Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee 💯 America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
Hiki Ni kisingizio Cha ajabu kabisa
 
Wakati wanawake na watoto wanauwawa kwenye majumba yao wanaume wanakuwa wapi, yaani wanaume wanajificha chini ya mahandaki Kama panya buku mnawaacha mama na binti zenu majumbani ili wauwawe, halafu asubuhi mnatoka mashimoni, mnabeba maiti kuonyesha waandishi wa habari

Kwa nini msiwafiche mama zetu kwenye hayo mahandaki? Nyie ndio mbaki majumbani kupambana na wanaume wenzenu
 
Wenzako wameisha rudi mpakani kama huna habari mtasikia wanakubali kurudisha matekwa kwa amri ya Super Power wa Middle East Al Qasam brugedies [ Hamasi]

Watu wakanisani lazima wawe wanapenda mchezo wao.
Mkuu ukiamka kamuone daktari upate tiba maana ubongo unaharibika kwa kasi ya ajabu
 
Gaza wanaume tu ndio wako nje, wewe uko Gaza sehemu gani mwanamke we, wanawake wote wa Gaza wako shimoni toka 7 oktoba, jamani kumbe binadamu anaweza kuishi chini ya ardhi kama nguchiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ustaadh wewe unabwabwaja ujinga hapa coz ulikimbilia Tanzania, but ungebaki kwenu huko sahivi ungekuwa chini ya ardhi kama Hassan Nasrallah kiongozi wenu ametoa mahubiri yake kwenu akiwa chini ardhi kama panya ubatwambia nini hapa🤣🤣🤣
Njaa,giza,hakuna maji kumeshawapiga wanatoka shimoni mmoja mmoja saiv

hamas hawakupiga vizuri hesabu
 
Katika maisha yangu nilijua uislamu na unafiki ni adui, lakini kwa sasa naona tofauti sana.
Huyo muezbulah nimemsikia akisifu Hamas kwa kuishambulia Israel,kuua na kuteka watu, lakini akailaumu Israel kwa kuwapiga Hamas hata wakiwa ndani ya mashimo! Huu ndiyo uislamu? Au ni ulebanon.
" Imeandikwa waueni hata kama wakiwa wamejificha chini ya mawe"
Sasa wayahudi wao wamekuja na hili" waueni hata kama watakuwa wamejificha chini ya ardhi"
Watakuelewa sasa hawa wana mnyaazi
 
Gaza wanaume tu ndio wako nje, wewe uko Gaza sehemu gani mwanamke we, wanawake wote wa Gaza wako shimoni toka 7 oktoba, jamani kumbe binadamu anaweza kuishi chini ya ardhi kama nguchiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ustaadh wewe unabwabwaja ujinga hapa coz ulikimbilia Tanzania, but ungebaki kwenu huko sahivi ungekuwa chini ya ardhi kama Hassan Nasrallah kiongozi wenu ametoa mahubiri yake kwenu akiwa chini ardhi kama panya ubatwambia nini hapa🤣🤣🤣
Kwanza we muimba kwaya mimi sipo Gaza pili nani kakuambia wanaume wako chini ya ardhi kwa sababu wanamuogopa Israel? Hio tack tick n kamji hata km 80 hakafiki kamewekea blocked kila kitu kuanzia chakula, mafuta, dawa, silaha, na kanachangiwa na madui kila sehemu kuanzia Egypt, Jordan kasingize hata silaha na bado kunawapiga nyie waisrael, America, uingereza. Italy. France,Germany, Ukraine, United Arab Emirates, Jordan na bado hamjarudisha hata matekwa mmoja.

Ingekuwa maneno yako ni kweli wanaume wapo chini ya ardhi basi wangeisha izunguka Gaza sa ivi hakingia kifaru hata km 5 kinarudishwa nyuma au kina ripuliwa je vifaru vinatembea chini 😄 nani anaye virudisha na kuvirupua kama si wanaume washoka.

We akili zako kuna mtu anaweza kupigana vita na jeshi linatumia kila aina ya silaha imeharamishwa kutumiwa na UN na wana ndege za kisasa F35 na F16 aende bila cover ya aina yoyote ile we kichaa nini.

