Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Angalia vizuri, post #1 saa 9:28am na post #2 saa 9:29am.

Siyo realistic.

Itakuwa aliandaa zote kwanza halafu aka post kutumia I'd 2 kwa pamoja!

Kwani mtu hawezi kuwa alikuwa kwenye process ya kuandika uzi akaona mwingine wa kufanana akaamua wake kuufanya comment?

Kwani wenye Taabu na hilo wangependa muda gani tofauti?
 
Kwani uzalendo w kitanzania hii habari ajaiyona mbona ajafungua uzi kamanda mkuu w Israel au yeye kamanda mkuu w hezbollah tu waisrael nao awafi tusaidiane kumkumbusha atende haki kwa pande zote. Hi vita tunasoma wengi habari zake. Awe fear au nasema uhongo ndugu zangu.
 
Jana Hezbollah walifanya shambulio la ndege isiyotumia rubani (drone) huko kwenye kambi ya jeshi la Israel (IDF) na kufanikiwa kuuwa askari kadhaa!

Tetesi zinasema walikuwemo watu wazito humo wakipanga mikakati! Jeshi la Israel limekiri askari wake kuuwa kwenye shambulio hilo! Swali: Hii drone ni ya aina gani mpaka imeweza kupenye mitambo yote ya kutungulia??

Drone attack kills four Israeli soldiers and injures 58​


Israel says 4 soldiers killed in Hezbollah drone attack​

1 hour ago1 hour ago

Four soldiers killed in Hezbollah drone attack on Israeli military site​


Israeli soldiers killed in drone strike on army base – IDF​



Majibu yameanza kupatikana!

Hezbollah was either lucky or knew how to inflict maximum damage - either way it's deeply worrying for Israel​


The drone strike deep into Israel marks a major security failure for Prime Minister Benjamin Netanyahu - and a sign of the enemy raising its game.

Somehow Hezbollah's drone penetrated Israel's defences without warning and hit the building when it would have been at its busiest. That will be deeply worrying for Israelis.


Monday 14 October 2024 07:08, UK


Nb: Muda utaamua!

Hakuna one sided war. The casualties can come from any side at any moment in time. Inategemea nani amekaa vizuri na kwa wakati gani.
Kuwa na nguvu nyingi za kijeshi haina maana hutapata majeruhi wa kivita. Marekani alikimbia Vietnam pamoja na masilaha yake makubwa makubwa
 
Kwani mtu hawezi kuwa alikuwa kwenye process ya kuandika uzi akaona mwingine wa kufanana akaamua wake kuufanya comment?

Kwani wenye Taabu na hilo wangependa muda gani tofauti?
Kwamba unaendelea kuandika uzi huku unasoma muda huo huo na ku post pia?!!!

Ukute hizo I'd ni zako broo
 
“We are at war and an attack on a training base in the rear is serious with painful results,” says Halevi. “You acted properly in treating and evacuating the wounded and the victims.”

“We continue to fight and train for upcoming [battles],” he says.


GZ1G9kbWUAYnt5H-640x400.jpg
 
2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payers
Mnajifanyaga kujuaaaa! Hapo sasa umeandika nini? Dollar 2 kutrain soldier ndiyo ilete mabilioni?
 
Kitu kimoja ambacho hawakijui pro-Israel wa kiafrica,wanadhani hii vita inapigwana kati ya ukristo na uislam😀😃😄😆😅😅,MAJINGA NA MAPUMBAVU
Hii vita inapigwana kati ya east and west--------thus why Lebanon hawawezi shambulia raia hata iweje,why?,ingawa Wana huo uwezo------sababu kuna ndugu zao kule,Israel ina waislamu wengi mara 9 ya wakristo,............kwa nini Russia hawezi shambulia raia hata iweje,pale Ukraine,sababu Ukraine ni nchi imejitenga from Russia,Wana ndugu zao kule?
Ilichukua miaka 20,average kila mwezi Taliban waliua wanajeshi 10 wa U.S,.........iliwafanya vilema wanajeshi takriban 100 kila mwezi kwa miaka 20......gharama za vita sio mchezo,2010 Taliban iliua 14 SEAL TEAM at once,katika shambulio moja,inachukua $2 kutrain one SEAL SOLDIER,hapo unazungumzia Billion dollars of American Tax payerszinatembea fro no reasons,baada ya vita kuisha umeona Taliban imeenda shambulia nje ya Afghanistan?,kusambaza hio dini?😄😁,hakuna vita ya dini,Kuna vita ya rasilimali/ardhi.....watu wameona KAMIKAZE drones zinavoharibu vifaru kule Ukraine?,
----si tunaaminishwa waislamu mambumbumbu hawasomi?---iweje Iran irushe missiles thousands kilometers zihit target ndani ya Israel?,iweje Iran iisaidie Russia na shahed drones, ambapo 60% ya population yake ni orthodox Christians?😀😃,
---------Iweje Jana Hezbollah irushe drones,200Km ndani ya Israel hakuna technology iliyodetect hadi kuua wanajeshi ndani ya Kambi Yao?
Hii ni vita between U.S influences against non-U.S/non capitalists,ndio maana umeona U.S anaisaidia Israel the same as Ukraine,..kwa mwaka U.S anatoa $6 Billion kuiadia Israel kwenye military pekee,hapo unazungumzia trillion 15 Tsh,hio hela hasta wangepewa JWT,wangeacha kuvunjua matofali😀😁....,sasa lipambavu Limoja limetoka kuliwa sadaka na Nabii wake feki ,linakuja kusema mungu wa Israel ndio anafanya watu washinde vita😃
Mbona na wewe umeandika kidini sana?

Sikia ewe kobaz, ile vita pale ni ya kidini full stop

Kama unasema hao Hezbolla wanaopigana hapo wana ndugu kule kwanini huwa wanaongea lugha ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia?

Hivi unajua kama Hezbollah, hamas, Iran na vikundi vingine vikipata nafasi vinaua raia wote wa israel? Unajua hilo?

Kwa taarifa yako tu kwamba hayo magaidi ikiwemo Iran wana chuki sana na wayahudi haijalishi kwamba ni muislamu au la, maadamu ni Myahudi anachukiwa tu.
 
Umeshachagua upande na hilo sio tatizo tatizo ni kuona waliochagua upande mwingine hawako sahihi
 
Back
Top Bottom