Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

SIsi tunafurahia waislam hamas wanavyopigika.. issues ya kuwepo wakristo hatujali.....

Mnajidai sijui jihad ...asa kapiganeni uko msaidie mabwana zenu wanamalizwa na muisrael
Mtu mwenye akili kama yako wala huna hoja ni upuuzi kubishana na wewe
 
Walishaungana mara kibao wakachukua kipigo cha mbwa mwizi. Hawana hamu tena. We unadhani kuanzisha vita ni kiti rahisi?!
Mkuu yaliungana mataifa matatu tu ,na wakashindwa kupigana na israel maana yake ni kupigana na mataifa yote ya magharibi yani ufaransa, marekani, germany na uingereza, otherwise israel kama israel ni small invented country ambayo kwa bahati mbaya aliingia mwenyewe 2006 na hezbollah akachapika pia
 
Kiongozi wa Hezbollah anaishi kama digidigi. Katoa hotuba akiwa kajificha kusikojuliana akiogopa kuuliwa.

Afu huyu ndio mnategemea aanzishe vita. Pro-Palestina mna kazi sana
We mnyiramba unafikiria upo mkalama hapo ni Beirut jiji hilo vipi aishi kwenye pori.

Afu mbona Israel anachezea kichapo tu toka kwa Hezbullah toka tarehe 8/10 kwanini Israel anaogopa kupiga kama Gaza, ungewauliza Israel nani anaye muogopa mwenzake 😄
 
Tatizo la waarabu ni waoga. Matamko mengi kujificha kwingi. Matendo sifuri.

Tunasubiri Hao Hezibola waingie naamini nao watafurahishwa tena ndani ya nchi ya Lebanon. Hesabu za Wayahudi zinajulikana.
Kisasi chao kinafahamika.
Kwa hiyo wanakaribishwa kuonja Sumu.

Badala Waarabu waungane kupambana na dhalimu Israel yao yenyewe yanakalia kubweka kama mbwa Koko. Upuuzi tuu
Hivi we unasubiri nini tena wakati Hezbullah anamtandika kila kukicha Israel tokea tarehe 8/10 na Hezbullah kasema official sisi tunapiga Israel na kampa warning Israel akikosea step akapiga civilian kama Gaza wata face serious Qusquances .

Mwambieni Israel apige tena civilian wa 🇱🇧 kama wao wanaume.

Usisahu kawapa warning wa America na Israel kuwa mimi msiseme sitaingia total war naweza kuingia anytime, we kaa unaimba Israel wenzako wanakimbia huko wanasema Hamasi missiles zake ni moto Iron dome ni bure kabisa 😄
 
Israel kupigana na hamas ni zuga tu malengo ni marekani kutengeneza taifa la wazungu middle east kwa sababu za kiuchumi hakuna chochote kipya its a long term plan hata yzark rabin alipotaka kuwe na amani walimuua right away, kukiwa na amani lengo la kujipanua na kucontrol middle east halitawezekana , angalia speech ya biden 1986 akiliambia bunge la marekani ,"we have to create a nation in middle east whether israel or artificial israel "
Mkuu skiza Kukubali kudanganywa ni uamuzi wa mtu, na ninashangaa sana nimeshakwambia Rejea/Reference yangu ni BIBLIA TAKATIFU, wewe unaanza kunambia mambo ya Biden 1986.

Mtu mwovu kama ilivyokuwa Kwa Yuda Iskariote, aweza kufanya jambo kumbe Lile jambo liko KIBIBLIA, MAANDIKO YATIMIE...

Sijui unanielewa?

Huo sio mpango wa Marekani kuunda, hakuna taifa la Israel linaloundwa sababu kuunda unaanza mwanzo kabisa, Huo ni mpango wa Mungu kurejesha taifa la Israeli, tayari alishaliumba Kule Kwa kina Joshua na Kalebu...

Na kimsingi hakuna taifa litaishinda Israel ikiwa ndani ya mipaka yake, labda watoke nje ya mipaka Yako...
Hili ndio lengo mkuu achan kudanganywa kuhusu taifa teule na upuuzi kama huo lengo ni kutengeneza taifa la wazungu kulinda maslahi ya marekani na westerners, ndio maana wazungu watatumia gharama yoyote kulitengeneza na ni jukumu lao wote kulilinda maana linalinda maslahi yao middle east, kama walivyoibomoa libya kwa pamoja na iraq, wazungu wanalinda maslahi yao ya kiuchumi kwa gharama yoyote
 
Hivi we unasubiri nini tena wakati Hezbullah anamtandika kila kukicha Israel tokea tarehe 8/10 na Hezbullah kasema official sisi tunapiga Israel na kampa warning Israel akikosea step akapiga civilian kama Gaza wata face serious Qusquances .

Mwambieni Israel apige tena civilian wa 🇱🇧 kama wao wanaume.

Usisahu kawapa warning wa America na Israel kuwa mimi msiseme sitaingia total war naweza kuingia anytime, we kaa unaimba Israel wenzako wanakimbia huko wanasema Hamasi missiles zake ni moto Iron dome ni bure kabisa 😄

Pole sana mkuu.
Tatizo la waarabu wanafanana akili kama wewe.
Wenzako wanachukua maeneo yenu ninyi mnapiga porojo.
Endelea kujitia wendawazimu mbele ya Watu wenye Akili.
 
