Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Wakati wanawake na watoto wanauwawa kwenye majumba yao wanaume wanakuwa wapi, yaani wanaume wanajificha chini ya mahandaki Kama panya buku mnawaacha mama na binti zenu majumbani ili wauwawe, halafu asubuhi mnatoka mashimoni, mnabeba maiti kuonyesha waandishi wa habari

Kwa nini msiwafiche mama zetu kwenye hayo mahandaki? Nyie ndio mbaki majumbani kupambana na wanaume wenzenu
Inasikitisha kwakweli.
 
Danny Yatom, former head of the Mossad, in an article today in Yedioth Ahronoth:


What is happening? Has the Lord of Moses and Aaron abandoned us? I don't understand what's going on?


An Israeli-made Merkava tank, the pride of Tel Aviv's industry, costing $170 million, was wiped off the face of the earth by an RPG? I do not believe that!


Was this steel fortress tank destroyed by an


RPG? Has anyone seen that when our tank was hit by this shell, the ground shook and the tank exploded as if it had been hit by a bomb weighing a ton of stores? I do not believe that. Who fights with them? Who fights with them?


There are hidden ghosts that help them kill the Jews. Did the Lord of Moses and Aaron abandon us? There is a hidden force that helps them and fights with them. Since October 7, they have not missed the target in their attacks on us throughout Palestine, as if they had a satellite. Unfortunately, the end of the State of Israel is definitely approaching!
 
Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika akaenda zake.

Ifahamike kwa sasa hakuna taifa au kundi lolote linalotaka kujiingiza kwenye huu ugomvi, hata kubwa la magaidi ya dini, Iran, limeogopa na kukaa pembeni, kwa sasa HAMAS wako wenyewe na picha za satellite zinaonyeshwa Gaza imezingirwa kote.....

Hivi waarabu wa Bongo waliandamana jana?

ai2html-graphic-mobile375.11af033c.png



For weeks, Lebanon was preparing for war. People spoke about their backup plans in hushed tones. The government said it was putting together contingency supplies for the public’s basic necessities.

It all hinged on Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah’s thinking about the Hamas-Israel war, which he kept close to his chest before breaking his nearly month-long silence about October 7 on Friday.

In a fiery speech from an undisclosed location, the reclusive head of the Iran-backed Lebanese militant group heaped praise on Hamas and hailed the war as a “turning point” in the Arab-Israeli conflict. He extolled the virtues of the weekslong cross-fire with Israel on Lebanon’s southern border, which he described as an “unprecedented battle.”

He also said Hezbollah would be "prepared for all scenarios,” and that any escalation by the Israeli army at the border would be a "historic folly" that would prompt a major response.

Yet for all the tough talk, Nasrallah was not banging war drums. He said Hezbollah’s “primary goal” was to achieve a ceasefire in Gaza, and said it was incumbent on the US — which he held directly responsible for the bloodshed in the Palestinian enclave — to implement the cessation of hostilities.

What this tells us is that Nasrallah’s immediate plans do not include a broader conflict.

This may come as a disappointment to many in the Arab street. When the pro-Palestinian demonstrations washed over much of the region in recent weeks, many of the chants called on Nasrallah to go to war.

But it will be a relief to Israel’s Western allies, who fear a wider regional conflict and have repeatedly warned Nasrallah not to enter the fray. Two US aircraft carriers — including the nuclear-power USS Gerald Ford — were dispatched to the Mediterranean in an apparent bid to deter Hezbollah.

That relief will be shared by many in Lebanon. The tiny eastern Mediterranean country has barely recovered from the devastating economic crisis of 2019, and much of the population — while horrified by the soaring death toll and widespread destruction wrought by Israel’s offensive in Gaza — has been worn down by decades of war and crises.

Nasrallah may have been restrained by that popular sentiment, or he may have concluded, after weeks of deliberation, that his powerful paramilitary has too much to lose in a war with Israel.
Bora hata Hamasi ni pitbull aking'ata haachii lakini Hizboollah ni mbwaa Koko kabisaaaa linabwekea ndani ya geti, nyambaf sana....
 
Hezbollah anajua tu akianza vita hapo Lebanon hapatakalika. Na hali ya uchumi itakua mbaya zaidi kuliko ilivyo sasa
 
I say to the residents of the Gaza Strip! Those who can contribute to the release of the hostages will be protected, the rest deserve to die ,” former Israeli Defense Minister Benny Gantz said on Israeli television.

😂😂Ndoano imenasa mikwara yote imeenda wapi Waziri wa Ulinzi anaomba msaada kwa raia wa Gaza wawapate mateka.
 
Kwani watu hapa wanaongelea dini na idadi ya waumini shekhe?🤣🤣🤣🤣🤣
Nasrallah katoa hotuba akiwa shimoni kama nguchiro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kimsboy ndio yuko nje kwasababu alikimbilia Tanzania, naye sahivi angekuwa shimoni🤣🤣🤣🤣
Hujui kwamba netanyahu kahama nyumba ?nyumba yako mwenyewe unaikimbia
 
El
Magaidi huwa mnadanganyana sana.
ELimu ndio tatizo lako hata hujui kama mayahudi hawautaki ukristo na israel siyo nchi ya kikristo mmeshadanganywa na maaskofu wenu mnaenda tu kama vipofu , kumbe kitu kidogo kama hiki hujui
 
Tunajua yote na tunajua ni kwanini Iko hivyo, usitufundishe labda kama unahitaji kufahamishwa useme...

