Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Mtu muoga na asiye na mbinu wala uwezo wa kivita, ndivyo alivyo

Huo ushindi Hizibolla anaousema hapa ni upi?

Maana tageti na lengo la Israel tayari limeshatimia

Kula vichwa vyote vya viongozi wa Hizibolla na kudhofisha kabisa uwezo wa kundi hilo, ndilo limefanikiwa sana kwa upande wa Israel
Maana ya kudhoofisha kundi ni kitendo ambacho kundi haliwezi kufanya oparation zake kwa wakati na kuishiwa man power na weapons lakini mpaka siku ya mwisho nusu saa kabla ya sizi faya hizb kalipua Zaid ya rockets 200 kaktk nusu kabla ya sizi faya na kalipua wanamgambo wa Israel waliokua wana retreat kurudi nyuma na zisi faya isingekuwa serikali ya Lebanon msingefikia makubaliano nao never! Ipo siku hzb wataifurusha serikali ya Lebanon ndio inawaletea usiku
 
Hezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo

Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi

Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia

Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto
Kwani hao Israel hujui walichoahidi au unajitoa fahamu? mbona wameuchomoa underground iliishia wapi?
 
Hayo ni majigambo tu! Sasa hivi ndiyo wanapata ahueni baada ya usitishwaji wa Vita.
 
Kwani hao Israel hujui walichoahidi au unajitoa fahamu? mbona wameuchomoa underground iliishia wapi?
Soma vizuri nimeandika hapo Malengo ya Israeli kwa Hezbolah
 
Inashangaza sana kusema israel wameshindwa, wakati we all know sababu ya kusitisha ni kutokana na pressure ya mataifa ya nje juu ya anachofanya.

So kama kusingekwua na malalamiko kutoka nje? Angesimamisha operation?
Aaagh tusidanganyane mkuu HAKUNA PRESSURE YA NJE ILIYOTOKA JUU YA LEBANON.
Dunia nzima ipo Gaza sio Lebanon.
Licha ya pressure za Gaza hiyo Israel imekataa kuheshimu ICJ na vyombo vingine vya kimataifa sembuse ije iheshimu msukumo juu ya Lebanon!?
Ukweli mchungu na uhalisia Israel imeshindwa vita Lebanon.
Maana baada ya kuanza kushambulia Lebanon Hizbollah waliongeza mashambulizi ndani ya Israel kiasi raia walikua wanahama kuelekea Kanda ya kati .
Hii ndio sababu kuu iliyomfanya akubali kusitisha mapigano.

Ingekua Israel inasikiliza kelele za nje basi leo hii Gaza isingekua inalipuliwa.
Gaza hadi kufikia wiki hii imelipuliwa ilhali dunia nzima inapiga kelele kuhusu Gaza.
 
Yani waanzishe upumbavu/uchokozi wao wadundwe na kuomba cease-fire ambayo wamepewa masharti magumu na Israel ndiyo waseme wameshinda?Bloody fools!
Uachage uongo na hangover zako.
Alishinikiza ceasefire ni USA na France.
Na aliyeomba ceasefire ni Israel sio Hizbollah.
 
Un hawana nguvu kwa israel but US and the west, hao ndio walikuwa key players kwneye kusitisha haya else angeendelea na operation

So kusema hezbollah ameshinda , not even close, matter of fact walikuwa outgunned maeneo mengi
Israel ilikua ikifanya airstrike maeneo ya raia.
Ila ukisema mipakani Israel Kwa ground battle walikua outsmarted na Hizbollah.
Walishindwa Israel Kila Kona,ikafika hatua hata baadhi ya wanajeshi wa akiba waliandika barua ya kugoma kwenda kupigana mpakani mwa Lebanon.
Na waliotaka ceasefire sio Hizbollah.
 
Mbona taarifa ni ya upande mmoja?
Je, kwa upande wao Hezbollah wamepoteza nini?
Kwa kuanzia, inajulikana kiongozi wao aliliwa kichwa mapema tu
Wahuni tu bao Hezbulah...viongozi wao wengi wa juu wamelambishwa udongo huku miji yao hasa kusini ya Lebanon imeharibiwa vibaya majengo na miundombonu muhimu ya maji na umeme.
 
Inashangaza sana kusema israel wameshindwa, wakati we all know sababu ya kusitisha ni kutokana na pressure ya mataifa ya nje juu ya anachofanya.

