Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hawa woote ni hard liners. Ni muhimu kuwa na balance.Lisu ndio anastahili kuwa mwenyekiti wa CDM, na John Heche kuwa katibu mkuu wa CDM.
Wanaomboleza waliofiwa.Sisi tunaomboleza halafu wewe unatuletea mikutano
Sasa kama akiwadanganya si ndio ingekuwa furaha yako wewe chawa wa Lumumba?Chadema chama Cha wachaga ni chama Cha kiutopolo sana sana, hamna uwezo mbele ya ccm Bibi anawadanganya nyie mende.
Kama jpm aliweza kuwa rais sioni kama kuna mtanzania mwenye akili anaweza kushindwaUmesemajeeee. Kwenu Kuna hata mwenyesifa ya kugombea ata udiwaniii
Wewe jeeWanaomboleza waliofiwa.
Lisu akipewa chama atakiuwa mapema. Bora abakie kuwa mbwataji, huku Mbowe akikaa pembeni na speed gavana yake ili maji yatapozidi unga ayapunguze.Lisu ndio anastahili kuwa mwenyekiti wa CDM, na John Heche kuwa katibu mkuu wa CDM.
Bibi hatogombea .Chadema chama Cha wachaga ni chama Cha kiutopolo sana sana, hamna uwezo mbele ya ccm Bibi anawadanganya nyie mende.
Kamuulize Kitila na hansadi za bunge watakwambia MIGA zinavyoilemea serikali, wewe kilaza usiyejua maana ya MIGA ndiye ambaye haujaelewa hadi sasa.Kahama wanashangaa msaliti wa tutashitakiwa MIGA
Umesemajeeee. Kwenu Kuna hata mwenyesifa ya kugombea ata udiwaniii
Huu ndio ukweliKama jpm aliweza kuwa rais sioni kama kuna mtanzania mwenye akili anaweza kushindwa
Wewe sholonga wa Kalebezo unajua nini?Tuliza Mshono, CHADEMA inakubalika Tanzania nzima.
hapa lazima watawala wawe na mashaka na survial yao! Kesho huyu akigombea hapa anapita!Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe .
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa, na si huyo tu hata Mzee Ruksa, alichokifanya kinaweza kufanywa na yeyote mwenye akili.Kama jpm aliweza kuwa rais sioni kama kuna mtanzania mwenye akili anaweza kushindwa
Lissu kila anachokifanya anafanya kwa niaba ya ChademaLisu akipewa chama atakiuwa mapema. Bora abakie kuwa mbwataji, huku Mbowe akikaa pembeni na speed gavana yake ili maji yatapozidi unga ayapunguze.
I mean Lisu akizidisha kibwabwaja Mbowe amtulize.
Baaadae akiwagaragaza, halafu mnaanza KUTENGENEZA kiki za kwenda kula mikate Kwa beberuuu...Samia hana haiba ya Uraisi.
..Na Ccm hakuna wanasiasa wenye ueledi na wanaoelewa Tanzania ilikotoka na inakopaswa kwenda.
Mnamnavyo papenda sukuma gang break ya kwanza kwa sukuma gang
Yote ni TanzaniaMnamnavyo papenda sukuma gang break ya kwanza kwa sukuma gang