Unayajua makabila 12 ya Israel na unajua kitabu Cha Ufunuo wa Yohana kinasemaje kuwahusu?
Toa data acha porojo acheni kujidanganya israel haijawahi kuwa nchi ya kikristo na haina wakristo ila kuna waislamu wengi full stop,
 
Kiongozi wa Hezbollah anaishi kama digidigi. Katoa hotuba akiwa kajificha kusikojuliana akiogopa kuuliwa.

Afu huyu ndio mnategemea aanzishe vita. Pro-Palestina mna kazi sana
 
Toa data acha porojo acheni kujidanganya israel haijawahi kuwa nchi ya kikristo na haina wakristo ila kuna waislamu wengi full stop,
Nimekwambia hivi, tunajua Ina waislamu wengi kuliko wakristo na tunajua kwanini waIsrael sio wakristo, na nikarejea BIBLIA TAKATIFU....

Sasa unataka data Gani???

Kama ni kuhusu wingi wa Uislamu kuwazidi waKristo, nchini Israel, ingetosha kuwa kigezo Cha kuacha kuwapiga Hamas Kwa maana Hamas ni Waislamu...

Sasa hata huelewi ni kwanini Israel inapigana na Hamas...!!!
 
Wapo wengi Waisrael weusi wanakesha JF wengi wanaishi Kimara Temboni wengine Kibosho wengine Makete na Kashai Bukoba.. hawa jamaa wapo radhi hata akija Musrael makwao wawape wake zao😂.
Niliwauliza swali hawakunijibu mtume wao Paulo alipo andika hi bibilia Israel ilikuwa wapi? Hawakunijibu

Nikawauliza swali lingine je watoto wa Yakobo wote ni wakina Natanyahau au wako mataifa mengine? Hawakunijibu

Nikawauliza watu kutoka Misri na wa Palestine ni wajukuu wanani? Hawakunijibu

Hayo yote tisa Yesu alitumwa kwa kondoo wa Israel hao wa Kigoma na Mtwara wanadamu za kiyahudi? Si bora hata wa Haibeshi wanazo damu za kiyahudi.

Bibili wanaisoma na hawajaifahamu Yesu anawambia Hakuna mtu kamuona Mungu akaishi na wao wanasema Yesu alikuja kwa umbo la binadamu 😄

Hawa watu shida sana mtu anaye hesabu watoto na wanawake ndio jeshi la Hamasi na anahesabu wamekufa wangapi. Hivi atakuwa sawa
 
Israel inaamini katika teknolojia yake, imewekeza katika teknolojia kwa kujua kwamba itawalinda na kuwaokoa kwenye vita, lakini hao Hamas sio wajinga wana wasiliana ana kwa ana, na pia wamesha soma mchezo mzima.

Machines ni machines tu, it doesnt matter ime cost billions ngapi kuibuni, always ina weakness tu, na binadamu lazima atatafuta weak point yake na kuiweza, tumeshuhudia iron dome.

Hizi stunt za Israel kutumia vyombo vya habari kuonesha dunia wana advanced tech haijasaidia lolote, ni upumbavu kufikiri kwamba machine itamzidi binadamu ujanja, kuna hii software ya Israel Pegasus ni masuala ya signal intelligence, kuingilia mawasiliano, lakini hao Hamas sio wajinga, wanapewa taarifa za kijasusi namna ya kuwasiliana n.k.

Wana namna ya kuwasiliana, tena unakuta wanawasiliana face to face, njia ya zamani kabisa ya mawasiliano lakini very safe.

Imeshadhihirisha tech haiwezi saidia Israel kushambuliwa, kikubwa wafanye kingine, rockets za Hamas walizotumia moja wanasema ni dola 300 hadi 800, interceptor ya iron dome ni dola 50,000. Hio tayari ni hasara.

Jamaa wakarusha kombora nyingi sana kiasi kwamba iron dome ikazidiwa, ikabidi iwe inaruhusu tu missiles.
 
Nimekwambia hivi, tunajua Ina waislamu wengi kuliko wakristo na tunajua kwanini waIsrael sio wakristo, na nikarejea BIBLIA TAKATIFU....

Sasa unataka data Gani???

Kama ni kuhusu wingi wa Uislamu kuwazidi waKristo, nchini Israel, ingetosha kuwa kigezo Cha kuacha kuwapiga Hamas Kwa maana Hamas ni Waislamu...