So kama kusingekwua na malalamiko kutoka nje? Angesimamisha operation?
Israel kashindwa vita kwasababu netanyahu mwenyewe alishasema kusimamisha vita ni sawa na kukubali kusarenda kitu ambacho yeye haiwezi kufanya na Leo amefanya maana yake ni kakubali kusarenda
 
Israel kashindwa vita kwasababu netanyahu mwenyewe alishasema kusimamisha vita ni sawa na kukubali kusarenda kitu ambacho yeye haiwezi kufanya na Leo amefanya maana yake ni kakubali kusarenda
Wapi and when amesema?
You do realize IDF ni full fledged army, sio kikundi?
Kwao kusimamisha ni tatizo sababu walisha gain momentum, walikwua wanakaribia kufikia malengo yao mapema sana, hivyo kusimamisha ni kama ku right off juhudi zote. Haimaanishi walikuwa wanapoteza

Wangekuwa wamepigwa na kurudishwa nyuma sawa, lakini walikuwa wakisonga mbele, huko si kupoteza vita. Shukuru international pressure
 
Israel ilikua ikifanya airstrike maeneo ya raia.
Ila ukisema mipakani Israel Kwa ground battle walikua outsmarted na Hizbollah.
Walishindwa Israel Kila Kona,ikafika hatua hata baadhi ya wanajeshi wa akiba waliandika barua ya kugoma kwenda kupigana mpakani mwa Lebanon.
Na waliotaka ceasefire sio Hizbollah.
Haha based on what ? Hezbolla outsmart IDF kwenye ground battle? Zile site IDF alikuwa anazikuta ni za nani?

Airstrike zinafanyika mle sababu adui ana ji mix na watu. if adui kazungukwa na watu always kutakuwa na collateral damages
Mimi sio fan wa kudhuru raia, but hamna namnaraia wanaweza wasipate madhara, vita vyote duniani raia ni number one victim
 
mbona mayahudi wamechomoa bas
Pima uwezo wa kijeshi. Hezbollah wanarusha makombora toka mbali, Israel wameingiza jeshi mpaka Lebanon ndani. Askari wa Israel 130 wamekufa, raia 3800 na Viongozi wote wa Hezbollah wamekufa. Majengo yote ya jeshi la Hezbollah na majengo makubwa yamevunjwa. Tuambie tena nani mshindi nani ameshindwa.
 
Aaagh tusidanganyane mkuu HAKUNA PRESSURE YA NJE ILIYOTOKA JUU YA LEBANON.
Dunia nzima ipo Gaza sio Lebanon.
Licha ya pressure za Gaza hiyo Israel imekataa kuheshimu ICJ na vyombo vingine vya kimataifa sembuse ije iheshimu msukumo juu ya Lebanon!?
Ukweli mchungu na uhalisia Israel imeshindwa vita Lebanon.
Maana baada ya kuanza kushambulia Lebanon Hizbollah waliongeza mashambulizi ndani ya Israel kiasi raia walikua wanahama kuelekea Kanda ya kati .
Hii ndio sababu kuu iliyomfanya akubali kusitisha mapigano.

Ingekua Israel inasikiliza kelele za nje basi leo hii Gaza isingekua inalipuliwa.
Gaza hadi kufikia wiki hii imelipuliwa ilhali dunia nzima inapiga kelele kuhusu Gaza.
imekuwaje ICC wakatoa hati ya kukamatwa kwa waziri mkuu wa israel kama si kelele za nje?
Unajua ni mataifa mangapi yamepeleka petition against israel?
Mwishowe hata washirika wake wakamgeuka?

Imagine kusingekuwa na kelele na dunia isingejali kinachoendelea lebanon?
 
Wapi and when amesema?
You do realize IDF ni full fledged army, sio kikundi?
Kwao kusimamisha ni tatizo sababu walisha gain momentum, walikwua wanakaribia kufikia malengo yao mapema sana, hivyo kusimamisha ni kama ku right off juhudi zote. Haimaanishi walikuwa wanapoteza

Wangekuwa wamepigwa na kurudishwa nyuma sawa, lakini walikuwa wakisonga mbele, huko si kupoteza vita. Shukuru international pressure
Uzuri ni kwamba hizbullah watachokoza muda si mrefu na kipigo kitarudi palepale.Mark my words.
 
Back
Top Bottom