Hii hali ikiendelea, tutarajie majanga kwenye usafiri wa mabasi yaendayo haraka aka Mwendokasi

Hii hali ikiendelea, tutarajie majanga kwenye usafiri wa mabasi yaendayo haraka aka Mwendokasi

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Ama baada ya Salamu hizo za upendo, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Kama Mtanzania Mzalendo kwa nchi yangu (na uzalendo ni pamoja na kuusema ukweli kama ulivyo), nimeona niongelee hii kero ya usafiri wa Mwendokasi (japo nina ukakasi na hilo jina maana kiukweli halisadifu kabisa), hasa hasa nyakati za jioni na asubuhi wakati wa watu kutoka au kwenda kazini, kumekuwa na mrundikano mkubwa sana wa abiria hasa hasa kwenye vitu vikuu vya Gerezani, Kivukoni, Kimara na Mbezi. Hali hii imekuwa ikiwapa tabu sana abiria na walinzi uchwara (mara nyingi wamekuwa wakizidiwa nguvu na abiria) ambao wamewekwa kuhakikisha utaratibu unafuatwa. Hali hii hupelekea abiria kugombania kuingia ndani huku wakisukumana hatari! Yaani jioni kama una Afya mgogoro, bora tu uangalie aina nyingine ya usafiri na wala usijiangaishe na huo unaoitwa Mwendokasi.

Hadi wakati mwingine unabaki unashangaa kwamba hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo vinalipwa na kodi zetu havilioni hili au mpaka maafa matokeo ndo wachukue hatua?

Hivi ule utaratibu wa kwamba hadi abiria wawe wengi ndo basi liletwe uliwekwa na nani? Na kama yupo, nathubutu kumwita ni mpumbavu kwa sababu kwanza anahatarisha maisha ya Watanzania na pili, anawachelewesha watu aidha kwenda kujitafutia riziki zao na au kurudi nyumbani mapema kujumuika na familia zao wakiwamo watoto kabla hawajalala.

Maombi yangu kwa serikali pamoja na vyombo vyake:

1. Hebu leo jioni/usiku nendeni wenyewe mkashuhudie hili ninalolisema

2. Shughulikieni kero mtakazozishuhudia

Ahsanteni sana.

Nawapenda nyote.
 
Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Ama baada ya Salamu hizo za upendo, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Kama Mtanzania Mzalendo kwa nchi yangu (na uzalendo ni pamoja na kuusema ukweli kama ulivyo), nimeona niongelee hii kero ya usafiri wa Mwendokasi (japo nina ukakasi na hilo jina maana kiukweli halisadifu kabisa), hasa hasa nyakati za jioni na asubuhi wakati wa watu kutoka au kwenda kazini, kumekuwa na mrundikano mkubwa sana wa abiria hasa hasa kwenye vitu vikuu vya Gerezani, Kivukoni, Kimara na Mbezi. Hali hii imekuwa ikiwapa tabu sana abiria na walinzi uchwara (mara nyingi wamekuwa wakizidiwa nguvu na abiria) ambao wamewekwa kuhakikisha utaratibu unafuatwa. Hali hii hupelekea abiria kugombania kuingia ndani huku wakisukumana hatari! Yaani jioni kama una Afya mgogoro, bora tu uangalie aina nyingine ya usafiri na wala usijiangaishe na huo unaoitwa Mwendokasi.

Hadi wakati mwingine unabaki unashangaa kwamba hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo vinalipwa na kodi zetu havilioni hili au mpaka maafa matokeo ndo wachukue hatua?

Hivi ule utaratibu wa kwamba hadi abiria wawe wengi ndo basi liletwe uliwekwa na nani? Na kama yupo, nathubutu kumwita ni pumbavu kwa sababu kwanza anahatarisha maisha ya Watanzania na pili, anawachelewesha watu aidha kwenda kujitafutia riziki zao na au kurudi nyumbani mapema kujumuika na familia zao wakiwamo watoto kabla hawajalala.

Maombi yangu kwa serikali pamoja na vyombo vyake:

1. Hebu leo jioni/usiku nendeni wenyewe mkashuhudie hili ninalolisema

2. Shughulikieni kero mtakazozishuhudia

Ahsanteni sana.

