Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ukiambiwa huna akili utasema unatukanwa Marekani ambae haendeshwi kidini mbona hajawapa msaada makafiri wenzake wahaiti anawaacha wanakufa njaa nakuuanaIran anaongozwa na hisia za kidini na si ubonadamu.Hebu cikidia kama angewekeza kuwawezesha wapalestina na hao waislam wenzake kiuchumi hayo maeneo yangekuwa zaidi ya dubai.Lakini kwa kuwa anaongozwa na mihemko ya uislam kutawala dunia anawekeza kwenye kununua silaha na kujenga mahandaki huku anaowapa hiyo misaada wakiteseka kwa njaa, umasikini na ujinga