Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Unaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.
Unajus kwamba jana israel alipelekewa moto hadi wakaenda kujificha kwenye kambi za united nations lebanon? Na vita ya hezbollah kama hujui ipo milimani wsla sio maeneo ya raia ila bado israel anashindwa kupigana
 
Wanajeshi wa Israel hawajifichi kwa akina mama na watoto kama wafanyavyo magaidi.

Hilo shambulizi ni kwamba hao magaidi wamekojolea upele na kinachofuata ni safari kwenda akhera kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai. Wasubiri mziki.
Hujui kwamba israel walipigwa jana hadi wakakimbillia kambi za united nations lebanon ndio ikawa pona yao waliobakia wengi jana waliwahishwa kuzimu, idf wenye akili tunajua hawana ubavu wa kupigana na hezbollah wanaibika tu huko kila siku
 

Kwani neno la Mungu linasema je kuhusu kusema uongo?
 
Ikiwa Kwelii Hasan nasrrala na ismile haniye watakuwa wamepumzika Kwa Raha zote,inawezekanaje iron dome moja ya mfumo WA ulinzi unaosifiwa duniani ushindwe ku detect drone za Hezbollah? Au wayahudi wame be wamezidiwa?
 
-Vipi Israel Kuna waislam wengi kuliko wakristo na huu ni ushabiki?😀😃
-Vipi kuhusu Iran,kuwasaidia Urusssi,ambapo Kuna wakristo wengi,Orthodox Christian?
Israel anaua raia ili kupunguza population,morale na numbers of palestians,.........kitu wasichokijua viet Cong laki 4 kule vietnmam,waliweza shinda vita juu ya U.S soldiers milioni 2
Hakuna vita ya dini ni U.S propaganda against kupigania ardhi/rasilimali
Sasa unakuta lipumbavu limoja kutoka Africa linatoa sadaka kwa nabii wake ili amuombee kwa mungu wa Israel,wanaopokea Trilloni 15 Tsh kama msaada kutoka U.S,😃😃😃,huu ni UFALA kiongozi
 
Kama ni Hezbollah wamefanikiwa kujeruhi wanajeshi wa Israel wamejitahidi Sana

Hata Kama hawajafanikiwa death hata moja
Hapo wamebaalance ili kwamba Kibao kitapowageukiia Basi itakuwa stahiki yao kabisa
 
⚡️⚡️🇱🇧🇵🇸 Israeli media: The number of injuries due to the explosion of a drone in a military base south of Haifa has risen to 67



Tuseme hezbollah wangeamua kupiga makazi ya watu eangeua watu wangapi
dunia itawaelewa tu hawa hezbollah
 
kwa mujibu wa huyu jamaa pale insta

yerickonyerere


Taarifa za awali (hazijathibitishwa), ni kuwa, Mkuu wa Majeshi ya Israel Jenerali Herzi Halevi ameuawa na Hezbolah katika shambulizi la Droni leo mchana katika kambi ya jeshi ya Golani Brigade katika mji wa Binyamina, kusini mwa mkoa wa Haifa.

Ijapokuwa Mamlaka za Israel hazijathibitisha kifo cha mkuu huyo, lakini Habari za kijasusi zimethibitisha kwamba shambulizi hilo limeua wanajeshi wa Israel karibu 67 na majeruhi 118 hadi sasa!

WANAKIPATAPATA ILA WASIRI TU SASA WATUTANGAZIE KIFO CHA HUYO MKUU KAMA NI KWELI NAYE KALIWA KICHWA
 
Unaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.
Madai yako ni MFU.
Israel aliambiwa athibitishe ameshindwa.
Alimlipua hadi French Embassy Official,je naye huyo anaficha magaidi wa Hamas!??
Bro huna unalolijua.
 
Mhhhh naona wewe ndo mdini zadi, Ile sio vita ya kidini ni vita ya kisiasa Ni kazi ya marekani muisrael anatumika tu kama picha
 
Nasikia tayari yule Herzi Halevi chief of Staff kiuno hakifanyi kazi pia amejeruhiwa vibaya sana shingoni na usoni yupo ICU.
 
Hawa zionist walivyo washenzi watakwenda kupiga hospital na shule kama kisasi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…