Nawapenda nyote.
Watanzania ustaratu ni negative, Nimekaa Nairobi sijuwahi ona ujinga wa kugombania kuingia kwenye matatu, na watu wengi sana na matatu ni chache, Juu ujinga wa Watanzania, sisi ni wajinga na wapumbacu sana ustartarabu hatuna,
 
Mzee, ungejitahidi kuweka kwa kifupi sana ili kuepuka mfululizi wa sentensi zisizo na aya wala vituo sahihi.

Hamna unachoweza shauri kwa sasa kikasikika, masikii yao yamejaa NTA, midomo imejaa ASALI.

Pambana ujikwamue wewe binafsi, ndio tulipofika sasa! Ongea shida yako wewe!
 
Mzee, ungejitahidi kuweka kwa kifupi sana ili kuepuka mfululizi wa sentensi zisizo na aya wala vituo sahihi.

Hamna unachoweza shauri kwa sasa kikasikika, masikii yao yamejaa NTA, midomo imejaa ASALI.

Pambana ujikwamue wewe binafsi, ndio tulipofika sasa! Ongea shida yako wewe!
😁😁😁😁
 
Nimekaa Nairobi sijuwahi ona ujinga wa kugombania kuingia kwenye matatu, na watu wengi sana na matatu ni chache, Juu ujinga wa Watanzania, sisi ni wajinga na wapumbacu sana ustartarabu hatuna
Hapa Afrika Mashariki, hakuna nchi iliyotuzidi POPULATION wala LAND MASS.

Dar ni kubwa mara 2 na point kwa Nairobi.

Kwenye USTAARABU sasa, Dar bado ina wastaarabu wengi kuliko miji mingi ya nchi zilizotuzunguka, Zanzibar ikiwemo.

Nairobi nilipita na bus nikielekea Mwanza, enzi zile
 
Watanzania ustaratu ni negative, Nimekaa Nairobi sijuwahi ona ujinga wa kugombania kuingia kwenye matatu, na watu wengi sana na matatu ni chache, Juu ujinga wa Watanzania, sisi ni wajinga na wapumbacu sana ustartarabu hatuna,
Bado tuna safari ndefu sana Mkuu.
Yaani tuko nyuma karibia kwa kila kitu!
 
Hapa Afrika Mashariki, hakuna nchi iliyotuzidi POPULATION wala LAND MASS.

Dar ni kubwa mara 2 na point kwa Nairobi.

Kwenye USTAARABU sasa, Dar bado ina wastaarabu wengi kuliko miji mingi ya nchi zilizotuzunguka, Zanzibar ikiwemo.

Nairobi nilipita na bus nikielekea Mwanza, enzi zile
Mkuu, hakumaanisha wingi wa watu kwa maana ya nchi hapana. Alimaanisha idadi ya watu kwenye vituo vya kusubiria usafiri wa Umma.
 
Mkuu, hakumaanisha wingi wa watu kwa maana ya nchi hapana. Alimaanisha idadi ya watu kwenye vituo vya kusubiria usafiri wa Umma.
Sahihi, lakini sasa, wingi wa hao watu kwenye jiji unatokana na wingi wa wakazi wa jiji husika sio?

Nigeria ina eneo dogo kidogo kulinganisha na Tanganyika sio? Population yake ni zaidi ya watu 220m ilhali Tanganyika ni 62m.

Lagos pekee ina 16m, na ukubwa wa ardhi ni ndogo kuliko Dar. Huoni hapa kuwa ukifika Lagos lazima ujue mji umezidiwa ukilonganisha na Dar?

Vituo vitakuwa vinafurika kulingana na population ya mji!
 
Usafiri wa umma Dar es salaam ni wa kidhalilishaji.

Watu wanasokomezwa kila kituo mwishowe mnajikuta mnapumuliana visogoni na mgongoni hata ng'ombe wakienda machinjioni hawabanani vile.

Huo mradi wangempa mwekezaji auendeshe, serikali imeshindwa.
 
