Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Hezbollah wamefanya shambulio la drone kutokea Lebanon na kupiga kambi ya jeshi ya Golan Brigade Base katika Jiji la Haifa ambapo wanajeshi zaidi ya 40 wamejeruhiwa na wengi wakiwa kwenye hali mbaya huku kukiripotiwa vifaa kadhaa pia.

Tofauti ya Israel na Hezbollah na HAMAS ni kua wao wanashambulia kambi za jeshi,miundo mbinu ya kijeshi na wanajeshi wenyewe wa Israel ilihali Israel yenyewe inafanya mauaji kwa kulenga wanawake na watoto, Hospital,kambi za wakimbizi na makazi ya watu ili kuwashinikiza HAMAS na Hezbollah wasitishe vita na kukubali matakwa ya Israel.

Soma Pia: Wanajeshi zaidi 300 wa Israel wamengamizwa na Hezbollah wiki hii pekee


Shirika la ujasusi la Israel nalo limethibitisha pigo hili
20241013_205247.jpg
20241013_205122.jpg
20241013_205803.jpg



 

Attachments

  • SprinterFamily_640p_20241013_205032.mp4
    894.8 KB
  • 20241013_224600-jpg.3124297~2.jpg
    20241013_224600-jpg.3124297~2.jpg
    164.9 KB · Views: 7
Hezbollah wamefanya shambulio la drone kutokea Lebanon na kupiga kambi ya jeshi ambapo wanajeshi zaidi ya 40 wamejeruhiwa na wengi wakiwa kwenye hali mbaya!!View attachment 3124145View attachment 3124146View attachment 3124147View attachment 3124148
View attachment 3124149
View attachment 3124150
View attachment 3124151
View attachment 3124152

Tofauti ya Israel na Hezbollah na HAMAS ni kua wao wanashambulia kambi za jeshi,miundo mbinu ya kijeshi na wanajeshi wenyewe wa Israel ilihali Israel yenyewe inafanya mauaji kwa kulenga wanawake na watoto, Hospital,kambi za wakimbizi na makazi ya watu ili kuwashinikiza HAMAS na Hezbollah wasitishe vita na kukubali matakwa ya Israel.
Naona wameshika tama hali ni mbaya...........fumua haooo
 
⚡️⚡️🇱🇧🇵🇸 Israeli media: The number of injuries due to the explosion of a drone in a military base south of Haifa has risen to 67



Tuseme hezbollah wangeamua kupiga makazi ya watu eangeua watu wangapi
 
Hezbollah wamefanya shambulio la drone kutokea Lebanon na kupiga kambi ya jeshi ambapo wanajeshi zaidi ya 40 wamejeruhiwa na wengi wakiwa kwenye hali mbaya!!

Tofauti ya Israel na Hezbollah na HAMAS ni kua wao wanashambulia kambi za jeshi,miundo mbinu ya kijeshi na wanajeshi wenyewe wa Israel ilihali Israel yenyewe inafanya mauaji kwa kulenga wanawake na watoto, Hospital,kambi za wakimbizi na makazi ya watu ili kuwashinikiza HAMAS na Hezbollah wasitishe vita na kukubali matakwa ya Israel.​
View attachment 3124145View attachment 3124147View attachment 3124148
Unaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.
 
Back
Top Bottom