Unajus kwamba jana israel alipelekewa moto hadi wakaenda kujificha kwenye kambi za united nations lebanon? Na vita ya hezbollah kama hujui ipo milimani wsla sio maeneo ya raia ila bado israel anashindwa kupiganaUnaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.
Hana akili huyo jamaaMjinga sana huyu jamaa, wayahudi hofu imetanda na wanakimbizana hospitalini yeye anaamini wameruhusu makusudi. Jinga sana hili jamaa
Hujui kwamba israel walipigwa jana hadi wakakimbillia kambi za united nations lebanon ndio ikawa pona yao waliobakia wengi jana waliwahishwa kuzimu, idf wenye akili tunajua hawana ubavu wa kupigana na hezbollah wanaibika tu huko kila sikuWanajeshi wa Israel hawajifichi kwa akina mama na watoto kama wafanyavyo magaidi.
Hilo shambulizi ni kwamba hao magaidi wamekojolea upele na kinachofuata ni safari kwenda akhera kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai. Wasubiri mziki.
Vyombq vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa moja kwa moja au kinyumenyume na Israel au wat wenye uhusiano wa karibu n maslahi ya israel.
Wanaweza kutangqza wao kafa alafu haohao wakakqnusha kama picha zinazosambaa akikqgua sehemu palipolipuliwa na drone hiyo
Hana akili huyo jamaaMjinga sana huyu jamaa, wayahudi hofu imetanda na wanakimbizana hospitalini yeye anaamini wameruhusu makusudi. Jinga sana hili jamaa
Ikiwa Kwelii Hasan nasrrala na ismile haniye watakuwa wamepumzika Kwa Raha zote,inawezekanaje iron dome moja ya mfumo WA ulinzi unaosifiwa duniani ushindwe ku detect drone za Hezbollah? Au wayahudi wame be wamezidiwa?ilihali
-Vipi Israel Kuna waislam wengi kuliko wakristo na huu ni ushabiki?😀😃Ingawaje siungi mkono vita hii ila umeandika kishabiki unadhani watu wote humu ni wajinga au hawafuatilii hii vita. Myahudi wala haui rai kwa makusudi na ndio maana kabla ya uvamizi waziri mkuu hua anatoa tangazo raia wahame waachane na hao wanamgambo sababu wamejenga kabi zao kwenye makazi ya raia wakiwatumia kama human shield sasa raia atakayegoma kujitenga na hao watu wewe unategemea asikumbwe na dhahama? Unaposema hawashambulii raia hao waliouwawa October 7 wakiwemo watanzania hawakuwa raia? Wao ikiwa wanawatumia raia kama ngao zao hili waendelee kuexist unategemea Israel watafanyaje ili kuwamaliza? Na Netanyahu kesha apa kuwa vita haitaisha hadi ahakikishe kawatokomeza au kawapunguza nguvu. Ukae ukijua vita haina dini ila kuna watu wanatumia dini kama ngao.
Kama ni Hezbollah wamefanikiwa kujeruhi wanajeshi wa Israel wamejitahidi SanaHezbollah wamefanya shambulio la drone kutokea Lebanon na kupiga kambi ya jeshi ya Golan Brigade Base katika Jiji la Haifa ambapo wanajeshi zaidi ya 40 wamejeruhiwa na wengi wakiwa kwenye hali mbaya huku kukiripotiwa vifaa kadhaa pia.
Tofauti ya Israel na Hezbollah na HAMAS ni kua wao wanashambulia kambi za jeshi,miundo mbinu ya kijeshi na wanajeshi wenyewe wa Israel ilihali Israel yenyewe inafanya mauaji kwa kulenga wanawake na watoto, Hospital,kambi za wakimbizi na makazi ya watu ili kuwashinikiza HAMAS na Hezbollah wasitishe vita na kukubali matakwa ya Israel.
Soma Pia: Wanajeshi zaidi 300 wa Israel wamengamizwa na Hezbollah wiki hii pekee
Shirika la ujasusi la Israel nalo limethibitisha pigo hili
View attachment 3124145View attachment 3124147View attachment 3124148
dunia itawaelewa tu hawa hezbollah⚡️⚡️🇱🇧🇵🇸 Israeli media: The number of injuries due to the explosion of a drone in a military base south of Haifa has risen to 67
Tuseme hezbollah wangeamua kupiga makazi ya watu eangeua watu wangapi
SahihiBasi kama ndivyo kuna apply kwa mimba zao huko pia.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Madai yako ni MFU.Unaposema israel inches kuuwa wakina mama na watoto inabidi kuwasema hamas na hezbolahh watches kuwatumia wakina mama na watoto kama ngao na kutumia miundo mbinu ya kiraia kama shule na hospital kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.
Mhhhh naona wewe ndo mdini zadi, Ile sio vita ya kidini ni vita ya kisiasa Ni kazi ya marekani muisrael anatumika tu kama pichaMbona na wewe umeandika kidini sana?
Sikia ewe kobaz, ile vita pale ni ya kidini full stop
Kama unasema hao Hezbolla wanaopigana hapo wana ndugu kule kwanini huwa wanaongea lugha ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia?
Hivi unajua kama Hezbollah, hamas, Iran na vikundi vingine vikipata nafasi vinaua raia wote wa israel? Unajua hilo?
Kwa taarifa yako tu kwamba hayo magaidi ikiwemo Iran wana chuki sana na wayahudi haijalishi kwamba ni muislamu au la, maadamu ni Myahudi anachukiwa tu.
Nasikia tayari yule Herzi Halevi chief of Staff kiuno hakifanyi kazi pia amejeruhiwa vibaya sana shingoni na usoni yupo ICU.