Twakupenda pia
Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Ama baada ya Salamu hizo za upendo, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Kama Mtanzania Mzalendo kwa nchi yangu (na uzalendo ni pamoja na kuusema ukweli kama ulivyo), nimeona niongelee hii kero ya usafiri wa Mwendokasi (japo nina ukakasi na hilo jina maana kiukweli halisadifu kabisa), hasa hasa nyakati za jioni na asubuhi wakati wa watu kutoka au kwenda kazini, kumekuwa na mrundikano mkubwa sana wa abiria hasa hasa kwenye vitu vikuu vya Gerezani, Kivukoni, Kimara na Mbezi. Hali hii imekuwa ikiwapa tabu sana abiria na walinzi uchwara (mara nyingi wamekuwa wakizidiwa nguvu na abiria) ambao wamewekwa kuhakikisha utaratibu unafuatwa. Hali hii hupelekea abiria kugombania kuingia ndani huku wakisukumana hatari! Yaani jioni kama una Afya mgogoro, bora tu uangalie aina nyingine ya usafiri na wala usijiangaishe na huo unaoitwa Mwendokasi.

Hadi wakati mwingine unabaki unashangaa kwamba hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo vinalipwa na kodi zetu havilioni hili au mpaka maafa matokeo ndo wachukue hatua?

Hivi ule utaratibu wa kwamba hadi abiria wawe wengi ndo basi liletwe uliwekwa na nani? Na kama yupo, nathubutu kumwita ni mpumbavu kwa sababu kwanza anahatarisha maisha ya Watanzania na pili, anawachelewesha watu aidha kwenda kujitafutia riziki zao na au kurudi nyumbani mapema kujumuika na familia zao wakiwamo watoto kabla hawajalala.

Maombi yangu kwa serikali pamoja na vyombo vyake:

1. Hebu leo jioni/usiku nendeni wenyewe mkashuhudie hili ninalolisema

2. Shughulikieni kero mtakazozishuhudia

Ahsanteni sana.

Nawapenda nyote.
.
 
Mzee, ungejitahidi kuweka kwa kifupi sana ili kuepuka mfululizi wa sentensi zisizo na aya wala vituo sahihi.

Hamna unachoweza shauri kwa sasa kikasikika, masikii yao yamejaa NTA, midomo imejaa ASALI.

Pambana ujikwamue wewe binafsi, ndio tulipofika sasa! Ongea shida yako wewe!
Amina.
Ubarikiwe.
 
Umeelezea vyema. Yaani usafiri wa daladala ni bora zaidi kuliko huu wa MWENDOKASI. Natamani CEO wake Dr Mihede akague vituo na mateso wanayopata abiria na baadae ajitafakari.
 
Usafiri wa umma Dar es salaam ni wa kidhalilishaji.

Watu wanasokomezwa kila kituo mwishowe mnajikuta mnapumuliana visogoni na mgongoni hata ng'ombe wakienda machinjioni hawabanani vile.

Huo mradi wangempa mwekezaji auendeshe, serikali imeshindwa.kupanda na mke wako au mpenzi wako Mwendokasi

Umeelezea vyema. Yaani usafiri wa daladala ni bora zaidi kuliko huu wa MWENDOKASI. Natamani CEO wake Dr Mihede akague vituo na mateso wanayopata abiria na baadae ajitafakari.
Kweli Mkuu, ahsante sana
 
Usafiri wa umma Dar es salaam ni wa kidhalilishaji.

Watu wanasokomezwa kila kituo mwishowe mnajikuta mnapumuliana visogoni na mgongoni hata ng'ombe wakienda machinjioni hawabanani vile.

Huo mradi wangempa mwekezaji auendeshe, serikali imeshindwa.
Inahitaji ujitoe akili ndipo unaweza kupanda Mwendokasi pamoja na mtu mnayeheshimiana sana!
 
Hapa Afrika Mashariki, hakuna nchi iliyotuzidi POPULATION wala LAND MASS.

Dar ni kubwa mara 2 na point kwa Nairobi.

Kwenye USTAARABU sasa, Dar bado ina wastaarabu wengi kuliko miji mingi ya nchi zilizotuzunguka, Zanzibar ikiwemo.

Nairobi nilipita na bus nikielekea Mwanza, enzi zile
kama Abiria ni wengi maana yake biashara hiyo ni nzuri, kwanini wasiongeze mabasi ??!! Hiyo ni kuwadhalilisha watu na hakuna wa kuwasemea mpaka atokee msamaria mwema kwenye social media apaze sauti !! And yet nobody cares about it !!
 
Back
Top Bottom