Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unajibu kama umeshiba komba la komoni ndiyo utaelewa kweli?Haipo hyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajibu kama umeshiba komba la komoni ndiyo utaelewa kweli?Haipo hyo.
Wale walisujudu,ila hao Wana galagalaUliona kulala chali na ubavu tu?Au na hiyo haipo.Musa alipoenda kupokea amri 10 za Mungu aliamriwa nini afanye na afuate utaratibu upi?Vipi kuhusu Daudi alivyokuwa akitaka kuingia kwenye sanduku la Agano au hekaluni mwa Bwana?Kasome Mwanzo yote na Wafalme yote.
Hamna ibada hapo.ushirikina tuUnajibu kama umeshiba komba la komoni ndiyo utaelewa kweli?
Basi kuna uwalakini kwenye uelewa wako.Huwa unaenda chooni kujisaidia?Jibu hilo swali usilikwepe.Wale walisujudu,ila hao Wana galagala
Kadiri ya ubongo wako uliopo mabegani,upo sahihi.Hamna ibada hapo.ushirikina tu
Hamna ibada hapoBasi kuna uwalakini kwenye uelewa wako.Huwa unaenda chooni kujisaidia?Jibu hilo swali usilikwepe.
Huwa unaenda chooni kujisaidia?Hamna ibada hapo
Unyama in summaryRoma Catholic hawajawahi kuwa wa Kristo na hawatakuja kuwa wa Kristo na wala hawakuanzisha Ukristo
Ukristo haujawahi kugawanyika hata siku moja;
Ukristo ni lifestyle sio dini wala kanisa; utaitwa Mkristo ikiwa utaishi sawa sawa na mafundisho ya Yesu Kristo
Nashangaa matako yanaelekea mbinguni aliko Muumba.Hayo yana uzi wake.Anza na habari kwa picha.
Ni uumbaji kutoka Uturuki.Usishangae.Nashangaa matako yanaelekea mbinguni aliko Muumba.
Sawasawa mkuu sikupingi.Ukristo ni
Lazima ufanane kwa kuwa chanzo chake ni kimoja na msingi wake unajengwa kwa kupitia maandiko matakatifu;
Nnje ya Hapo ni ushetani na ibada za kipagani
Wanakabidhiwa cheti cha biashara ili waanze rasmi uwekezaji kwa waumini.
Wajinga ndiyo waliwao.
😹😹😹😹 uko wapiiiiKwani wewe kunya kwenye choo cha shimo na kunya kwenye sink umetowa kwenye andiko gani?
Kwenye biblia wapi pameandikwa suti? Mbona mnaingia nazo kanisani? Unajua kazi ya rozari? Ukiwa muislam kuna kitu inaitwa tasbih basi kazi ya rozari na tasbih ni sawasawa.Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"
Soma maandiko, acha kuuliza maswali ya wasioielewa biblia. Angalau ungeuliza utaratibu wa kupiga ngoma na maguitar makanisani umetoka wapi ningekuelewa ila hilo la kifudifudi lipo kwenye maandiko.Hiyo style ya kuwekana wakfu kifudifudi mmeitoa kwenye andiko gani mtumishi??
Na ndio maana ukipita ktk makanisa yao utapishana na masanam ya kizungu tu, hamna hata moja la mtu mweusi.Hawa ni waafrika wakifanya tamaduni za wazungu wa kale ili kuendeleza utumwa wa kitamaduni na ukoloni mamboleo.
Ukristo na uislam wapi na wapi? Mungu wa waislamu ukimpima kwa mizania ya Biblia unamuona ni nani?Kwenye biblia wapi pameandikwa suti? Mbona mnaingia nazo kanisani? Unajua kazi ya rozari? Ukiwa muislam kuna kitu inaitwa tasbih basi kazi ya rozari na tasbih ni sawasawa.