Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ni utaratibu waliojiwekea katika jamii hiyo kwa tukio kama hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hilo nalo linahitaji utaalamu kweli?Nimemuuliza ili atoe ushuhuda.
Wewe ndiye hujielewi na umejiibia akili.Hiyo ilikuwa ni misa ya mazishi.Na katika misa ya mazishi sadaka ni za hiyo misa.Huo unafiki wako wa kujidai mlimchangia mjane ni uzwazwa kamili.Kwani hamkuambiwa kwamba hiyo ni misa ya mazishi?Kama ni jirani yenu kulikuwa na ulazima wa kumchangia hadharani?Kusubiri mpate faragha ya kwenda kumpa pole na kumchangia mlikatazwa na nani?Wanafiki hadi keshokutwa asubuhi ninyi!Sisi kama wana jamii,tulimchangia MJANE ambaye ni jirani yetu wakati alipofiwa mmewe na kuachiwa watoto watano,maajabu ni kwamba hizo fedha tulizochanga msibani zilichukuliwa na padre,kana kwamba haitoshi tukiwa makaburini tukifanya mazishi ilitangazwa kuwa fedha kwa ajiri ya kumuombea marehemu haitoshi achangiwe tena.
HAO NI WEZI.
Jibu uliyoulizwa.Acha kujipotezapoteza.Sasa hilo nalo linahitaji utaalamu kweli?
Sisi tuna dhehebu letu la Roman Catholic, wewe una LIFE STYLE ya Ukristu. Shida iko wapi? Usitupangie, kila mmoja ashinde mechi zakeUkristo ni lifestyle sio madhehebu Yesu hakuacha dhehebu lolote duniani
ila alianzisha mtindo wa maisha ambao kwa huo tutazishinda dhambi na tamaa za kidunia na kuufikia uzima wa milele
Hakuna mafundisho yoyote ya Yesu yanayoendana na Hayo madhehebu uliyoyataja
Mathayo 16:18Unaweza kutudhibitishia kwa maandiko ni lini peter alikuwa papa wa roma?
Maana ya kuanguka kifudifudi ni nini?Maana ya kuanguka kifudifudi haina uhusiano wowote na kuwekwa wakfu;
mstar ndio unasema vatican itajengwa kanisa na peter atakuwa papa ??Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda
Akuna anaye wapangia ila msitake kulazimisha Ukristo ufanane na ukatoliki ni Mbingu na aridhiSisi tuna dhehebu letu la Roman Catholic, wewe una LIFE STYLE ya Ukristu. Shida iko wapi? Usitupangie, kila mmoja ashinde mechi zake
Ishara kubwa ya kujitoa rasmi kumtumikia Mungu mazima,Kuna jambo kubwa Sana linaendelea apo
Kwa mfano, katika kitabu cha Mwanzo 17:2-3, Abramu anaanguka kifudifudi baada ya kuambiwa na Mungu kwamba ataweka agano kati yake na Mungu.
Lazima ufanane kwa kuwa chanzo chake ni kimoja na msingi wake unajengwa kwa kupitia maandiko matakatifu;Kwa asiye na bando la mawazo aiangalie hii video,hata masista huwa wanafanya hicho kitendo,nadhani vizuri kila mmoja azingatie alichofundishwa kwenye imani yake hatuwezi tukafanana na haitakaa tufanane binadamu tunachofanana kwa uhakika ni kule kuvuta pumzi na pumzi kuisha tukafa but mengine yote tutatofautiana milele.View attachment 3047876
Sio Ukristu ni UkristoSisi tuna dhehebu letu la Roman Catholic, wewe una LIFE STYLE ya Ukristu. Shida iko wapi? Usitupangie, kila mmoja ashinde mechi zake
Andiko la misa ya mazishi linapatikana kwenye kitabu ganiWewe ndiye hujielewi na umejiibia akili.Hiyo ilikuwa ni misa ya mazishi.Na katika misa ya mazishi sadaka ni za hiyo misa.Huo unafiki wako wa kujidai mlimchangia mjane ni uzwazwa kamili.Kwani hamkuambiwa kwamba hiyo ni misa ya mazishi?Kama ni jirani yenu kulikuwa na ulazima wa kumchangia hadharani?Kusubiri mpate faragha ya kwenda kumpa pole na kumchangia mlikatazwa na nani?Wanafiki hadi keshokutwa asubuhi ninyi!
Wewe tulia hapohapo hadi utakapooneshwa ukitakacho.Kwa akili yako ya kawaida tu,unadhani mtu akifa yafaa mwili wake ufanywaje?Andiko la misa ya mazishi linapatikana kwenye kitabu gani
Jibu swali acha kulukalukaKaa Utulie ww.Eti Maandiko.Eti Biblia.Unaifahamu Biblia wewe?Unayafahamu Maandiko Wewe?Unaifahamu Rozari wewe?
WEZI NI KAWAIDA MAPOVU KUWATOKA.Wewe ndiye hujielewi na umejiibia akili.Hiyo ilikuwa ni misa ya mazishi.Na katika misa ya mazishi sadaka ni za hiyo misa.Huo unafiki wako wa kujidai mlimchangia mjane ni uzwazwa kamili.Kwani hamkuambiwa kwamba hiyo ni misa ya mazishi?Kama ni jirani yenu kulikuwa na ulazima wa kumchangia hadharani?Kusubiri mpate faragha ya kwenda kumpa pole na kumchangia mlikatazwa na nani?Wanafiki hadi keshokutwa asubuhi ninyi!
Mlikatazwa na nani msiende nyumbani kwa shemeji yenu shughuli ya mazishi ilipoisha?Na kwenye misa ya mazishi walichukua fedha zako kwa nguvu kutoka kwenye bukta?Acha ubabaishaji na chuki zako peleka machinjio ya paka huko.WEZI NI KAWAIDA MAPOVU KUWATOKA.
TUKAMCHANGIE FAGHANI KWANI SISI NI WEZI?
KWANI SADAKA ALIZOKUWA AKITOA KABLA HAJAFA HAZIKUWATOSHA HUKO KANISANI?