Hakika ndugu ,mambo mangine Ni kujiendekeza tu ,chuo kikuu unasoma fresh tu bila hiyo loan yao .
Kuna mwamba baba ake alimwambia hakuna kuappy loan mm ntakusomesha mwanzo mwisho.jamaa akamzunguka baba ake aka apply loan ,so akawa anapiga pesa za mshua huku loan wanamlipia Ada na kupata boom Kama kawaida.
Mzee wa watu yeye anatoa tu pesa kwa mwanae na hakuwa na haja ya kumfuatilia Sana ,so kila kitu alikuwa amemwachia jamaa ,mzee Ni kusikiliza tu inahitajika ngapi anatoa tu. Nakumbuka tulikula Sana bata club Ambassador pale posta na kwa dj Mbowe club billcanas coz jamaa alikuwa anasoma Ifm mm jalalani huko mlimani, Basi navutiwa tu waya njoo tuburudike mwamba.
Mungu si juma bwana saiz yupo serikalin lakin had leo anajuta kwann alifanya ule ujinga maana salary slip yake inasoma den la haja na sidhan km atalimaliza Leo na baba ake hajui kitu so ibak Siri yake yeye na mm tu.
Ila maumiv alio nayo Ni hatar ,na baba ake saiz ashajitoa kumsapot coz tayal nae ana Kaz yake