Hii kali
Sura ya bibi harusi ina majibu ya kifuatacho,hapo ukute hajawahi sema hata ana mtoto ukweli kwenye mahusiano ni muhimu jmn hata kama umezaa watoyo 10sema tu.
 
Huyu jamaa namjua vizuri sana, Nyumbani kwao ni karibu na kwetu, kwa hyo historia yake yote naijua, alivyo kua mwanzo mpaka sasa alipo fikia, aliondoka kesho na ndege ya saa tano juzi kuelekea marekan karudi jana, kusema ukweli sina mengi ya kusema, huo ndio ukwel, historia yake ni ndefu sana nimeamua kuifupisha.
Sasa mkuu hili tukio limetokea Nigeria, au na wewe ni wa huko? naona Kiswahili chako kimenyooka sana
 
Sura ya bibi harusi ina majibu ya kifuatacho,hapo ukute hajawahi sema hata ana mtoto ukweli kwenye mahusiano ni muhimu jmn hata kama umezaa watoyo 10sema tu.
Honeymoon ishaingia doa tayari.
Ukute kwenye harusi yangu ntazawadiwa kama hivo vi nne🥲
Anyways watoto ni baraka.
Watoto ni baraka wapokee tu usinune mbele ya umati wa watu 😅
Asee Wapi Huko?
Hiyo ni nigeria mkuu
 
Back
Top Bottom