Gerald1
Senior Member
- Jan 17, 2022
- 107
- 147
Karibu tupeane ya nayo pendekezwa mitaani kwetu
JE UNAWAZA KUHUSU UJENZI AU KUHUSU BEI YA HIYO PUMP NA TENK NA VIPI KUHUSU UTOAJI WA MAFUTA BANDALINI BILA USHURU MKUBWA NICHEK KAMA UNANIA YA DHATI KWELI NAMBA YANGU NI 0788317776 or 0672281230 mda wote napatikana.........✓✓✓.
Hii ni IDEA naigawa kwa wale wenye kuitaji maana me sina uwezo wa kuiendesha .
Ni biashara ya huuzaji wa mafuta ya petrol ktk vyombo vya usafiri katika mitaa .
Hunaweza fungua SHELI ndogo katika mtaa na kuingiza kiasi kikubwa2 cha fedha.
Mfano ukakodi eneo na ukajengea hiyo biashara au ukakodisha frem yenye nafasi kwa mbele na ukajengea tenki la mafuta na ukatafuta pump ya kuvutia mafuta na kugawia katika vyombo, yaan kama zire za shili kubwa, Ila wewe nunua moja ya petrol.
Ni mradi unaogalimu kiasi kama million20 hadi milion 25 haipiti zaidi ya hapo kwa mradi mmoja yani hapo ni full pamoja na mafuta yake.
Na kuhusu faida yaana husiseme kabisa maana kwa mwaka1 tu, unaweza kuingiza milion70 mbaka milion100 yaan na zaidi kama kweli huo mtaa ni wenye mzunguko wa vyombo vya usafili...................yaan ni hatarisana ushindwe wewe tu kufanya ila ni uhakika sana.......
JE UNAWAZA KUHUSU UJENZI AU KUHUSU BEI YA HIYO PUMP NA TENK NA VIPI KUHUSU UTOAJI WA MAFUTA BANDALINI BILA USHURU MKUBWA NICHEK KAMA UNANIA YA DHATI KWELI NAMBA YANGU NI 0788317776 or 0672281230 mda wote napatikana.........✓✓✓.