Hivi Hamasi angepewa.msada tu wa silaha za kuangusha ndege basi wanaume wangeisha mzunguka Natanyahau Tela Aviv sio hao mashoga zenu mnajikusanya mpakani leo mwezi na bado mnaogopa hata kutembea km 5 mnaishia kuchukua Hollywood film kwenye majumba mlio wauwa watu wasio na hatia na hakuna mtu anaishi tena mgetuonyesha basi silaha mlizo vunja kwenye hayo majumba.

Mtu yeyote yule mwenye akili zake timamu anafahamu wazi Israel hawezi pigana vita na Hamasi ndio sababu anakimbilia kuwauwa watoto na wanawake anadhani kufanya hivyo Hamasi atasimamisha vita 😄

Rudi kanisani kaimbe zile nyimbo za Yesu kafa kwa ajili yenu
 
Hebu wambie Israel watuonyeshe basi wamefika Gaza na wameisha warudisha matekwa?

Yani kama si usenge hu ni kitu gani una jeshi karibu watu 350,000 una vifaru ambavyo vina cost kimoja zaid ya mamillion, air force za kila aina, Navy na support kutoka America, Europe na nchi za Kiarabu Egypt, Jordan, UAE na bado hata matekwa mmoja hamjamrudisha kwa kutumia ule mnauita u super power wenu 😄

Tunacho ona watoto wengine hata hawafiki siku 10 wameuliwa na boom lina cost mamillion kweli akili Mali afu wengine mnaona Hamasi wamejificha nyuma ya mtoto 😄 Ukristo kweli ni ujinga nyie na baniani hamna tofauti wale wanabudu ngombe nyie binadamu

Yesu kachukua dhambi zako au ✨
Hahahaha😂😂😂
 
Njaa,giza,hakuna maji kumeshawapiga wanatoka shimoni mmoja mmoja saiv

hamas hawakupiga vizuri hesabu
Hamasi anachakula kinamtosha miaka dalili yule matekwa ki mama kilisema uislam kweli dini ikabidi Israel waseme kimama kile kichaa 😄 Nasikia kaingia Uislam takibiriii Allah Akbar

Wao wanazuia chakula kwa wale watu hawahusiki na Hamasi na kuwafanyia vile wanadhani watasababisha wawachukie Hamasi lakini wengine ndio kwanza wanaenda jiunga ili wamtie adabu Israel
 
Israel is getting SMOKED by Hamas Guerilla warfare
 

Attachments

  • twidown.mp4
    374.5 KB
Hahahaha😂😂😂
Yani watu wanakimbia Israel Irone dome iko wapi, hivi hawa wafuasi wa taifa teule bado wapo mpagala na kigamboni lini watatua Tela Aviv


View: https://youtu.be/vZ-URo0QspY?si=eZyG2dkRVplA3r-K

Wambie majumba ya Israel mengi yapo tupu waende wakaishi kule ni taifa teule huyu aliye tunga bibilia angekuwa hai angejitia kitanzi kwa hi aibu ya kusema Israel ni taifa teule, angesema taifa la kishetani labda tungekubaliana naye sababu action za Israel ni za kishetani kabisa We unapigwa na Hamasi afu unaenda piga hospital, watoto na wanawake hawana hata risasi wacha bunduki


View: https://youtu.be/T_fC5J-qvqU?si=MxBZnU5Wy8LIVnOB
 
Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika akaenda zake.

Ifahamike kwa sasa hakuna taifa au kundi lolote linalotaka kujiingiza kwenye huu ugomvi, hata kubwa la magaidi ya dini, Iran, limeogopa na kukaa pembeni, kwa sasa HAMAS wako wenyewe na picha za satellite zinaonyeshwa Gaza imezingirwa kote.....

Hivi waarabu wa Bongo waliandamana jana?

ai2html-graphic-mobile375.11af033c.png



For weeks, Lebanon was preparing for war. People spoke about their backup plans in hushed tones. The government said it was putting together contingency supplies for the public’s basic necessities.

It all hinged on Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah’s thinking about the Hamas-Israel war, which he kept close to his chest before breaking his nearly month-long silence about October 7 on Friday.

In a fiery speech from an undisclosed location, the reclusive head of the Iran-backed Lebanese militant group heaped praise on Hamas and hailed the war as a “turning point” in the Arab-Israeli conflict. He extolled the virtues of the weekslong cross-fire with Israel on Lebanon’s southern border, which he described as an “unprecedented battle.”

He also said Hezbollah would be "prepared for all scenarios,” and that any escalation by the Israeli army at the border would be a "historic folly" that would prompt a major response.

