mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄Subili janga litokee pm faster kamati ataunda na mambo yatarekebishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄Subili janga litokee pm faster kamati ataunda na mambo yatarekebishwa.
Kwakweli !Usafiri wa umma Dar es salaam ni wa kidhalilishaji.
Watu wanasokomezwa kila kituo mwishowe mnajikuta mnapumuliana visogoni na mgongoni hata ng'ombe wakienda machinjioni hawabanani vile.
Huo mradi wangempa mwekezaji auendeshe, serikali imeshindwa.
Hao mwendokasi wanatumia njia zao kwahiyo hawana foleni kama usafiri mwingine, kwanini wasiongeze mabasi kulingana na mahitaji ??Sahihi, lakini sasa, wingi wa hao watu kwenye jiji unatokana na wingi wa wakazi wa jiji husika sio?
Nigeria ina eneo dogo kidogo kulinganisha na Tanganyika sio? Population yake ni zaidi ya watu 220m ilhali Tanganyika ni 62m.
Lagos pekee ina 16m, na ukubwa wa ardhi ni ndogo kuliko Dar. Huoni hapa kuwa ukifika Lagos lazima ujue mji umezidiwa ukilonganisha na Dar?
Vituo vitakuwa vinafurika kulingana na population ya mji!
Nikumbushe huduma yoyote ya kijamii unayodhani imekidhi mahitaji ya jamii kwa 100% hapa Tanganyika!Hao mwendokasi wanatumia njia zao kwahiyo hawana foleni kama usafiri mwingine, kwanini wasiongeze mabasi kulingana na mahitaji ??
Acha kamba, aliyekwambia Nigeria ni nchi ndogo kwa Tanganyika nani? ongea mambo ukiwa na data sahihi siyo porojo.Sahihi, lakini sasa, wingi wa hao watu kwenye jiji unatokana na wingi wa wakazi wa jiji husika sio?
Nigeria ina eneo dogo kidogo kulinganisha na Tanganyika sio? Population yake ni zaidi ya watu 220m ilhali Tanganyika ni 62m.
Lagos pekee ina 16m, na ukubwa wa ardhi ni ndogo kuliko Dar. Huoni hapa kuwa ukifika Lagos lazima ujue mji umezidiwa ukilonganisha na Dar?
Vituo vitakuwa vinafurika kulingana na population ya mji!
Kwanini isiwe huria, kila mwenye kuweza kuingiza gari lake alete?kama Abiria ni wengi maana yake biashara hiyo ni nzuri, kwanini wasiongeze mabasi ??!!
Acha kamba, aliyekwambia Nigeria ni nchi ndogo kwa Tanganyika nani? ongea mambo ukiwa na data sahihi siyo porojo.
Nigeria is situated in the West African region and lies between longitudes 3 degrees and 14 degrees and latitudes 4 degrees and 14 degrees. It has a land mass of 923,768 sq.km.Acha kamba, aliyekwambia Nigeria ni nchi ndogo kwa Tanganyika nani? ongea mambo ukiwa na data sahihi siyo porojo.
Hapo sasa !Kwanini isiwe huria, kila mwenye kuweza kuingiza gari lake alete?
Maximizing margin ndio lengo! Na monopoly inahakikisha flow ya cash kwa kingpin!
Unadhani tungekuwa na maTanesco ya binafsi, leo Januari angeweza kufanya uhuni wake?
Ahsante sanaTwakupenda pia
.
Hata SGR ikianza kazi itaendeshwa kijima hivyo hivyo.Walianza kwa kuvaa Tai madereva wa mwendokasi tukajua sasa hii ni kama Ulaya ! Kulikoni tena ?!!
Hatar sana !! Nadhani tumelogwa !Hata SGR ikianza kazi itaendeshwa kijima hivyo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usafiri wa umma Dar es salaam ni wa kidhalilishaji.
Watu wanasokomezwa kila kituo mwishowe mnajikuta mnapumuliana visogoni na mgongoni hata ng'ombe wakienda machinjioni hawabanani vile.
Huo mradi wangempa mwekezaji auendeshe, serikali imeshindwa.
Labda mpaka tuandamane au tugome kama walivyofanya wafanyabiashara wa Kariakoo ndo serikali itusikilize Mkuu..kama Abiria ni wengi maana yake biashara hiyo ni nzuri, kwanini wasiongeze mabasi ??!! Hiyo ni kuwadhalilisha watu na hakuna wa kuwasemea mpaka atokee msamaria mwema kwenye social media apaze sauti !! And yet nobody cares about it !!
Nashukuru sana kwa ushauri Mkuu.Kiukwel usafr wa mwendo Kasi jiji dar ni kipengele kwa sasa , Tulipotoka na tulpo sasa ndio mbaya zaid labda tulegemew kuwa mazur Zaid huko mbelen lakn wapi
Kama wew ni kijn unawez jiongz Aya PIKPK ya misele /lakn umakn muhim
😁😁😁😁😁Walianza kwa kuvaa Tai madereva wa mwendokasi tukajua sasa hii ni kama Ulaya ! Kulikoni tena ?!!
Tunalipa kodi kwa lengo la kuboreshewa huduma Mkuu. Na bahati nzuri au mbaya, Tanzania, kila mtu ni mlipa kodi hadi watoto ambao bado hawajazaliwa wanalipa kodi. So, viongozi wetu wajitahidi pia kutuboreshea huduma za kijamii maana ni haki yetu. Tunastahili huduma bora.Nikumbushe huduma yoyote ya kijamii unayodhani imekidhi mahitaji ya jamii kwa 100% hapa Tanganyika!
Itakuwa kwa kweli!Hatar sana !! Nadhani tumelogwa !