Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ukiambiwa huna akili utasema unatukanwa Marekani ambae haendeshwi kidini mbona hajawapa msaada makafiri wenzake wahaiti anawaacha wanakufa njaa nakuuanaIran anaongozwa na hisia za kidini na si ubonadamu.Hebu cikidia kama angewekeza kuwawezesha wapalestina na hao waislam wenzake kiuchumi hayo maeneo yangekuwa zaidi ya dubai.Lakini kwa kuwa anaongozwa na mihemko ya uislam kutawala dunia anawekeza kwenye kununua silaha na kujenga mahandaki huku anaowapa hiyo misaada wakiteseka kwa njaa, umasikini na ujinga
Vipi mzee bado unaendelea na kauli yako au tuongeze dozi?Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Kwani mna tukio jipya mkuu🤣🤣Vipi mzee bado unaendelea na kauli yako au tuongeze dozi?
Jifunzè english halafu nenda kasome international news ndio uelewe nini kinachoendelea hukoKwani mna tukio jipya mkuu🤣🤣
English is a fu*.en , colonial language, so sina haja ya kuijifunza...Jifunzè english halafu nenda kasome international news ndio uelewe nini kinachoendelea huko
Kwaiyo wameingia au hawajaingia?Kuna tofouti ya kukanyaga na kuingia ndani hata wakifika border wakienda hata meter 50 sio kwamba wameingia wanakwenda lakini wanapigwa na wanauliwa afu wanakimbia. Wakiweza kutuonyesha wako Lebanon kama nusu kilometer au kilometer nawakabaki hap, ndio tutasema wameingia Lebanon. Ile ya selfie kwa kupitia upande wa UNIFIL haha hio ya kitoto sana
Haha yule baba ake AngelaHivi hii ndiyo ilitajwa kuhusika na moja wa wagombea urais wetu hapa nchini mwaka 2005