Hii hapa ndio Sababu ya CCM kupiga marufuku mikutano ya hadhara. Umati wa Kahama ni kitisho kikuu

Hii hapa ndio Sababu ya CCM kupiga marufuku mikutano ya hadhara. Umati wa Kahama ni kitisho kikuu

Yaani Lisu kuwa mwenyekiti na Heche kuwa Katbu mkuuu naunga mkono hoja.
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kamanda kakusanya mji mzima umekuja kumsikiliza. 2025 lazima patachimbika.
 
Lisu akipewa chama atakiuwa mapema. Bora abakie kuwa mbwataji, huku Mbowe akikaa pembeni na speed gavana yake ili maji yatapozidi unga ayapunguze.

I mean Lisu akizidisha kibwabwaja Mbowe amtulize.
Hatuna imani tena na Mbowe kwa sasa. Mbowe mtumieni CCM kwa faida yenu na sio CDM.
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Labda wamewaleta kwa magari😎
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mimi niseme tu hivi: Mshindwe Wenyewe. Nchi ipo tayari sana.

Sidhani kuwa iliwahi kuwa tayari wakati wowote kushinda sasa.

Mkikubali kupotezewa lengo na ule mradi mwingine wa Mwenyekiti, mtasubiri hadi kiama. 'In fact' hilo ndilo litakalokuwa shimo la kuwazikia nyote.
 
..Samia asigombee.

..Nafasi ya Uraisi waachiwe Chadema na wamsimamishe Tundu Lissu.
Sijapata kuona hoja ya kichokonozi kama hiikwa siku za hivi karibuni!

Hili litatokea kwa mpango gani, ule ule wa "maridhiano"?

Muujiza ukijitokeza na kuwa hivyo, nami nitaungana nawe katika hili.
 
Mimi niseme tu hivi: Mshindwe Wenyewe. Nchi ipo tayari sana.

Sidhani kuwa iliwahi kuwa tayari wakati wowote kushinda sasa.

Mkikubali kupotezewa lengo na ule mradi mwingine wa Mwenyekiti, mtasubiri hadi kiama. 'In fact' hilo ndilo litakalokuwa shimo la kuwazikia nyote.
Lipi?
 
Sijapata kuona hoja ya kichokonozi kama hiikwa siku za hivi karibuni!

Hili litatokea kwa mpango gani, ule ule wa "maridhiano"?

Muujiza ukijitokeza na kuwa hivyo, nami nitaungana nawe katika hili.

..Ccm wanajiona ni " binadamu " kuliko Watz walioko vyama mbadala.

..Kwa mfano, tetesi kwamba kuna mpango wa Ccm kukigawia chama fulani wabunge. What kind of non-sense is that?
 
Back
Top Bottom