Unajus kwamba jana israel alipelekewa moto hadi wakaenda kujificha kwenye kambi za united nations lebanon? Na vita ya hezbollah kama hujui ipo milimani wsla sio maeneo ya raia ila bado israel anashindwa kupiganaUnaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.