Yet for all the tough talk, Nasrallah was not banging war drums. He said Hezbollah’s “primary goal” was to achieve a ceasefire in Gaza, and said it was incumbent on the US — which he held directly responsible for the bloodshed in the Palestinian enclave — to implement the cessation of hostilities.

What this tells us is that Nasrallah’s immediate plans do not include a broader conflict.

This may come as a disappointment to many in the Arab street. When the pro-Palestinian demonstrations washed over much of the region in recent weeks, many of the chants called on Nasrallah to go to war.

But it will be a relief to Israel’s Western allies, who fear a wider regional conflict and have repeatedly warned Nasrallah not to enter the fray. Two US aircraft carriers — including the nuclear-power USS Gerald Ford — were dispatched to the Mediterranean in an apparent bid to deter Hezbollah.

That relief will be shared by many in Lebanon. The tiny eastern Mediterranean country has barely recovered from the devastating economic crisis of 2019, and much of the population — while horrified by the soaring death toll and widespread destruction wrought by Israel’s offensive in Gaza — has been worn down by decades of war and crises.

Nasrallah may have been restrained by that popular sentiment, or he may have concluded, after weeks of deliberation, that his powerful paramilitary has too much to lose in a war with Israel.
Nimesikitika sana jamaa anahutubia wafuasi wake alafu hajulikani sehemu alipo Kisha likizuka timbwili yy anakula zake tende na halua raia huku wanakufa
 
Yani watu wanakimbia Israel Irone dome iko wapi, hivi hawa wafuasi wa taifa teule bado wapo mpagala na kigamboni lini watatua Tela Aviv


View: https://youtu.be/vZ-URo0QspY?si=eZyG2dkRVplA3r-K

Wambie majumba ya Israel mengi yapo tupu waende wakaishi kule ni taifa teule huyu aliye tunga bibilia angekuwa hai angejitia kitanzi kwa hi aibu ya kusema Israel ni taifa teule, angesema taifa la kishetani labda tungekubaliana naye sababu action za Israel ni za kishetani kabisa We unapigwa na Hamasi afu unaenda piga hospital, watoto na wanawake hawana hata risasi wacha bunduki


View: https://youtu.be/T_fC5J-qvqU?si=MxBZnU5Wy8LIVnOB

Wapo wengi Waisrael weusi wanakesha JF wengi wanaishi Kimara Temboni wengine Kibosho wengine Makete na Kashai Bukoba.. hawa jamaa wapo radhi hata akija Musrael makwao wawape wake zao😂.
 
Wameufyata pamoja na bwana wao irani alitishia kwamba israel wakiingia gaza wataingilia lakini mpaka sasa hakuna dalili,hii ni fefhea bora wangekaa kimya kuliko kutoa vitisho wasivyoweza kutmiza
Yule wazir wa mambo ya nje wa Iran wiki 2 zilizopita alitweet kwenye account yake " The TIME IS OVER" nikajua mtifuano unaanza kumbe mkwara tu wanajidhalilisha kwakweli Bora wangekaa kimya tu huku wakifanya harakati zao chini kwa chini.
 
Katika maisha yangu nilijua uislamu na unafiki ni adui, lakini kwa sasa naona tofauti sana.
Huyo muezbulah nimemsikia akisifu Hamas kwa kuishambulia Israel,kuua na kuteka watu, lakini akailaumu Israel kwa kuwapiga Hamas hata wakiwa ndani ya mashimo! Huu ndiyo uislamu? Au ni ulebanon.
" Imeandikwa waueni hata kama wakiwa wamejificha chini ya mawe"
Sasa wayahudi wao wamekuja na hili" waueni hata kama watakuwa wamejificha chini ya ardhi"
Siyo hiyo tu wayahudi wamekuja na mpya yaueni hata kama yamejificha nyuma ya mitoto na miwanawake msiysonee huruma yaueni yote tu.
 
Yule wazir wa mambo ya nje wa Iran wiki 2 zilizopita alitweet kwenye account yake " The TIME IS OVER" nikajua mtifuano unaanza kumbe mkwara tu wanajidhalilisha kwakweli Bora wangekaa kimya tu huku wakifanya harakati zao chini kwa chini.
ISRAEL HAS PASSED THE RED LINE. Nikikumbuka hule mkwara.
 
Back
Top Bottom