Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Haiakisi maana kama mbuzi ana ukimwi yanini kujisumbua na kipimo?Me sijakataa Mkuu, ila nilitaka unipe majibu kwamba ukiwema Damu ya Binadamu ita-reflect Unao au hauna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiakisi maana kama mbuzi ana ukimwi yanini kujisumbua na kipimo?Me sijakataa Mkuu, ila nilitaka unipe majibu kwamba ukiwema Damu ya Binadamu ita-reflect Unao au hauna?
Ukimwi wa miaka ile ulikuwa hatari sana maana hakukuwa na madawa ya kufubaza kama ilivyo sasa.inaonekana ukimwi wa miaka hiyo ulikua wa moto sana sio😃😃🤔
Unataka kufufua nyuzi zingine mkuuHahahaha...................inapofikia hiyo stage hata mb****00 inagoma kusimama hata umwone demu mkali kama Cleopatra wa enzi ya Misri ya Kale
Usiogope, muhimu uzingatie ushauri wangu 🤪
Kama siku ya kuzwaliwa ilivyo moja, siku ya kufa ni moja.. na siku ya ukimwi huwa ipo moja. Ndio maana unaweza kuta mtu anajaza Shabiby zote kwa alio wahi kuwala ila hana maambuzikizi.. maana yake kuna ile siku yake ya kupata ukimwi alikwepa huo mshale.. somo gumu sana.. hadi uwe na PhD.. ya mambo flani 😅😅😅😅 ila kama umehitimu cuba utapata picha.. huwa ni siku moja tu ( ukihepa hiyo siku ) utausikia kwenye bomba tuFafanua chief, fafanuaaaa!🤣🤣
Hofu ni shidaMkuu,
Inakuwaje mtu anaweza kuishi nao 10yrs lakini siku akipima tu matatizo yanaanzia hapo?
Kwakweli umakini unahitajika sana 🤦♀️🤦♀️Ukimwi wa miaka ile ulikuwa hatari sana maana hakukuwa na madawa ya kufubaza kama ilivyo sasa.
Ndiyo maana wengi waliopata Ukimwi miaka ya 90 hadi 2000 mwanzoni hawakutoboa kufika walau 2008
Siku hizi unakutana na mrembo Kisu kweli ukiambiwa anao utakataa maana anatumia dawa za kufubaza hivyo vigumu kumtambua kwa macho
Siungi mkono hili swali la ufundi bombaKwahiyo vijana waendelee tu kunyetuka sio😂🧐
Lakini ndiyo vimekuwa vikitumika miaka na miaka sasa.Haiakisi maana kama mbuzi ana ukimwi yanini kujisumbua na kipimo?
FactTuchukue ushauri wa To yeye, bamia kwa wingi...ikiwezekana hata juice ya bamia utumie tu ili utelezi uwe wa kutosha kabisa🤣🤣. Hii itasaidia kupunguza michubuko na kupunguza uwezekano wa kuambukizwa.
Hadi www mzee 😂Chai yenyewe hiyo .Tena chai ya Bukoba .Anza kula matembele kwa wingii tuu.
Ukipigwa kavu kuingia umeme ni dakika 0 na kuwaka Moto ni ndani ya masaa 72Kwakweli umakini unahitajika sana 🤦♀️🤦♀️
Hahaha😂😂😂,, shauri yako😂😂Siungi mkono hili swali la ufundi bomba
Huyo ni wewe, usimsingizie mdada wa watuView attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
😳😳😳😳😳🧐Ukipigwa kavu kuingia umeme ni dakika 0 na kuwaka Moto ni ndani ya masaa 72
Msimtishe kijana😂😂😂Huyo ni wewe, usimsingizie mdada wa watu
Jamanii jamano kazi ngumu sana 😂Huyo ni wewe, usimsingizie mdada wa watu
Kuanzia leo huliwi kavu tena?🤣🤣😳😳😳😳😳🧐