Mkuu skiza Kukubali kudanganywa ni uamuzi wa mtu, na ninashangaa sana nimeshakwambia Rejea/Reference yangu ni BIBLIA TAKATIFU, wewe unaanza kunambia mambo ya Biden 1986.

Mtu mwovu kama ilivyokuwa Kwa Yuda Iskariote, aweza kufanya jambo kumbe Lile jambo liko KIBIBLIA, MAANDIKO YATIMIE...

Sijui unanielewa?

Huo sio mpango wa Marekani kuunda, hakuna taifa la Israel linaloundwa sababu kuunda unaanza mwanzo kabisa, Huo ni mpango wa Mungu kurejesha taifa la Israeli, tayari alishaliumba Kule Kwa kina Joshua na Kalebu...

Na kimsingi hakuna taifa litaishinda Israel ikiwa ndani ya mipaka yake, labda watoke nje ya mipaka Yako...
ISrael imeanzishwa na magharibi kwa makusidi na kwa kutumia weakness za watu kama nyie sasa mbona marekani na papa ni sawa kuoana wanaume kwa wanaume hamtaki ila mnachagua vya kusikiliza , maana aliyetunga huu uongo ni huyo mmarekani na yeye ndio anafadhiili kila kitu , na hataki amani iwepo kwa sababu zake kwa sababu kabla ya marekani kuanzisha mpango wake huu wa ushetani orthodox jews na palestines waliishi kwa amani
 
Pole sana mkuu.
Tatizo la waarabu wanafanana akili kama wewe.
Wenzako wanachukua maeneo yenu ninyi mnapiga porojo.
Endelea kujitia wendawazimu mbele ya Watu wenye Akili.

View: https://youtu.be/MYfzH4VmJzg?si=78GC1JBiQzj7Xjtg

Nimeisha kuambieni hakuna mkristo ananizidi akili sababu mimi akili yangu tofauti na mtu anaye amini ujinga wa bibilia huyo super power wenu ndege ya Algeria ilivunja amri ya Israel akashusha chakula na dawa na watangazi wa TV za Israel wakawa wanalia ndege moja ili jam radar zataifa teule na hakuna ndege ya Israel ilisogea warabu wakiamua Israel habaki hapo 😄

Mtangazaji akawa nasema huyu pilot mmoja kavunja amri ya Israel anatakiwa auliwe, na Algeria ni adui mkubwa wa Israel 😄 Israel ni mabwege tu mbona ndege ya Algeria waliogopa kuisogelea
 
Hamas walivyopiga israel ulifanya nn? Magaidi bwana. Ukifuga gaidi mm siwezi kukutetea kwa maana unafuga mtu anaeua wasio na hatia. Magaidi yakiuliwa ni jambo jema kwa usalama wa taifa husika na dunia kwa ujumla. Katika maandiko kuna vita mbali mbali lakini vita vile vilipiganiwa kwenye maeneo rasmi au vingine ndio hawa magaidi wa jihad kuua watu wasio na hatia. Alafu mje mtake huruma na kulialia free free panyestina ya konyo. Ukiwa gaidi hakuna namna utaliwa kichwa tu. Kuna kosa lolote hapo nimefanya. Mkuu fanya mishe zako kubishana na mimi utakesha na unajisumbua tu
Sasa ww hata ukiwaonea huruma utabadilisha nini ?
Ww endelea kutapika mavi tu hapa jf tu
Jionee huruma mwenyewe usiye jua utakula nn jioni wapalestina hawahitaji huruma yako.
 
Mkuu yaliungana mataifa matatu tu ,na wakashindwa kupigana na israel maana yake ni kupigana na mataifa yote ya magharibi yani ufaransa, marekani, germany na uingereza, otherwise israel kama israel ni small invented country ambayo kwa bahati mbaya aliingia mwenyewe 2006 na hezbollah akachapika pia
Hizo ni propaganda tu. Hamna taifa lolote pale Middle East kupambana na Jews
 
Wameufyata pamoja na bwana wao irani alitishia kwamba israel wakiingia gaza wataingilia lakini mpaka sasa hakuna dalili,hii ni fefhea bora wangekaa kimya kuliko kutoa vitisho wasivyoweza kutmiza
Fedhea ipo kwa Israel ambayo mpaka sasa haijui mateka walipo kwenye kijieneo kidogo kama gaza hali ya walikuwa tuliambiwa ana integensia bora kuliko zote duniani.
 

