Mzeewamiba
Member
- Sep 10, 2024
- 60
- 100
Kobazi fc haoHuyu ndio walisema amekufa..kweli nimeamini kuna propaganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kobazi fc haoHuyu ndio walisema amekufa..kweli nimeamini kuna propaganda
Jadili hoja 😆Naona umeanzisha Uzi halafu ukapaste muda huo huo comment uliyoiandaa hongera .
Israel hawafanyi kitu ikiwa hawana sababu ya hilo, amini nakuambia inawezekana kuna sababu ya hilo kutokea ili kuidhinisha mashambulizi ya kule ambako hizo UAV zinatokea kwenda kwa Hezobollah ambako ni Iran, kumbe j1 nuclear zilishambuliwa.kule Iran kupitia cyber attack.Jana Hezbollah walifanya shambulio la ndege isiyotumia rubani (drone) huko kwenye kambi ya jeshi la Israel (IDF) na kufanikiwa kuuwa askari kadhaa!
Tetesi zinasema walikuwemo watu wazito humo wakipanga mikakati! Jeshi la Israel limekiri askari wake kuuwa kwenye shambulio hilo! Swali: Hii drone ni ya aina gani mpaka imeweza kupenye mitambo yote ya kutungulia??
Drone attack kills four Israeli soldiers and injures 58
![]()
Israel: Four soldiers killed and over 60 injured in Hezbollah drone attack
Hezbollah claimed responsibility for the attack, saying it was in response to Israeli strikes in Lebanon.www.bbc.com
Israel says 4 soldiers killed in Hezbollah drone attack
1 hour ago1 hour ago
![]()
Middle East: Israel strikes Al-Aqsa Hospital complex in Gaza – DW – 10/14/2024
Hospitals in Gaza said an Israeli airstrike killed at least 20 in Nuseirat before another strike on the Al-Aqsa Hospital compound, where displaced people were sheltering, killed 4 more people. DW has more.www.dw.com
Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site
![]()
Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site
Hezbollah says it launched a ‘swarm of drones’ at an Israeli military camp in Binyamina, northern Israel.www.aljazeera.com
Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF
![]()
Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF
The Israel Defense Forces has confirmed at least four fatalities and seven “severely injured” among its personnel in a Hezbollah UAV attackwww.rt.com
Majibu yameanza kupatikana!
Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel
The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.
Somehow Hezbollah's drone penetrated Israel's defences without warning and hit the building when it would have been at its busiest. That will be deeply worrying for Israelis.
Monday 14 October 2024 07:08, UK
![]()
Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel
The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.news.sky.com
Nb: Muda utaamua!
Kwamba unaendelea kuandika uzi huku unasoma muda huo huo na ku post pia?!!!
Ukute hizo I'd ni zako broo
😁😁😁😆Air defence system ya Israel ina uwezo mdogo sana, wao Israel hawakulifahamu hilo hadi waliposhambuliwa na Iran mara mbili na juzi hapa Airbase yao ya Nevatim iliposhambuliwa na kuharibiwa vibaya kwa zile ndege vita zao zote za F-35 FJ ndo wamethibitishiwa kuwa hawana ulinzi wa anga imara kama wanavyodhani.
Hiki kitendo cha Hezbollah kupitisha drone na kushambulia ni surprise nyingine kwao.
Netanyahu ule ujeuri wake wa kuongea ongea hovyo umepungua baada ya kutumiwa hizo message
Kobazi fc hao
😆Hii ngoma waimalize tu mapema ajulikane mshindi nani, wengine bando za kuvizia
Ila watu 😁😁Kondoo wanakuja sasa hv kukanusha
KafaNa mkuu wa jeshi la Israel alikuwa eneo hilo kipindi shambulizi linafanyika na inasemekana ni miongoni mwa walio jeruhiwa.
Ndo Ivo mkuu,kuotewa
Pole sana mkongwe!Wanajeshi wa Israel hawajifichi kwa akina mama na watoto kama wafanyavyo magaidi.
Hilo shambulizi ni kwamba hao magaidi wamekojolea upele na kinachofuata ni safari kwenda akhera kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai. Wasubiri mziki.
Jadili hoja 😆
Wanajeshi wa Israel hawajifichi kwa akina mama na watoto kama wafanyavyo magaidi.
Hilo shambulizi ni kwamba hao magaidi wamekojolea upele na kinachofuata ni safari kwenda akhera kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai. Wasubiri mziki.
Naona mmeamua kujifariji achana na zilipotokea drone Iran si ili rusha makombora kabisa kutokea Iran kwenda kwa hao wazayuni au Ile haikua sababu israhell itachakazwa na Iran na hivyo ilivyo jaza machoko jeshiniIsrael hawafanyi kitu ikiwa hawana sababu ya hilo, amini nakuambia inawezekana kuna sababu ya hilo kutokea ili kuidhinisha mashambulizi ya kule ambako hizo UAV zinatokea kwenda kwa Hezobollah ambako ni Iran, kumbe j1 nuclear zilishambuliwa.kule Iran kupitia cyber attack.
Yaani waruhu kambi ya jeshi kushambuliwa, maafisa wafe na wengine wajeruhiwe Ili ku-justify kuishambulia Iran?Israel hawafanyi kitu ikiwa hawana sababu ya hilo, amini nakuambia inawezekana kuna sababu ya hilo kutokea ili kuidhinisha mashambulizi ya kule ambako hizo UAV zinatokea kwenda kwa Hezobollah ambako ni Iran, kumbe j1 nuclear zilishambuliwa.kule Iran kupitia cyber attack.
Israel ndio mmiliki wa vyombo vyote vya habari vyenye ushawishi duniani. Ikiwa ni kweli unaweza usisikie hiyo habari hadi unadedi
Mjinga sana huyu jamaa, wayahudi hofu imetanda na wanakimbizana hospitalini yeye anaamini wameruhusu makusudi. Jinga sana hili jamaaEndelea kuimba taarab
Naona mmeamua kujifariji achana na zilipotokea drone Iran si ili rusha makombora kabisa kutokea Iran kwenda kwa hao wazayuni au Ile haikua sababu israhell itachakazwa na Iran na hivyo ilivyo jaza machoko jeshini
Vyombq vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa moja kwa moja au kinyumenyume na Israel au wat wenye uhusiano wa karibu n maslahi ya israel.Usiseme uongo ni amri ya Mungu.
Namna gani basi taifa teule hapo?
Mbona Hezbollah na wenzake huthibitisha bila kuchelewa yakiwakuta?