Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,714
- 677
Exactly [emoji817] kuna kikundi cha vijana wapo wanne au zaidi Huvizia gari zilizojaa wanaingia kwa pamoja na kumbana mlengwa kwa kumzunguka Kwan mda huo huwez kujidhibiti mfukoni zaidi ya kushikilia juu ili asianguke. wakifanikiwa kumuibia wanapeana kwa style ya ajabu Sana na kushuka kituo kifuatacho. wamejipanga hasa kufanikisha ufedhuli huo.vituo wanavyopenda kukaa ni magomeni mapipa,Fire na ManseseNashukuru sana kwa majibu yenye matumaini.
Jana jumapili nimepanda basi ambalo kiuhakika ni bovu sana. Linatoka Kivukoni kwenda Mbezi. Zile nguzo za kusapoti abiria wanaosimama ndani ya basi zimelegea mno na nati zimechomoka kimsingi ukaguzi wa mara kwa mara wa koufundi unahitajika ktk mabasi haya.
Pia wale walinzi wa vituo wawe wanafanya routine ndani ya vituo kwani wakati wa msongamano wa abiria pia wezi hujipenyeza na kukwapua mali za abiria wanapokuwa ktk kupanda basi.
DART Mwendokasi