View: https://youtu.be/MYfzH4VmJzg?si=78GC1JBiQzj7Xjtg

Nimeisha kuambieni hakuna mkristo ananizidi akili sababu mimi akili yangu tofauti na mtu anaye amini ujinga wa bibilia huyo super power wenu ndege ya Algeria ilivunja amri ya Israel akashusha chakula na dawa na watangazi wa TV za Israel wakawa wanalia ndege moja ili jam radar zataifa teule na hakuna ndege ya Israel ilisogea warabu wakiamua Israel habaki hapo 😄

Mtangazaji akawa nasema huyu pilot mmoja kavunja amri ya Israel anatakiwa auliwe, na Algeria ni adui mkubwa wa Israel 😄 Israel ni mabwege tu mbona ndege ya Algeria waliogopa kuisogelea


😀😀
Kwani hiyo vita ni baina ya nani na nani?
Huo ukristo uliouingiza hapo unasaidia nini kwenye vita ya Hamas na Israel?
Kwa ujinga huu unafikiri hao hamas hawataachwa kubondwa?

Wenzenu wanazidi kuwadhulumu ardhi yenu ninyi mnakuja kuandika upuuzi mitandaoni badala ya kwenda kuwasaidia wenzenu. Akili zenu bhana
 
Nakuona mtoto wa muuza nyapu kwa buku 2 unatapika mavi tu.
Aiseeeeee, naona hasira za mama yako kufukuzwa na kubomolewa sehemu yake anapofanyia biashara na DC wa Kinondoni unanihamishia mimi. We nilishakupuuza, ngoja nikuweke kwenye ignore list.
 
Yule wazir wa mambo ya nje wa Iran wiki 2 zilizopita alitweet kwenye account yake " The TIME IS OVER" nikajua mtifuano unaanza kumbe mkwara tu wanajidhalilisha kwakweli Bora wangekaa kimya tu huku wakifanya harakati zao chini kwa chini.
Sasa kwann Iran aingilie hali ya kuwa Hamas mwenyewe ana wamudu vizuri?
 
😀😀
Kwani hiyo vita ni baina ya nani na nani?
Huo ukristo uliouingiza hapo unasaidia nini kwenye vita ya Hamas na Israel?
Kwa ujinga huu unafikiri hao hamas hawataachwa kubondwa?

Wenzenu wanazidi kuwadhulumu ardhi yenu ninyi mnakuja kuandika upuuzi mitandaoni badala ya kwenda kuwasaidia wenzenu. Akili zenu bhana
Wafuasi wa muddy(56) mme wa bi. Asiha(9) hao alili zao kazishika muddy. Hawana uwezo wa kuf
Screenshot_20231017-090355_Quora.jpg
ikiria hata punje. We muulize Binti Kimosso atakuambia wafuasi wa mnyazi mungu wapoje.
 
ISrael imeanzishwa na magharibi kwa makusidi na kwa kutumia weakness za watu kama nyie sasa mbona marekani na papa ni sawa kuoana wanaume kwa wanaume hamtaki ila mnachagua vya kusikiliza , maana aliyetunga huu uongo ni huyo mmarekani na yeye ndio anafadhiili kila kitu , na hataki amani iwepo kwa sababu zake kwa sababu kabla ya marekani kuanzisha mpango wake huu wa ushetani orthodox jews na palestines waliishi kwa amani
Yeremia 24:6- inasema My eyes will watch over them for their good, and I will bring them back to this land. I will build them up and not tear them down; I will plant them and not uproot them. 7 I will give them a heart to know me, that I am the Lord. They will be my people, and I will be their God, for they will return to me with all their heart.

Umeona Boss Kubwa YEHOVA/YESU KRISTO anasemaje katika mstari wa 7?
Kwamba atawapa, ATAWAPA MOYO WAMJUE, Sasa unashikilia tu kuwa wale sio waKristo hata huelewi ni kwanini...


Mkuu ni rahisi Kwa Marekani na Vatican kupigwa kuliko Israel, nimeshakwambia reference yangu sio Marekani kwanini unanilazimisha?
 
Kiongozi wa Hezbollah anaishi kama digidigi. Katoa hotuba akiwa kajificha kusikojuliana akiogopa kuuliwa.

Afu huyu ndio mnategemea aanzishe vita. Pro-Palestina mna kazi sana
Hata Netanyau kahama nyumbani kwake kwa kuhisi sio salama kaenda kwa nyumbani kwa rafiki yake kwa sababu nyumba yake ina mahandaki ya kuzuia nyukilia.
 
😀😀
Kwani hiyo vita ni baina ya nani na nani?
Huo ukristo uliouingiza hapo unasaidia nini kwenye vita ya Hamas na Israel?
Kwa ujinga huu unafikiri hao hamas hawataachwa kubondwa?

Wenzenu wanazidi kuwadhulumu ardhi yenu ninyi mnakuja kuandika upuuzi mitandaoni badala ya kwenda kuwasaidia wenzenu. Akili zenu bhana

Anaye ingiza udini ni nani si nyie. We kama uko sawa kichwani utafurahi kuona watu wasio na hatia wanauliwa na unafahamu wazi adui yako yuko kwenye bunkers kama mnavyosema mbona hamumfati na bunduki, au vifaru mnaenda piga hospital.

Nyie ndio mnaosema Israel taifa teule, yani taifa teule linalindwa na America na Europe 😄 si mnasema Mungu wenu wa bibilia analilinda, sa vipi ulie kila siku unaomba pesa toka America na silaha mkiambiwa nyie machizi mnabisha.
 
Back
Top Bottom