Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Hezbollah na Iran wako Smart sana. Wao wanalenga vituo na kambi za kijeshi. Wangeku wanalenga shule, hospitali, kambi za watoto, miji mikubwa, masoko nk tungeshihudia mauaji makubwa sana kwa Israel.

Kama hizo drones zinaweza kuoenya hadi kambi ya jeshi, zingeweza kupenya kwenda popote ila Hezbollah wanalinda raia na wanapiga wanajeshi.


Israel wakiamka hapo watapiga mashule, hospitali, kambi za wakimbizi, kambi za watoto, sokoni na kila mahala. Israel ni watu wa hovyo.
 
Jana Hezbollah walifanya shambulio la ndege isiyotumia rubani (drone) huko kwenye kambi ya jeshi la Israel (IDF) na kufanikiwa kuuwa askari kadhaa!

Tetesi zinasema walikuwemo watu wazito humo wakipanga mikakati! Jeshi la Israel limekiri askari wake kuuwa kwenye shambulio hilo! Swali: Hii drone ni ya aina gani mpaka imeweza kupenye mitambo yote ya kutungulia??

Drone attack kills four Israeli soldiers and injures 58​


Israel says 4 soldiers killed in Hezbollah drone attack​

1 hour ago1 hour ago

Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site​


Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF​



Majibu yameanza kupatikana!

Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel​


The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.

Somehow Hezbollah's drone penetrated Israel's defences without warning and hit the building when it would have been at its busiest. That will be deeply worrying for Israelis.


Monday 14 October 2024 07:08, UK


Nb: Muda utaamua!
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2million kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payers,zinatembea for no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hata wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
 
Naona umeanzisha Uzi halafu ukapaste muda huo huo comment uliyoiandaa hongera .
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payers,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,......,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Iran kuna jamii kubwa ya kiyahudi,na wayahudi walioko iran wanaamini hawa kina netanyahu si wayahudi halisi
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
True hakuna vita ya dini hapo, kwanza Mungu wa watu wa hizo dini zote anachukia kuua/kuuana .

Cha ajabu sasa wanadini wakiafrika Wanaiombea Israeli 24/7 kwa kufunga na kulia kwa Mungu huyohuyo anaechukia Vita, kuuana na kisasi.

Anaesema hii vita ni ya dini alete Facts ni wapi kwenye vitabu vyao Mungu ameruhusu vita na kuuana .
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Ingawaje siungi mkono vita hii ila umeandika kishabiki unadhani watu wote humu ni wajinga au hawafuatilii hii vita. Myahudi wala haui rai kwa makusudi na ndio maana kabla ya uvamizi waziri mkuu hua anatoa tangazo raia wahame waachane na hao wanamgambo sababu wamejenga kabi zao kwenye makazi ya raia wakiwatumia kama human shield sasa raia atakayegoma kujitenga na hao watu wewe unategemea asikumbwe na dhahama? Unaposema hawashambulii raia hao waliouwawa October 7 wakiwemo watanzania hawakuwa raia? Wao ikiwa wanawatumia raia kama ngao zao hili waendelee kuexist unategemea Israel watafanyaje ili kuwamaliza? Na Netanyahu kesha apa kuwa vita haitaisha hadi ahakikishe kawatokomeza au kawapunguza nguvu. Ukae ukijua vita haina dini ila kuna watu wanatumia dini kama ngao.
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Ni 17 mkuu ndo walikufa kwenye operation inayoitwa operation red wings.14 walitunguliwa wakiwa kwenye ndege 3 walikufa kwenye battle.
 
Air defence system ya Israel ina uwezo mdogo sana, wao Israel hawakulifahamu hilo hadi waliposhambuliwa na Iran mara mbili na juzi hapa Airbase yao ya Nevatim iliposhambuliwa na kuharibiwa vibaya kwa zile ndege vita zao zote za F-35 FJ ndo wamethibitishiwa kuwa hawana ulinzi wa anga imara kama wanavyodhani.
Hiki kitendo cha Hezbollah kupitisha drone na kushambulia ni surprise nyingine kwao.

Netanyahu ule ujeuri wake wa kuongea ongea hovyo umepungua baada ya kutumiwa hizo message
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃

Hapa yatakawa yanapita juu kwa juu yakijisemea "hiiiiiiii... iiii!,"
 
Back
Top Bottom