Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Tumia akili urusi anapigana na ukraine vita lakini hatujawahi sikia mauaji ya halaiki kama yanayotokea ghaza ilhal jamaa hawana vifaru wala air defenceUnaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.