Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Msikitini wamemwambia kuwa Hezbullah atamdunda myahudiSi kweli, we unaamini kipi?
1-Hezbollah haina uwezo kushambulia makazi ya raia wa Israel kwa sababu Israel ina uwezo kuzuia mashambulizi yeyote kutoka Hezbollah?
2-Hezbollah inaweza kushambulia lakini inaogopa majibu kutoka Israel yatakua makali na ya kutisha.
3-Hezbollah haina twchnology na uwezo kushambulia makazi ya raia wa Israel
Au labda una majibu yako binafsi nje ya hayo matatu hapo juu?
Usizunguke zunguke mgogoro wa sasa unasababishwa na kile Hezbollah anachosema anawapigania Hamas. Kwani gaza ikichukuliwa na Israel Misri atakuwa salama? Mbona Misri hahangaiki mnahangaika nyingi na baba yenu Iran? Mbona jordan,Syria,Iraq, Saudia hawahangaiki maisha yanaendelea? Iran anatumia hivi vikundi ili kupigana na Israel indirect kwa kile kilichoandikwa kwenye kitabu(Quran) kuifuta Israel*Mzozo wa Lebanon na Israel ni wa muda tangia 1990s.
Na tambua ya kuwa uimara wa Israel na ushawishi wa Marekani mashariki ya kati ni saratani kwa waarabu.
Unadhani Israel akiichukua Gaza na kuihodhi Palestina yote Lebanon itabaki salama!?
Israel ishawahi kunyakua ardhi ya Lebanon kabla.
*Hizbollah ni kundi la kishia lenye mlengwa wa kisiasa hapo Lebanon likifadhiliwa na Iran.Na lina viti vya wabunge kwenye serikali ya Lebanon.
Kwa nini Hamas hawakai kambini wanakaa uraiani?ninachojua
Hakuna hezboklaj mjinga
Wala hamas wajinga
Mwisho kuondoaa ujinga kama huo hapojuu lazima baadhi ya wananchi watangulie
Gaza
kunamzigoo uliishushwa kwenyemkundi ya watu awakusema tyu hamas walikatika vipande vpande kama wote
huzuni watoto walipitiwa sana na huumzigoo
Rip
Umejua leo? Wew chunguza comments za washabiki wa Iran,Hamas, Hezbollah, Houthi. Utagundua kuna shida mahaliWaislamu wana matatizo ya akili
MadrasaMbona kama unataka kutulazimisha tufikiri kama wewe mzee?
Kwamba wewe peke yako ndiye unayejua?Kwa nini tunyamaze?
Mkuu bana unakua kama huwajui Israel!!?PM Benjamin Netanyahu clearly delivers a message to the Lebanon people.
“Israel’s war is not with you, it’s with Hezbollah. For too long, Hezbollah has been using you as a human shields. It placed rockets in your living rooms and missiles in your garage.
Those rockets and missiles are aimed directly at our cities, directly at our citizens. To defend our people against Hezbollah’s strikes, we must take out these weapons.
Starting this morning, the IDF has warned you to get out of harm’s way. I urge you take this warning seriously. Don’t let Hezbollah endanger your lives and the life your loved ones. Don’t let Hezbollah endanger Lebanon, please get out of harm’s way now.
Once our operation is finished, you can come back safely to your homes.” — PM Benjamin Netanyahu.
Hujui lolote na hujui historia ya mashariki ya kati.Waislam wameiharibu Lebanon na kuisababishia vita
Hao ni BBC.Mbona kama unataka kutulazimisha tufikiri kama wewe mzee?
Kwamba wewe peke yako ndiye unayejua?Kwa nini tunyamaze?
Ona sasa ulivyo unaropoka!Usizunguke zunguke mgogoro wa sasa unasababishwa na kile Hezbollah anachosema anawapigania Hamas. Kwani gaza ikichukuliwa na Israel Misri atakuwa salama? Mbona Misri hahangaiki mnahangaika nyingi na baba yenu Iran? Mbona jordan,Syria,Iraq, Saudia hawahangaiki maisha yanaendelea? Iran anatumia hivi vikundi ili kupigana na Israel indirect kwa kile kilichoandikwa kwenye kitabu(Quran) kuifuta Israel
Bila hiyo hizbollah sasa hivi Lebanon ingekua imemegwa kama ilivyomegwa Syria.KWa nini nchi ya lebanon isiwaamuru Hezbollar waondoke ?? Au jeshi la nchi liwape kichapo heavy
Wataisha, safy ya uongozi wao wamebaki watatuNdio maana nilisema mabwana wakubwa wanam favor sana huyu jamaa.
Ndio maana nikasema kama ingetokea wameachwa mtu bee aisee nyani angetema bungo muda sana.
It's true Israel ime advance tena sana tuu.
Ila Hizbollah ya 2006 si sawa na ya sasa.
Safi ya uongozi wa kina nani mkuu!?Wataisha, safy ya uongozi wao wamebaki watatu
People are fleeing Southern Lebanon in large numbers.Bila hiyo hizbollah sasa hivi Lebanon ingekua imemegwa kama ilivyomegwa Syria.
Divide and rule.People are fleeing Southern Lebanon in large numbers.
Meanwhile, Christians in Beirut say, "Displaced muslims from southern Lebanon are not welcome here!"
Clashes occured in the Ain al-Ramanah area, a Christian suburb of Beirut.
The reason: the residents of the Christian suburb refuse to accept in their territory, Nasrallah's Shia Muslims who fled from southern Lebanon.
The Lebanese army was called in to restore order.
No hospitality!View attachment 3105255
Hezbollah is deliberately placing its military infrastructure within civilian areas.Ila Hizbollah haihifadhi silaha uraiani kaka bali ina kambi yake katika miinuko ya mpakani.
Bro you have seen a picture just inside a building.Hezbollah is deliberately placing its military infrastructure within civilian areas.
View attachment 3105263
Sasa nani atathibitisha wakati kika mtu anatafuta cha kumpondea mwenzake.Bro you have seen a picture just inside a building.
How are you sure that picture is not a tunnel but is a civilian building!??
Israel aliwahi kukamatwa uongo ndio maana yule jamaa kuaminika ngumu.Sasa nani atathibitisha wakati kika mtu anatafuta cha kumpondea mwenzake.
Hezbollah na Israel wote hatuna ushahidi wa madai yao kama ni kweli au wanatudanganya. Ndio maana unaona sources nyingi humu ni za kiarabu.