Acha ukabila, kwani Lissu, Mnyika, Sugu, Mbowe ni wachagga?Chadema chama Cha wachaga ni chama Cha kiutopolo sana sana, hamna uwezo mbele ya ccm Bibi anawadanganya nyie mende.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukabila, kwani Lissu, Mnyika, Sugu, Mbowe ni wachagga?Chadema chama Cha wachaga ni chama Cha kiutopolo sana sana, hamna uwezo mbele ya ccm Bibi anawadanganya nyie mende.
Yaani MUNGU alivyofundi mwenye afya nzuri akafyekwa aliye na afya mbovu anazidi kuishi tu!!god akafyekwa na God!!!Wiki ijayo akapumzike kwao Ubelgiji asije kutuangukia jukwaani. Afya yake siyo nzuri.
Ushauri muruwaa sana.Mimi niseme tu hivi: Mshindwe Wenyewe. Nchi ipo tayari sana.
Sidhani kuwa iliwahi kuwa tayari wakati wowote kushinda sasa.
Mkikubali kupotezewa lengo na ule mradi mwingine wa Mwenyekiti, mtasubiri hadi kiama. 'In fact' hilo ndilo litakalokuwa shimo la kuwazikia nyote.
Pascal Mayalla Lisu siyo size yako, buni angalau ki-Tv chako cha mtandaoni, uwe na la kufanya. Uteuzi unaleta mangana, umemkalia Lisu na Chadema. Muda unaisha hivyo!Tundu Lissu sio level yako Pascal Malaya tafuta vitu vya kufanya sio kuzungumzia watu wenye Akili.
Subiri shimo la kwako, linakuja usihangaike na mashimo ya wengineYaani MUNGU alivyofundi mwenye afya nzuri akafyekwa aliye na afya mbovu anazidi kuishi tu!!god akafyekwa na God!!!
Hili jamaa limetobozea Kahama?
Yaani MUNGU alivyofundi mwenye afya nzuri akafyekwa aliye na afya mbovu anazidi kuishi tu!!god akafyekwa na God!!!
AsanteWakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.
bora hao wachaga wameweza kuwa na chama chao, wewe nyumbu wenzio kabilani kwenu anzisheni chama chenuChadema chama Cha wachaga ni chama Cha kiutopolo sana sana, hamna uwezo mbele ya ccm Bibi anawadanganya nyie mende.
Muda ukifika sawa!!lakini dunia hii kuna watu wakifa jamii inapumua ndicho kilichotokea alipoondoka mr.godSubiri shimo la kwako, linakuja usihangaike na mashimo ya wengine
Uliwahesabu? Walikuwa wangapi na walitakiwa wawe wangapi?Hao ni watu wachache Sana Kwa Kahama Mkuu.
Hata 2020 mlisema hivi, TL anakubalika sanaHapo wamekwenda kumshangaa tu Lisu.
Hakuna jambo la kutishia amani hapo.
Mimi sijafiwa.Wewe jee