MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Achana na hawa wachumia tumbo, sema sasa ndom aaagr ni heri mtu akajichukulia sheria mkononi kuliko ndomKuna watu niliwaskiaga watatoa ushuhuda kwa mwamposa wamepona ukimwi..nenda kwani kajaribu na wewe πππ
Ila jf shikamoooUkimwi haupo ni nadharia π
Ule ukimwi wa 98 mnamtoa mgonjwa nje mnamuanika jioni anarud mtu anakonda hadi anaota mkiaKizazi cha 2000 sidhani hata kinaelewa ngoma kwa undani wake mkuu. 90s nilikuwa nashuhudia vitu vya hatari, mtu kanyooka ubao ukasome aisee!!
Endelea kula peku pekuMi bwana likinijia kichwani la ngoma hata mjomba anakosa ushirikiano, na sie wengine ndomu ni mtihani sana wakuu..daaahπππ
Kwahiyo vijana waendelee tu kunyetuka sioππ§Achana na hawa wachumia tumbo, sema sasa ndom aaagr ni heri mtu akajichukulia sheria mkononi kuliko ndom
Nyie watu π³π³π€Ule ukimwi wa 98 mnamtoa mgonjwa nje mnamuanika jioni anarud mtu anakonda hadi anaota mkia
Sugueni vicme tu mkuu, japo bwana ingekuwa kila ukilala na muathirika anaambukiza nadhani taifa lingekuwa halina watu saivi.Kwahiyo vijana waendelee tu kunyetuka sioπππ§
HahahaKuna watu niliwaskiaga wanatoa ushuhuda kwa mwamposa wamepona ukimwi..nenda kwani kajaribu na wewe πππ
Ukimwi wa miaka ile ilikuwa hatari sana Mkuu.Kizazi cha 2000 sidhani hata kinaelewa ngoma kwa undani wake mkuu. 90s nilikuwa nashuhudia vitu vya hatari, mtu kanyooka ubao ukasome aisee!!
Si wanasema unaweza ukaishi navyo hata miaka10 bila reactions zozote au sio kweli ππ€Sugueni vicme tu mkuu, japo bwana ingekuwa kila ukilala na muathirika anaambukiza nadhani taifa lingekuwa halina watu saivi.
Acha kabisa mkuu, 96 nakumbuka ndio naona mtu wa kwanza amenyooka, yaani kanyooka balaa. Madonda kichwani, usoni, mikononi, yaani haangaliki mara mbili.Ule ukimwi wa 98 mnamtoa mgonjwa nje mnamuanika jioni anarud mtu anakonda hadi anaota mkia
Hahahhaπππππhadi ukiona Uume unasimama simama hovyo unatamani Uchukue Kisu uufyekelee mbali kuepusha shali π π
Hapo nadhani inategemea na kinga za mtu, kuna wengine ni wadhaifu tu, ndani ya 5yrs majibu yanajitokeza taratibu.Si wanasema unaweza ukaishi navyo hata miaka10 bila reactions zozote au sio kweli ππ€
Nikawe tu sister sasa kama maisha yenyewe ndio hayaππHapo nadhani inategemea na kinga za mtu, kuna wengine ni wadhaifu tu, ndani ya 5yrs majibu yanajitokeza taratibu.
[emoji1][emoji1]Kwa hiyo hapo kazi imeisha mkuu?
Mimi bwana sipimi..aaagr!
Ndiyo mtihani ulipoWa siku hizi haukondeshi sasa, maana watu walijipimia kwa macho
Huwezi kuishi bila dudu mkuu, halafu ndom nazo nasikia zinawawasha.π€£Nikawe tu sister sasa kama maisha yenyewe ndio hayaππ