Jibwa kama kawaida yako umekuja kubwekaKahama wanashangaa msaliti wa tutashitakiwa MIGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibwa kama kawaida yako umekuja kubwekaKahama wanashangaa msaliti wa tutashitakiwa MIGA
Rais Dkt Samia 2025 ni lazima agombee, sisi makada tunamhitaji kwa sababu ameonesha uwezo wa kuongoza.
Kamanda kakusanya mji mzima umekuja kumsikiliza. 2025 lazima patachimbika.Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
We kilaza wa nyehungeWewe sholonga wa Kalebezo unajua nini?
Lissu kamwe hataongoza nchi hiiii..Samia asigombee.
..Nafasi ya Uraisi waachiwe Chadema na wamsimamishe Tundu Lissu.
Balance itapatikana kutoka kwenye vyama vingine, CDM ni hardliners tu.Hawa woote ni hard liners. Ni muhimu kuwa na balance.
Dunia ipo kwa sababu ya Equilibrium mkuu usisahau hili.
Hatuna imani tena na Mbowe kwa sasa. Mbowe mtumieni CCM kwa faida yenu na sio CDM.Lisu akipewa chama atakiuwa mapema. Bora abakie kuwa mbwataji, huku Mbowe akikaa pembeni na speed gavana yake ili maji yatapozidi unga ayapunguze.
I mean Lisu akizidisha kibwabwaja Mbowe amtulize.
Labda wamewaleta kwa magari😎Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
unamaanisha malori ?Labda wamewaleta kwa magari[emoji41]
Mimi niseme tu hivi: Mshindwe Wenyewe. Nchi ipo tayari sana.Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sijapata kuona hoja ya kichokonozi kama hiikwa siku za hivi karibuni!..Samia asigombee.
..Nafasi ya Uraisi waachiwe Chadema na wamsimamishe Tundu Lissu.
Samia ni rais sasa hivi.Kama jpm aliweza kuwa rais sioni kama kuna mtanzania mwenye akili anaweza kushindwa
Hayupo anayeweza kushindwa.Samia ni rais sasa hivi.
Ni mtu gani mwenye akili timamu atakayeshindwa kuongoza nchi?
Lipi?Mimi niseme tu hivi: Mshindwe Wenyewe. Nchi ipo tayari sana.
Sidhani kuwa iliwahi kuwa tayari wakati wowote kushinda sasa.
Mkikubali kupotezewa lengo na ule mradi mwingine wa Mwenyekiti, mtasubiri hadi kiama. 'In fact' hilo ndilo litakalokuwa shimo la kuwazikia nyote.
Sijapata kuona hoja ya kichokonozi kama hiikwa siku za hivi karibuni!
Hili litatokea kwa mpango gani, ule ule wa "maridhiano"?
Muujiza ukijitokeza na kuwa hivyo, nami nitaungana nawe katika hili.
Chadema haitakubali huo ujinga..Ccm wanajiona ni " binadamu " kuliko Watz walioko vyama mbadala.
..Kwa mfano, tetesi kwamba kuna mpango wa Ccm kukigawia chama fulani wabunge. What kind of non-sense is that?