekaidi atahesabika ni adui.

Na baada ya mashambulizi, maeneo hayo yatakaliwa na jeshi na hakuna atakayeruhusiwa kuingia ama kutoka, misaada haitaingia na maadui waliokimbia hawatarudi, aliyekaidi kuondoka atakufa kwa njaa na kukosa mahitaji muhimu.

Mbinu hii mpya ikitumika, mateka watapatikana wakiwa hai au wamekufa na ushindi utapatikana.
Hahaha Waisrael weusi wa YELANYALA wanaripoti😀😀
 
N miongoni mwa mtoto pendwa wa Iran na Iran amewekeza sana
Iran anaongozwa na hisia za kidini na si ubonadamu.Hebu cikidia kama angewekeza kuwawezesha wapalestina na hao waislam wenzake kiuchumi hayo maeneo yangekuwa zaidi ya dubai.Lakini kwa kuwa anaongozwa na mihemko ya uislam kutawala dunia anawekeza kwenye kununua silaha na kujenga mahandaki huku anaowapa hiyo misaada wakiteseka kwa njaa, umasikini na ujinga
 
Technological gape ya Israel na Hezbollah ndio imewapoza vita ya sasa sio ya kuvaa magwanda na kutunishiana misuli , bali uwe umewekeza kwenye high tech na kwenye high tech kwa Israel ndio kama maji na samaki hapo Hezbollah must prepare for the worst,unless otherwise wanyooshe mkono juu mambo yaishe.
Hapa ww ndo umechambua kuna engine hapo juu kama mwanamke aliechaniwa wigi wanavojibu sijui nyege njaa bumbavu zao ukiamua kusema kitu cha kweli chambua bilankuweka mahaba big up broo
 
Wafuasi wa mkosa nyumba akili zenu kama vile ziko njia panda hamjui wapi muende Damascus au Jerusalem, bora mlale chini ya mkunazi mumuote shetani ndio Yesu.

Israel mwambieni atuonyeshe yuko Lebanon leo week tatu ana pokea maiti kugusa ardhi ya Lebanon kashindwa.

Hilo jeshi la Pampers likingia Lebanon ndio tutasema wameisha wacha jinyea. Israel ataishia rusha maboom mwanaume ni yule anapigana vita ya chini face to face.
Mkuu hivi kumbe jeshi la Israel halijakanyaga ardhi ya Lebanon mpaka Leo????
 
Technological gape ya Israel na Hezbollah ndio imewapoza vita ya sasa sio ya kuvaa magwanda na kutunishiana misuli , bali uwe umewekeza kwenye high tech na kwenye high tech kwa Israel ndio kama maji na samaki hapo Hezbollah must prepare for the worst,unless otherwise wanyooshe mkono juu mambo yaishe.
Umenena vema kiongozi.....it's matter of technological gaps
 
Mbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.

Tangu mwaka jana Israeli ilipoanzisha mashambulizi Gaza imekua ikitangaza raia kuhama, inashambulia litakaowakuta, jeshi likiona limemaliza linaondoka na kuhamia eneo jingune.

Mbinu hii inawapa afueni maadui kurudi kujichimbia tena kwenye viunga vya zamani,walikopita na kuondoka askari wa Usrael.

Sasa nimesikia jana toka Bbc kuwa, raia wanatangaziwa kuhama maeneo yanayotakiwa kushambuliwa, atakayekaidi atahesabika ni adui.

Na baada ya mashambulizi, maeneo hayo yatakaliwa na jeshi na hakuna atakayeruhusiwa kuingia ama kutoka, misaada haitaingia na maadui waliokimbia hawatarudi, aliyekaidi kuondoka atakufa kwa njaa na kukosa mahitaji muhimu.

Mbinu hii mpya ikitumika, mateka watapatikana wakiwa hai au wamekufa na ushindi utapatikana.
sheria za kimataifa haziruhusu nchi yoyote ile kuikalia kimabavu nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom