gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Ugaidi inategemea umesimama wapi, baada ya kifo cha assad baba,ulaya wakiongozwa na blair wa UK,alihutubia kupambana na ugaidi mashariki ya Kati katika kuapishwa bashar assad, assad alipohutubia alimwambia Blair,huku mashariki ya Kati gaidi ni israelUsiseme uasi sema ugaidi
Hezbollah ni jeshi la mgambo sio jeshi la lebanon. Ila halina haraka na imani yao ya hali ya juu sio rahisi . Watapigana kadri ya nguvu yao ingawa mambo mengi ya kigaidi ysmefanywa na Israel kama vile kuweka bomu kwenye simu ambazo haijalishi hii inatumiwa na nani na inalipuka wapi.Hao ni hedhibollah,,,wanamgambo wenye uzoefu WA kupigana na watu WA kawaida ila sio jeshi imara...Hawana tofauti na boko haramu.Njaa,,nyege na ukatili ndio vinawaongoza.
Hedhibollah ni Kama panzi au panya wenye hedhibollah ya kufa kufa tu.
Je mtu akisema “ waafrika wote ni wanafik “ utaikubali au itakupendeza?Ina maana haujui kuwa nyuma ya israel kuna nani?waarabu wote wamekuwa wanafik unazan hvo vikund vitaweza vp kupgana na marekani,ugermany,engnland,poland n.k.
Israel anashikilia eneo gani Lebanon?.Kwani hao waliofokolewa kwenye mahandaki na sasa wapo Akhera huwajui....tulia dawa ikuingie.
Akionesha mnaanza lia lia Dunia imewatengaWafuasi wa mkosa nyumba akili zenu kama vile ziko njia panda hamjui wapi muende Damascus au Jerusalem, bora mlale chini ya mkunazi mumuote shetani ndio Yesu.
Israel mwambieni atuonyeshe yuko Lebanon leo week tatu ana pokea maiti kugusa ardhi ya Lebanon kashindwa.
Hilo jeshi la Pampers likingia Lebanon ndio tutasema wameisha wacha jinyea. Israel ataishia rusha maboom mwanaume ni yule anapigana vita ya chini face to face.
Palestine wakipewa uhuru mwaka1948 wao wanathamini udini kuliko hatima ya vizaz vyaoJe mtu akisema “ waafrika wote ni wanafik “ utaikubali au itakupendeza?
Vita vya kupaginia hali havikuanza leo. Miaka tangu na tangu. Haina maana wakubali tu kuonea. Palestine struggle inaingia mwaka wa 75 na Inshallah kuna siku watapata haki zao.
Hao Marekani ndio wanafiki wanauma na kipuliza lakini walio waumini wa kweli wanalifahu hilo kwamba hao ni wamoja. Na hao watoto wateule soma historia yao na kila zamani wanapata pigo na kusambaratika kwa sababu ya ukaidi wao na ufisadi kwenye ardhi.
Sijaelewa ulichoandika"Atakachofanywa huyo mnayedhania ni kila kitu hamtaaminina huu ndionutakuwa mwisho wa Ugaidi:"
Iran njiani kuelekea ushindi dhidi ya Marekani na Israel, mataifa mawili yaliyojipa jukumu la kutoa haki kwa watesi wao!
Kwani hawajakimbia hawa Afghanistan, Vietnam Cambodia, au hata Somalia?
Kwani waliondoka kwa kupenda?
Ila kwa Urusi dhidi ya Ukraine ni sahihisheria za kimataifa haziruhusu nchi yoyote ile kuikalia kimabavu nchi nyingine.
Sijaelewa ulichoandika
Watumzi huwa hamuishiwi visa😅. Hiwa mnaanza kidogo kidogo hala Israel akimaliza kazi yake na kuondoka mnarudi kwa nguvu kusema kapigwa hadi kakimbia, kumbe story zenu huwa mnaanza kuziunga kidogokidogo kama vile mnacheza kula tumbakishie baba. Mpaka leo hamjawahi Post kwamba Nasrallah na uongozi wote wamefyekwa.Wafuasi wa mkosa nyumba akili zenu kama vile ziko njia panda hamjui wapi muende Damascus au Jerusalem, bora mlale chini ya mkunazi mumuote shetani ndio Yesu.
Israel mwambieni atuonyeshe yuko Lebanon leo week tatu ana pokea maiti kugusa ardhi ya Lebanon kashindwa.
Hilo jeshi la Pampers likingia Lebanon ndio tutasema wameisha wacha jinyea. Israel ataishia rusha maboom mwanaume ni yule anapigana vita ya chini face to face.
Magazeti na maTV mengi ya magharibi yanamilikiwa na Mayahudi. Pesa yao inatawala Utawala wa marekani. Eli hali wao wanamapungufu mengi Myahudi anapewa billions za dollar free. Na magazeti ndio yanaandika propoganda potofu kama hizi. Palestina ilikuwa koloni la mwingereza kama ilivyokuwa Tanganyika. Mwingereza akawakabidhi Mayahudi.Palestine wakipewa uhuru mwaka1948 wao wanathamini udini kuliko hatima ya vizaz vyao
Latini, LebanonIsrael anashikilia eneo gani Lebanon?.
Basi kwa sababu umeweka hizo allama mbili ". Nimekusamahe ujinga wako. Endelea kua mjinga mjinga.Latini, Lebanon
syria Golan.
Palestine - West bank na Gaza.
Jerusalem Mashariki.
Nimekumbuka mpendwa Magufuli alikadirishwa na katibu mmoja akamwambia “ mbona unaonekana mpumbavu sana wewe?”
Majahil walikuwepo tangu enzi hizo. Hainishtui. Kutukana sio ustaarabuBasi kwa sababu umeweka hizo allama mbili ". Nimekusamahe ujinga wako. Endelea kua mjinga mjinga.
Moja ya kitu ungejiuliza ni Kwa nn Israel anasaidiwa silaha na mfumo ya ulinzi na mataifa ya magharibi?? Kwa nn Israel anacheza ligi ya ulaya badala ya Asia?? Halafu Kwa nini waarabu wanaikataa Israel na yenyewe inaendelea kuwa imara??Hezbollah ni jeshi la mgambo sio jeshi la lebanon. Ila halina haraka na imani yao ya hali ya juu sio rahisi . Watapigana kadri ya nguvu yao ingawa mambo mengi ya kigaidi ysmefanywa na Israel kama vile kuweka bomu kwenye simu ambazo haijalishi hii inatumiwa na nani na inalipuka wapi.
Usisahau hii vita marekani imetoa billions 19 dollars (19,000,000,000) zaidi free silaha etc na baadhi ya nchi zingine za ulaya magharibi kama Uingereza, ujerumani nk.
Ugonjwa mkubwa uliopo ni hii kasumba ya kudanganywa wayahudi ni njia ya kuenda mbinguni wakati wao Wakiristo hawsutambui wala Yesu ambaye wanaumuona ni mwana haramu.
Mtabaki kusema hivyohivyo Panya wanachomolewa mashimoni wakiwa wafu.Israel anashikilia eneo gani Lebanon?.
Hao wajinga kama wajinga wengineVilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Endeleeni kuota labda mshinde na njaaMbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.
Tangu mwaka jana Israeli ilipoanzisha mashambulizi Gaza imekua ikitangaza raia kuhama, inashambulia litakaowakuta, jeshi likiona limemaliza linaondoka na kuhamia eneo jingune.
Mbinu hii inawapa afueni maadui kurudi kujichimbia tena kwenye viunga vya zamani,walikopita na kuondoka askari wa Israel.
Sasa nimesikia jana toka Bbc kuwa, raia wanatangaziwa kuhama maeneo yanayotakiwa kushambuliwa, atakayekaidi atahesabika ni adui.
Na baada ya mashambulizi, maeneo hayo yatakaliwa na jeshi na hakuna atakayeruhusiwa kuingia ama kutoka, misaada haitaingia na maadui waliokimbia hawatarudi, aliyekaidi kuondoka atakufa kwa njaa na kukosa mahitaji muhimu.
Mbinu hii mpya ikitumika, mateka watapatikana wakiwa hai au wamekufa na ushindi utapatikana.