Hii hapa ndio Sababu ya CCM kupiga marufuku mikutano ya hadhara. Umati wa Kahama ni kitisho kikuu

Kitambi hicho cha tumbo limejaa mavi ya Ubeligiji. Hivi mume wake kamuacha Ubeligiji? 2025 Rais Dkt Samia oyeeeee
 
Halafu anatokea mchumia tumbo Mayala anaropoka ushuzi kuwa Tundu Lissu anakiuka maradhiano uchwara. Tukusikilize wew uliye jifungia ktk keyboard una type au tumpfuate Tundu Lissu aliyeko ktk field na watu wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza?
Tundu Lissu sio level yako Pascal Malaya tafuta vitu vya kufanya sio kuzungumzia watu wenye Akili.
 
Sukuma gang nayo kumbe ni Tanzania kwenye mikutano, ikijengwa airport, daraja inakuwa sukuma land
Ndugai ni Sukuma gang , kwani naye ni Msukuma ? Tuliposema Sukuma Gang hatukumaanisha mipaka wanayoishi wasukuma , Sukuma gang ilikuwa kikundi cha wafuasi wa Magufuli waliotaka atawale milele

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Maandalizi yalikuwa mazuri nilipishana nao wakati naelekea Singida
 

Bado CHADEMA hamjielewi kabisa, siasa hamjui, hivi sera yenu ni ipi? Hamna hata sera moja, nyie ni kupiga kelele tu, CCM iko hivi iko vile, hivi kila siku nasema CHADEMA ni chama chenye zero policies kabisa..

Hivi hamna chochote cha kuwaambia wananchi kabisa, zaidi ya kelele za ku attack CCM or personalities za watu.
 
Sera yetu ni Katiba mpya , kila kitu kitawekwa humo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wawekee na ile video ya Mapokezi...Kahama imetisha
 
Sera yetu ni Katiba mpya , kila kitu kitawekwa humo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app

❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌⭕⭕%

I was 100% right, CHADEMA hamna sera hata moja...

Katiba Mpya mlijua ndio kila kitu? Who told you? Mbona mnajidanganya hivyo, nyie wenyewe mna Mwenyekiti asiye taka kuachia kiti, hiyo ndio aina ya uongozi mnataka kutufunza, Katiba Mpya itamuondoa huyo Mwenyekiti wenu wa maisha? Mnajiita Chama cha Demokrasia, ila you don't practice democracy ktk chama chenu hata kidogo.

Katiba Mpya sio sera yenu, ni sera ya Taifa zima, hadi hapo hamna sera yoyote, kumbe ni kelele tupu, mjue mnatia aibu, jifunzeni kuanza kutengeneza sera bora, mipango mikakati, hoja za nguvu za maendeleo katika Chama chenu, msiwe kama kelele za kasuku au chiriku au bundi mnaota mchana kweupe, sbb hamna contents zozote to sell to the public, keleleee like depe tupu.

Nakufunza na wafunze Chadema wenzako, tungependa kusikia, mnawaambia wananchi, sera yenu mkipewa uongozi mtafanya vizuri sana kwa wanachi na Taifa yafuatayo:

1: _______
2: _______
3: _______
4: _______
etc etc
Na iwe sera inayoeleweka na kutekelezeka, kwa kila sekta za maendeleo sio ngonjera.
 
Ndugai ni Sukuma gang , kwani naye ni Msukuma ? Tuliposema Sukuma Gang hatukumaanisha mipaka wanayoishi wasukuma , Sukuma gang ilikuwa kikundi cha wafuasi wa Magufuli waliotaka atawale milele

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Fatma karume, kigogo na DJ wanajua sukuma gang ni nani wewe ulidandia train kwa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…