Sasa hata huelewi ni kwanini Israel inapigana na Hamas...!!!
Israel kupigana na hamas ni zuga tu malengo ni marekani kutengeneza taifa la wazungu middle east kwa sababu za kiuchumi hakuna chochote kipya its a long term plan hata yzark rabin alipotaka kuwe na amani walimuua right away, kukiwa na amani lengo la kujipanua na kucontrol middle east halitawezekana , angalia speech ya biden 1986 akiliambia bunge la marekani ,"we have to create a nation in middle east whether israel or artificial israel "
 
Nimekwambia hivi, tunajua Ina waislamu wengi kuliko wakristo na tunajua kwanini waIsrael sio wakristo, na nikarejea BIBLIA TAKATIFU....

Sasa unataka data Gani???

Kama ni kuhusu wingi wa Uislamu kuwazidi waKristo, nchini Israel, ingetosha kuwa kigezo Cha kuacha kuwapiga Hamas Kwa maana Hamas ni Waislamu...

Sasa hata huelewi ni kwanini Israel inapigana na Hamas...!!!
Hili ndio lengo mkuu achan kudanganywa kuhusu taifa teule na upuuzi kama huo lengo ni kutengeneza taifa la wazungu kulinda maslahi ya marekani na westerners, ndio maana wazungu watatumia gharama yoyote kulitengeneza na ni jukumu lao wote kulilinda maana linalinda maslahi yao middle east, kama walivyoibomoa libya kwa pamoja na iraq, wazungu wanalinda maslahi yao ya kiuchumi kwa gharama yoyote
 

Attachments

  • Screenshot_20231104-112417_YouTube.jpg
    Screenshot_20231104-112417_YouTube.jpg
    109 KB · Views: 1
😄 we jifurahishe tu lazima ufahamu Hezbullah hamuogopi Israel na America, pili Hezbullah jana kampa warning Us na Israel kuwa hawapi guarantee 💯 hata ingia total war.

Unafahamu sababu gani? Kwanza America kawapa guarantee kuwa atawakataza Israel wasiuwe civilian, pili hataki vita kwakuwambia serekali ya Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war.

Kitu kingine Hezbullah wamesema hawataki kwa sasa kuingia total war na Israel sababu wanamini Israel hawezi kumshinda vita Hamasi na hawezi kurudisha hao matekwa hata afanye vipi.

Wataingia total war kama Israel ataendelea kuwapiga civilian wasio na hatia.

Hezbullah leader kauliza maswali mawili muhimu sana Je Israel kapata kitu gani katika hi vita.

Cha kwanza Hamasi bado wanamrushia missiles kama kawaida kwa hio kwenye mambo ya askari hakuna alichofanya.

PILI hao matekwa karudisha hata mmoja? Hakuna.

Gaza kaingia hajaingia sasa hi vita kapata nini zaidi ya kuwapiga watoto, wanawake na kuvunja majumba na magari hata ambulance huyu ndio super power 😄

Tatizo la waarabu ni waoga. Matamko mengi kujificha kwingi. Matendo sifuri.

Tunasubiri Hao Hezibola waingie naamini nao watafurahishwa tena ndani ya nchi ya Lebanon. Hesabu za Wayahudi zinajulikana.
Kisasi chao kinafahamika.
Kwa hiyo wanakaribishwa kuonja Sumu.

Badala Waarabu waungane kupambana na dhalimu Israel yao yenyewe yanakalia kubweka kama mbwa Koko. Upuuzi tuu
 
Israel kupigana na hamas ni zuga tu malengo ni marekani kutengeneza taifa la wazungu middle east kwa sababu za kiuchumi hakuna chochote kipya its a long term plan hata yzark rabin alipotaka kuwe na amani walimuua right away, kukiwa na amani lengo la kujipanua na kucontrol middle east halitawezekana , angalia speech ya biden 1986 akiliambia bunge la marekani ,"we have to create a nation in middle east whether israel or artificial israel "

Ni kweli Kabisa.
Lengo la Wazungu ni kuanzisha taifa lenye tamaduni za kizungu hapo Mashariki ya kati ambalo litachochea mabadiliko ya kiutamaduni na ku- neutralise utamaduni wa kiarabu.

Tatizo la waarabu wameshapasuka vipande vipande hawana umoja tena
 
Usichokijua israel hakuna wakristo na waislamu wapo 20% huku wakristo hata 2% hawafiki
SIsi tunafurahia waislam hamas wanavyopigika.. issues ya kuwepo wakristo hatujali.....

Mnajidai sijui jihad ...asa kapiganeni uko msaidie mabwana zenu wanamalizwa na muisrael
 
Tatizo la waarabu ni waoga. Matamko mengi kujificha kwingi. Matendo sifuri.

Tunasubiri Hao Hezibola waingie naamini nao watafurahishwa tena ndani ya nchi ya Lebanon. Hesabu za Wayahudi zinajulikana.
Kisasi chao kinafahamika.
Kwa hiyo wanakaribishwa kuonja Sumu.

Badala Waarabu waungane kupambana na dhalimu Israel yao yenyewe yanakalia kubweka kama mbwa Koko. Upuuzi tuu
Walishaungana mara kibao wakachukua kipigo cha mbwa mwizi. Hawana hamu tena. We unadhani kuanzisha vita ni kiti rahisi?!
 
Back
Top Bottom