Nchi inaongozwa na vichwa vya wendawazimu!nchi ya kusadikika, viongozi wa kusadikika hadi na takwimu ni za kufikirika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaongozwa na vichwa vya wendawazimu!nchi ya kusadikika, viongozi wa kusadikika hadi na takwimu ni za kufikirika.
Hahahaaaa........ukiona Lisu kaja mahakamani kumtetea Freeman ujue mwenyekiti atafungwa.Bwana mdogo naomba unifikishie ujumbe wangu kwa yule Mume wa Dada ako a.k.a Mzee Mgaya,
Naomba umtaarifu Mzee Mgaya kuwa lile ombi na ushauri wake wa kumuongeza Advocate Tundu Lissu kwenye jopo la mawakili wa Mbowe tumelifanyia kazi na hivi punde Lissu atakuwa mahakamani na kina Kibatala kwenye shauri la Mbowe.
Si kweli. Wamezoea kuongea uongo ndio maana tunapata shida kujua kama ni kuteleza au ni sehemu ya uongo ule ule.
Kwani Rais si aliihariri hotuba yake kabla ya kuisoma?Alishindwa vipi kuiona hiyo koma?Umeshaambiwa tatizo ni ile comma badala ya nukta!
Sijui mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu anafanya Kazi gani.Binafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
Kumbe praise team mnaogopa kufungwa eh!Hahahaaaa........ukiona Lisu kaja mahakamani kumtetea Freeman ujue mwenyekiti atafungwa.
Ameambiwa na nani wewe johnthebaptist ?Umeshaambiwa tatizo ni ile comma badala ya nukta!
Lakini je, ni kweli, pamoja na sekta binafsi, nchi ina akiba ya$ +6,000 bilioni?Hizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
Hawajui ukombozi ni pamoja na kujitoa muhanga? Praise team bure kabisa!Kumbe praise team mnaogopa kufungwa eh!
Jema ni kutoa kauliwakitoa hiyo press release kuweka sawa kadili tunavyoona bado hatutakosa neno la kuongea..
Wakikaa kimya bado pia tutaongea..huwa hatuna jema sisi..
Hizo pesa alizosema mama ni sawa na trillion 13800plz tell usikimblie kulinganisha na USA, lete hesabu/takwimu hapa kuivunja nguvu hoja ya mama, je tunazo?!? au hatuna?!?
Sisi ni donor country.Taarifa ya IKURU huwa ina haririwa mara kadhaa na wataalamu kabla ya kutolewa.Binafsi naamini mheshimiwa Rais alighafirika tu kutamka kwamba tunayo akiba ya US $ 6253 Bl.
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu vitu vinginevyo ni muhimu kuvisemea mapema ili kuondoa sintofahamu zisizo na mashiko.
Kwa mfano Katiba mpya kwa kosa kama hilo ingetoa solution gani?Tatizo sio Ikulu , tatizo ni Katiba ya mwaka 1977 ndio sababu Ikulu imepiga kimya
Kuna kitabu unaweza kusoma kimefanyiwa review na maprofesa zaidi ya 100, tena wa vyuo vikubwa kabisa duniani, lakini bado utabaini makosa mtu uliyesoma saint Augustine. Seuse hotuba inayopitiwa na watu watatu waliosoma Tumaini? Au hujawahi kukutana na vitabu vya namna hiyo.Binadamu zaidi ya mmoja, kisha wasione hilo kosa ambalo huku mitandaoni imetuchukua dakika chache kugundua huo uhuni!
Tuna rais aliye zungukwa na vilazaUmeshaambiwa tatizo ni ile comma badala ya nukta!