Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Reference ipi waliyoitoa kwenye book of enoch?Lete sura ya quran.
Halafu uelewe Roman Catholic wana Apocrypha books ambazo hazipo kwenye bible lakini ni maandiko matakatifu ambayo makuhani wanachukuwa some refference kutoka vitabu hivyo, kama book of Enock, Sila and e.t.c