View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1845163894064734623?t=BJx_HHK2DJH9xUpmOmHl1w&s=19
😅😅😅
GOD BLESS ISRAEL
propaganda kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1845163894064734623?t=BJx_HHK2DJH9xUpmOmHl1w&s=19
😅😅😅
GOD BLESS ISRAEL
Hahaha Waisrael weusi wa YELANYALA wanaripoti😀😀Mbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.
Tangu mwaka jana Israeli ilipoanzisha mashambulizi Gaza imekua ikitangaza raia kuhama, inashambulia litakaowakuta, jeshi likiona limemaliza linaondoka na kuhamia eneo jingune.
Mbinu hii inawapa afueni maadui kurudi kujichimbia tena kwenye viunga vya zamani,walikopita na kuondoka askari wa Usrael.
Sasa nimesikia jana toka Bbc kuwa, raia wanatangaziwa kuhama maeneo yanayotakiwa kushambuliwa, atakayekaidi atahesabika ni adui.
Na baada ya mashambulizi, maeneo hayo yatakaliwa na jeshi na hakuna atakayeruhusiwa kuingia ama kutoka, misaada haitaingia na maadui waliokimbia hawatarudi, aliyekaidi kuondoka atakufa kwa njaa na kukosa mahitaji muhimu.
Mbinu hii mpya ikitumika, mateka watapatikana wakiwa hai au wamekufa na ushindi utapatikana.
Iran anaongozwa na hisia za kidini na si ubonadamu.Hebu cikidia kama angewekeza kuwawezesha wapalestina na hao waislam wenzake kiuchumi hayo maeneo yangekuwa zaidi ya dubai.Lakini kwa kuwa anaongozwa na mihemko ya uislam kutawala dunia anawekeza kwenye kununua silaha na kujenga mahandaki huku anaowapa hiyo misaada wakiteseka kwa njaa, umasikini na ujingaN miongoni mwa mtoto pendwa wa Iran na Iran amewekeza sana
Atakachofanywa Iran hamtaaminina huu ndionutakuwa mwisho wa Ugaidipropaganda kazini
Atakachofanywa Iran hamtaaminina huu ndionutakuwa mwisho wa Ugaidi
😂😂😂Ila watu, siyo hiyo ile ilikua propaganda ya vijana wale maarufu kama boys to menHivi hii ndiyo ilitajwa kuhusika na moja wa wagombea urais wetu hapa nchini mwaka 2005
Hapa ww ndo umechambua kuna engine hapo juu kama mwanamke aliechaniwa wigi wanavojibu sijui nyege njaa bumbavu zao ukiamua kusema kitu cha kweli chambua bilankuweka mahaba big up brooTechnological gape ya Israel na Hezbollah ndio imewapoza vita ya sasa sio ya kuvaa magwanda na kutunishiana misuli , bali uwe umewekeza kwenye high tech na kwenye high tech kwa Israel ndio kama maji na samaki hapo Hezbollah must prepare for the worst,unless otherwise wanyooshe mkono juu mambo yaishe.
Ila ujue Yahudi hahesabu siku bali anaangalia malengo yake katika uangamizaji.Kateka kiasi gani bwana israel?..wiki ya tatu sasa
Yani unarudi tena WW2? Huko watu wameshahama.mwanaume ni yule anapigana vita ya chini face to face.
Anahitaji kuwaua kama afanyavyo sio kuwatekaKateka kiasi gani bwana israel?..wiki ya tatu sasa
Kuteka eneoAnahitaji kuwaua kama afanyavyo sio kuwateka
So anapambana kubomoa miji na si kutokomeza uasi?Ila ujue Yahudi hahesabu siku bali anaangalia malengo yake katika uangamizaji.
Angalia Gaza ilivyo baada ya mwaka.
Hii vita wanaoumia ni akina mama na watoto.
Mkuu hivi kumbe jeshi la Israel halijakanyaga ardhi ya Lebanon mpaka Leo????Wafuasi wa mkosa nyumba akili zenu kama vile ziko njia panda hamjui wapi muende Damascus au Jerusalem, bora mlale chini ya mkunazi mumuote shetani ndio Yesu.
Israel mwambieni atuonyeshe yuko Lebanon leo week tatu ana pokea maiti kugusa ardhi ya Lebanon kashindwa.
Hilo jeshi la Pampers likingia Lebanon ndio tutasema wameisha wacha jinyea. Israel ataishia rusha maboom mwanaume ni yule anapigana vita ya chini face to face.
Huwezi kushinda vota kwa kurusha mabomu hovyo na kubomoa majengo lazima ushuke chini hapa ndiyo pagumu kwa Israel, umeishajiulza leo zaidi ya mwaka wanahangaika na Gaza tu Gaza yenyewe Kigamboni kubwa.Yani unarudi tena WW2? Huko watu wameshahama.
Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Umenena vema kiongozi.....it's matter of technological gapsTechnological gape ya Israel na Hezbollah ndio imewapoza vita ya sasa sio ya kuvaa magwanda na kutunishiana misuli , bali uwe umewekeza kwenye high tech na kwenye high tech kwa Israel ndio kama maji na samaki hapo Hezbollah must prepare for the worst,unless otherwise wanyooshe mkono juu mambo yaishe.
sheria za kimataifa haziruhusu nchi yoyote ile kuikalia kimabavu nchi nyingine.Mbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.
Tangu mwaka jana Israeli ilipoanzisha mashambulizi Gaza imekua ikitangaza raia kuhama, inashambulia litakaowakuta, jeshi likiona limemaliza linaondoka na kuhamia eneo jingune.
Mbinu hii inawapa afueni maadui kurudi kujichimbia tena kwenye viunga vya zamani,walikopita na kuondoka askari wa Usrael.
Sasa nimesikia jana toka Bbc kuwa, raia wanatangaziwa kuhama maeneo yanayotakiwa kushambuliwa, atakayekaidi atahesabika ni adui.
Na baada ya mashambulizi, maeneo hayo yatakaliwa na jeshi na hakuna atakayeruhusiwa kuingia ama kutoka, misaada haitaingia na maadui waliokimbia hawatarudi, aliyekaidi kuondoka atakufa kwa njaa na kukosa mahitaji muhimu.
Mbinu hii mpya ikitumika, mateka watapatikana wakiwa hai au wamekufa na ushindi utapatikana.