HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Hilo hawezi limaliza kulipa na kwa kuwa wanakata mpunga mrefu, ina maana litaji compound kana kwamba sheria isipobadilishwa na kiongozi ajaye watu watafikia miaka 60 na pensheni hupewi ili kufidia deni lako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa mkuu huoni ukitumia TIN yako watakuotea?
 
Lipa Deni mjomba!
Me ni nadaiwa na Mungu tu kumshukuru kwa kunipa uhai!
 
Waunganishe mpaka na gridi ya taifa, kuna raia zikiamua kutokulipa hazitalipa 😁
Mimi sitalipa mpak deni liwe linalipika.
Deni gani unalipa ila badala ya kupungua linaongezeka?
Labda wanipeleke jela
 
Ndio maana yake na so kuku block tu deni lako linapelekwa credit reference bureau huwezi kopesheka na combo chochote cha fedha wote wanakuwa na taarifa zako kuwa ni mdaiwa sugu
kwa kuwa tunawafahamu awa tupi tabu kabisa tunafanya kuwasikiliza tu
 
Wakikudaka una kesi ya uhujumu uchumi na haina dhamanaπŸ˜‚
Hahahahah hii ni sawa na kukanyaga chumba chenye floor ya maji yaliowekewa umeme na pembeni kuta imezungushiwa vipande vya chupa.

Mateso yake hayaelezeki.
 
hakika itapendeza waweke mfumo kabisa na TCRA ukitumiwa tu ata salio au buku kumi ije tu msg ya tunashukuru kwa kuwa mzalendo pesa yako imelipa Deni
Ndio mana hata wanalazimisha mabasi yote tiketi zote ziwe za electronic.
Maana yake ukikata tiketi heslib wanakula chao kwannza.
Yaani ubaya ubaya tu.
Wanataka kama ukinunua umeme kuna makato ya rea, vat, heslib. Yaani heslib iwe kila sehemu hata ukinunua pipi.
Wanakuambia weka tin numba yako kwenye risiti.
Ukiweka heslib wanakula chao.

Ne meko haondoki leo wala kesho.
Hii ngoma hadi ishindwe kutembea kama Mugabe
 
hakika itapendeza waweke mfumo kabisa na TCRA ukitumiwa tu ata salio au buku kumi ije tu msg ya tunashukuru kwa kuwa mzalendo pesa yako imelipa Deni
Hahahahahaha aah, nimewaza nimejikuta nacheka tu yan badala ya kusikitika. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nikiwaza jinsi wanvyofyekaga kahela ka mkopo ukitia vocha tu imagine umepigika una njaa ramani hazisomi umetumiwa kahela tu ka kula, "Asante kwa kulipa deni lako la HESLB" na hapo ulikuwa hujui kama kuna mfumo huo..Sijui utalia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…