Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!

Hoja nzuri ni ile inayotolewa kwa lugha nzuri na staha. Huwezi kumjadili Mhe. Rais na CI kirahisi na lugha isiyo na staha! Uhuru wa maoni ni jambo chanya la maendeleo siyo jinai.🙏🙏🙏
Heshima nzuri ya rais inapatikana kupitia uchaguzi wa heshima. Kwa ule uhayawani uliofanyika uchaguzi wa 2020 sioni hii kutaka heshima inatoka wapi. Labda kama unaongelea nidhamu ya woga.
 
Yapo mashetani ya kike, huyu Mzanzibari ni mmojawao
Mkuu Gulwa ,ni katika kukumbushana tuu,kuwa heshima ni kitu cha bure,na kuna heshima ya lazima ya utii kwa mamlaka halali
P
 
Mkuu Gulwa ,ni katika kukumbushana tuu,kuwa heshima ni kitu cha bure,na kuna heshima ya lazima ya utii kwa mamlaka halali
P
Muuaji wa vijana wasio na hatia, fikilia wangekuwa ni wanao au ndugu zako. Mimi ni Yohana mbatizaji, nakemea maovu bila kujali matokeo yake kwangu. Niko tayari kwa lolote. "Bwana asipoulinda mji, waulindao wakesha bure"
 

"lakini ni lazima aheshimiwe na wote?" Ondoa ? ili lisiwe swali uwe wajibu wa kibinaadamu.​

 
Muuaji wa vijana wasio na hatia, fikilia wangekuwa ni wanao au ndugu zako. Mimi ni Yohana mbatizaji, nakemea maovu bila kujali matokeo yake kwangu. Niko tayari kwa lolote. "Bwana asipoulinda mji, waulindao wakesha bure"
Kuna kitu kinachoitwa utii kwa mamlaka。 Mamlaka ya kwanza kutoka chini ni ngazi ya familia,mkuu wa familia ni baba lazima aheshimiwe。 Ngazi ya taifa ni rais,na mamlaka Kuu ni Mungu mwenyewe。Huwezi kumuita hivyo kiongozi wako。
P
 
Kuna mamlaka halali na haramu. Watu wanaoingia madarakani kwa udanganyifu hawastahili kupewa heshima hata kidogo , labda kwenu nyie machawa wao
 
Kuna mamlaka halali na haramu. Watu wanaoingia madarakani kwa udanganyifu hawastahili kupewa heshima hata kidogo , labda kwenu nyie machawa wao
Kuna aina mbili za tawala
za mataifa, defacto na
dejure, zote mbili zinawekwa na Mungu, hata madikiteta ni Mungu huwaweka na huwaondoa.
P
 
Labda huyo ni Mungu msukuma, Mungu wa kweli ni wa haki tu
Mungu ni mmoja tuu, The One and Only, hakuna Mungu wa Wasukuma wala wa kabila lolote.

Pia ni kweli, japo Mungu wa kweli ni Mungu wa haki, lakini kuna wakati anaacha watu wake wale kichapo.
P
 
Mungu ni mmoja tuu, The One and Only, hakuna Mungu wa Wasukuma wala wa kabila lolote.

Pia ni kweli, japo Mungu wa kweli ni Mungu wa haki, lakini kuna wakati anaacha watu wake wale kichapo.
P

,
Hakuna Mungu wa double standard, huyo ni shetani
 
Hakuna Mungu wa double standard, huyo ni shetani
Ni kweli Mungu ni mnyoofu
Ila kuna vitu vibaya vinatokea ni Mungu anaviruhisu, zikiwemo tawala dhalimu au viongozi madikiteta, wanawekwa na Mungu.

Fuatilia wakati anawatoa wana Israel kutoka Misri, alimfanya nini Farao, wazaliwa wa kwanza wanakosa gani?

Unajua aliwatuma wanawake wa Israel wakaazime vito vya gold, silver, fedha na shaba za wa Misri kwa ahadi watarudisha, wakalala nazo mbele!.

Hata Mfalme Daud kumtamani mke wa Uriah, Berthsheba, akamuua mumewe akamtwaa, ndie mama wa Mfalme Suleiman.
P
 
Kwa hiyo hata dhambi ni kazi ya Mungu!
No dhambi sio kazi
ya Mungu, dhambi zote ni kazi ya shetani ila ni Mungu ndiye anaruhusu na kumruhusu shetani, hata kule bustanini
Mungu alimuona alimuona shetani akimtempt Eva, akaona yote tangu tunda linachumwa, lina megwa Eva alivyo enjoy, akampelekea Adam, akamega wakaenjoy na kuishia zao usingizini, Mungu aliona yote na akaruhusu!.

Hata kusulubiwa kwa Yesu, ni Mungu aliruhusu The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!

P
 
Mungu ni mmoja tuu, The One and Only, hakuna Mungu wa Wasukuma wala wa kabila lolote.

Pia ni kweli, japo Mungu wa kweli ni Mungu wa haki, lakini kuna wakati anaacha watu wake wale kichapo.
P
Paschal, mungu sio mmoja, wapo miungu wengi, India peke yake kuna miungu zaidi ya alfu kumi, uarabuni kuna mungu allah, hata hapa kwetu kuna vimiungu kadhaa. isipokuwa, MUNGU WA KWELI NDIYE MMOJA TU, naye ni Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, yaani Mungu wa Israel. miungu mingine yote ni ya uongo kwa sababu ni mapandikizi au maajenti wa shetani, ni kazi za shetani. miungu mingine yote hata kama ipo, haina nguvu kumzidi huyu Mungu wa Kweli. hata wasukuma wana vimiungu vyao kibao huyo simiyu ambako ukivuka nyumba 10 katikati kuna nyumba ya mganga wa jadi. mikoa yote pia. labda ungemfafanulia hivyo.
 
Je unajua kwa nini Mungu alimkataa mfalme Sauli na kumbariki Daudi badala yake? Mfalme au mtawala asiyetenda haki hukataliwa na Mungu na wanadamu pia
 
Samia hawezi kuwa serious na 4Rs kwa mfano kuhusu kifo cha Mzee Kibao "kifo ni kifo tu".

Is she stupid, malicious or both?
Mkuu @kiranga,heshima kitu cha bure,rais wa nchi ni kama baba kwenye familia na akiwa ni mwanamke ni kama mama yako wa kukuzaa,kuna things you can't say about her even if she is!
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…